Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,539
- 11,419
Mwisho wa dunia ni mwisho wa mtu binafsi kuishi. Mwisho wake aliujua.Hakuna anaejua mwisho was dunia zaidi ya yeye Allah
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwisho wa dunia ni mwisho wa mtu binafsi kuishi. Mwisho wake aliujua.Hakuna anaejua mwisho was dunia zaidi ya yeye Allah
Unaona Mungu hayupo?
Ulitoka wapi wewe na utaishia wapi endapo hujamkubali aliye kuumba?
Endelea kuwaza kipumbavu maana hata kwa ujinga wako hujui kuwa hata mashetani yanaamini tena kwa kutetemeka kwamba Mungu yupoo na alikuwekea hata hilo domo lako ili ulopoke huo ujinga wako, ole wako.
Mungu sio umbeHahaha, utasikia kaenda mbinguni.
Washika dini mtakufa na itakua mwisho wenu huku hamkufanya lolote la maana zaidi ya kuomba kiumbe ambacho hakipo. Huyu naona mungu wake hakumsikia mtakuja na explanation kua "ni mapenzi ya mungu" au "siku zake zimefika" hahaha nyooooko.
Huyo mungu wenu ka yupo basi covid imemshinda vibaya mno, sawa na magonjwa mengine yote, vita, natural disasters zote, amekaa anacheki tu hana la kufanya.
Nimesikitika sana juu ya andiko lako hili la kumdharau Mungu aliyekuumba kwa kiwango hiki. Mungu akusaidie na akufungue macho yako ya rohoni uone kuwa ulichoandika kimemvunjia heshima Mungu anayekupa pumzi ya kila siku, na uchukue hatua ya kutubu na usirudie tena uovu huu. Mungu ni mwema atakusamehe katika Jina la YESU KRISTO.Hahaha, utasikia kaenda mbinguni.
Washika dini mtakufa na itakua mwisho wenu huku hamkufanya lolote la maana zaidi ya kuomba kiumbe ambacho hakipo. Huyu naona mungu wake hakumsikia mtakuja na explanation kua "ni mapenzi ya mungu" au "siku zake zimefika" hahaha nyooooko.
Huyo mungu wenu ka yupo basi covid imemshinda vibaya mno, sawa na magonjwa mengine yote, vita, natural disasters zote, amekaa anacheki tu hana la kufanya.
AmenNimesikitika sana juu ya andiko lako hili la kumdharau Mungu aliyekuumba kwa kiwango hiki. Mungu akusaidie na akufungue macho yako ya rohoni uone kuwa ulichoandika kimemvunjia heshima Mungu anayekupa pumzi ya kila siku, na uchukue hatua ya kutubu na usirudie tena uovu huu. Mungu ni mwema atakusamehe katika Jina la YESU KRISTO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio lofa. Kwani corona ni kiumbe?.Haha we mshenzi kunizidi. We unamjua mungu yupi? Ulimuona? Si mlisema aliumba kila kitu leo unakataa sio yeye aliyeleta corona? Haha sasa imeumbwa na nani? Hehe umekariri chumvini tu inaonyesha akili yako ilivyojaa uchafu, tunaongelea swala la mungu wenu we unawaza kuzama chumvini? 😂 umasikini unakusumbua wewe
Kumbe ni nini sasa kama sio kiumbe!Wewe ndio lofa. Kwani corona ni kiumbe?.
Wewe ni mpumbavu kabisa. Umejuaje kuzama chumvini ni uchafu kama unakana uwepo wa Mungu?. Kujua mema na mabaya ni moja ya kutambua uwepo wa Mungu. Rejea kitabu cha mwanzo kabla ya adamu kula tunda walikuwa uchi wala hakuna aliyemuonea mwenzie aibu walipokuwa wakafumbuliwa macho wakajificha Mungu alipokuja akawauliza nani aliwaambia ya kuwa mu uchi?. Je mmekula lile tunda?. Kuanzia leo uanze kumwabudu Mungu Aliye hai kwani comment yako imedhihirisha uwepo wa Mungu.Haha we mshenzi kunizidi. We unamjua mungu yupi? Ulimuona? Si mlisema aliumba kila kitu leo unakataa sio yeye aliyeleta corona? Haha sasa imeumbwa na nani? Hehe umekariri chumvini tu inaonyesha akili yako ilivyojaa uchafu, tunaongelea swala la mungu wenu we unawaza kuzama chumvini? [emoji23] umasikini unakusumbua wewe
Baada ya kusoma huu upumbavu wako nimekublock, usipoteze muda wako kunijibu sitoona message yako wala upuuzi wako mwingine utakaopost, sina muda na wapumbavu mimi. Go studyWewe ni mpumbavu kabisa. Umejuaje kuzama chumvini ni uchafu kama unakana uwepo wa Mungu?. Kujua mema na mabaya ni moja ya kutambua uwepo wa Mungu. Rejea kitabu cha mwanzo kabla ya adamu kula tunda walikuwa uchi wala hakuna aliyemuonea mwenzie aibu walipokuwa wakafumbuliwa macho wakajificha Mungu alipokuja akawauliza nani aliwaambia ya kuwa mu uchi?. Je mmekula lile tunda?. Kuanzia leo uanze kumwabudu Mungu Aliye hai kwani comment yako imedhihirisha uwepo wa Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa wasalimie wote. Ila Mungu anakupenda na ninakupenda pia.Baada ya kusoma huu upumbavu wako nimekublock, usipoteze muda wako kunijibu sitoona message yako wala upuuzi wako mwingine utakaopost, sina muda na wapumbavu mimi. Go study