Mchungaji aliedai Corona ni kagonjwa kadogo mbele ya Mungu, amefariki kwa Corona

Mchungaji aliedai Corona ni kagonjwa kadogo mbele ya Mungu, amefariki kwa Corona

Huyu alikaidi maagizo ya kuzuia mikusanyiko mikubwa zaidi ya watu kumi ili kujilinda na kutoambukizana. Huyu alitaka waumini wake wasiogope coronavirus akidai Mungu atawalinda na hivyo waendelee tu kama zamani. Alichosahau huyu Askofu ni kwamba Mungu anakutaka ujilinde, Mungu hajaribiwi.
Wala haifuti kuwa mungu ni mueza wa kila kitu na ni Mkuu kuliko corona
 
Matthew 4:5-7
5 Then the devil took him to the holy city and had him stand on the highest point of the temple. 6 “If you are the Son of God,” he said, “throw yourself down. For it is written:

“‘He will command his angels concerning you,
and they will lift you up in their hands,
so that you will not strike your foot against a stone.’[c]”

7 Jesus answered him, “It is also written: ‘Do not put the Lord your God to the test.’[d]”
Okay brother, let me ask you. Is COVID19 too big for God? Is God incapable of rescuing us from it?

Kumbuka maandiko yanasema kupitia kwa Yeremia, "....chombo kilichofinyangwa kitamwambia nini mfinyanzi?"
Tena maandiko yanasema kwa Zaburi
"Nchi na vyote vijazavyo ni mali ya Bwana...."
 
Mungu hai
Hahaha, utasikia kaenda mbinguni.
Washika dini mtakufa na itakua mwisho wenu huku hamkufanya lolote la maana zaidi ya kuomba kiumbe ambacho hakipo. Huyu naona mungu wake hakumsikia mtakuja na explanation kua "ni mapenzi ya mungu" au "siku zake zimefika" hahaha nyooooko.
Huyo mungu wenu ka yupo basi covid imemshinda vibaya mno, sawa na magonjwa mengine yote, vita, natural disasters zote, amekaa anacheki tu hana la kufanya.
Mungu haiondoi korona yeye Bali nguvu alioiweka kwa binadamu(akili).Akili no nguvu ya kimungu.Mungu hashughuloki na vitu Bali wanadamu aliowaumba.Binadamu ana akili aliopewa na mungu na ndio atakayotumia kuponta korona.Utengano na ubinafsi wa binadamu umechangia korona kushinda.
 
Hata Kama amekufa na corona bado Mungu atabaki kuwa Mungu
Hakuna aliye mkuu zaidi yake corona ni kitu kidogo sana kwa Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi! Ila usipochukua tahadhari itakula kwako.

Ni sawa na kunywa kinywaji chenye sumu huku ukijua kina sumu ila ukajiaminisha Mungu atakuponya.

Kutochukua tahadhari dhidi ya Corona huku ukikiri ukuu wa Mungu, huko ni sawa na kumjaribu Mungu jambo ambalo ni kosa.
 
Hata Kama amekufa na corona bado Mungu atabaki kuwa Mungu
Hakuna aliye mkuu zaidi yake corona ni kitu kidogo sana kwa Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
Na nyie mnaingia kwenye mtego wa imani au imani yenu haiko sawa. Unapolinganisha janga la korona na ukubwa wa Muungu maana yake janga hili halitokani na yeye Muumba bali ni kazi ya mamlaka nyingine inayoshindana naye (shetani). Huu ni udhaifu wa imani.

Ukiamini korona na majanga mengine au kifo ni hujuma za shetani na kwamba Mungu anapambana nayo kuwakinga/kuwaokoa wanadamu, basi ni lazima ukubali kuwa shetani huwa anamshinda Mungu katika mapambano na kwa maana hiyo shetani ni mkubwa/ana nguvu kuliko Mungu. Hii ni kwasababu majanga yanatokea na watu wanakufa.

Ukweli ni kwamba Mungu ndo muumba wa ulimwengu na vyote vinavyoonekana na visivyoonekana pamoja na virusi vya korona na shetani mwenyewe. Shetani hapambani na Muumba wake, bali Mungu anamtumia shetani kama nyenzo ( mtihani) wa kupima akili (imani) ya binadamu.

Mungu ana mamlaka juu ya kila kitu; anachotaka kiwe na kinakuwa na kinyume chake. Janga la korona limetokea kwasababu Mungu ametaka litokee na si kwa sababu shetani ametaka litokee. Kwa msingi huu hakuna haja bali ni makosa kupima ukubwa wa Mungu na janga la korona ambayo ni kazi yake hata kama itahitimishwa kuwa Mungu ni Mkubwa kuliko korona.

Tuwekeni sawa imani zetu vinginevyo tutapotea.
 
View attachment 1419301
Askofu Gerald Glenn wa Kanisa la New Deliverance Evangelistic Church, Virginia USA.​

Kwa habari zaidi bonyeza hapa chini.
===
Bishop Gerald Glenn, the pastor of New Deliverance Evangelistic Church in Virginia has died, the church announced on Sunday. Glenn had tested positive for coronavirus, according to a video posted by his daughter Mar-Gerie Crawley.

In a sermon on March 22, a day before Virginia Gov. Ralph Northam issued his executive order banning all public and private gatherings of 10 people or more, Glenn told his congregation, "I firmly believe that God is larger than this dreaded virus," and announced he was not afraid to die.


On April 4, Glenn's daughter posted a video, announcing that both he and his wife, Marcietia Glenn, had tested positive for coronavirus.

The church's post announcing Gerald Glenn's death, asked that others would allow the "First Family to grieve in their own way."

"While they are mourning the heartbreaking earthly absence of their family patriarch & spiritual father, they also have family members who are struggling to survive this dreaded pandemic," the church's Facebook post read.

Final arrangements for Glenn are expected to be made within the next few days, the church said.
Duh... naogopa haya yasije tokea kwa aliyesema “kacorona kaugonjwa kadogo”
P
 
Mungu ni yuleyule Jana, Kesho na milele, Hafanyi kazi yake Kwa mashinikizo ya watu, Ajibu asijibu bado ni Mungu tu, useme ni Mungu asiyeshindwa ama la, Bado Yuko vilevile na Wala hajawahi kuwa na upendeleo, vitu Vyote aliumba yeye na hivyo hivyo Hana mashariti pindi anapovuna mazao yake, uwe unamwamini au kutomwamini atakuvuna Tu!!! Haleluuuya
Ubinafsi wa baadhi ya viongozi wa dini kuona sadaka na matoleo mengine ni muhimu kuliko uhai wa watu vitatuangamiza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matthew 4:5-7
5 Then the devil took him to the holy city and had him stand on the highest point of the temple. 6 “If you are the Son of God,” he said, “throw yourself down. For it is written:

“‘He will command his angels concerning you,
and they will lift you up in their hands,
so that you will not strike your foot against a stone.’[c]”

7 Jesus answered him, “It is also written: ‘Do not put the Lord your God to the test.’[d]”
Hakika wewe wasema.
 
Ubinafsi wa baadhi ya viongozi wa dini kuona sadaka na matoleo mengine ni muhimu kuliko uhai wa watu vitatuangamiza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haishauriwi Wala hairuhusiwi kuishi Kwa kumtegemea Mwanadamu, Mjue zaidi Mungu wako kuliko mkuu wako wa dini, Vinginevyo utaishi Kwa utumwa na kufanyia kazi za watu wanaoikalia akili na ufahamu wako!

Funguka na uwe huru mkuu, ishughurishe Akili yako, shauri yako
 
Hata kama amekufa kwa Corona, alichokisema ni ukweli mtupu, Mungu ni mkuu kuliko Corona.
View attachment 1419301
Askofu Gerald Glenn wa Kanisa la New Deliverance Evangelistic Church, Virginia USA.​

Kwa habari zaidi bonyeza hapa chini.
===
Bishop Gerald Glenn, the pastor of New Deliverance Evangelistic Church in Virginia has died, the church announced on Sunday. Glenn had tested positive for coronavirus, according to a video posted by his daughter Mar-Gerie Crawley.

In a sermon on March 22, a day before Virginia Gov. Ralph Northam issued his executive order banning all public and private gatherings of 10 people or more, Glenn told his congregation, "I firmly believe that God is larger than this dreaded virus," and announced he was not afraid to die.


On April 4, Glenn's daughter posted a video, announcing that both he and his wife, Marcietia Glenn, had tested positive for coronavirus.

The church's post announcing Gerald Glenn's death, asked that others would allow the "First Family to grieve in their own way."

"While they are mourning the heartbreaking earthly absence of their family patriarch & spiritual father, they also have family members who are struggling to survive this dreaded pandemic," the church's Facebook post read.

Final arrangements for Glenn are expected to be made within the next few days, the church said.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matthew 4:5-7
5 Then the devil took him to the holy city and had him stand on the highest point of the temple. 6 “If you are the Son of God,” he said, “throw yourself down. For it is written:

“‘He will command his angels concerning you,
and they will lift you up in their hands,
so that you will not strike your foot against a stone.’[c]”

7 Jesus answered him, “It is also written: ‘Do not put the Lord your God to the test.’[d]”
Ukiwa "objective" utabaini kuwa maandiko haya yanadhihirisha shetani ana uwezo juu ya Yesu. Yaani kile kitendo cha shetani kumchukua Yesu na kumsimamisha kwenye paa za majumba ya Mji Takatifu na kumtaka ajirushe ni wazi kuwa Yesu aligeuzwa na kuwa "subject" na kujaribiwa. Yaani shetani anampima imani "mtoto wa mungu" ...!!

Tushukuru tu kwamba Yesu alikuwa mjanja na hakujirusha (bila shaka) kwa vile aling'amua mtego na vinginevyo angedhurika. Shetani alitaka mungu afe au apate ulemavu...!!😂😂😂
 
Nilimsikia Gwajima akiwalisha ujinga waumini wake. Ole wao wazingatia mafundisho ya kijinga namna ile.
 
Okay brother, let me ask you. Is COVID19 too big for God? Is God incapable of rescuing us from it?

Kumbuka maandiko yanasema kupitia kwa Yeremia, "....chombo kilichofinyangwa kitamwambia nini mfinyanzi?"
Tena maandiko yanasema kwa Zaburi
"Nchi na vyote vijazavyo ni mali ya Bwana...."
Umemjibu vizuri sana! Haipaswi kulinganisha ukubwa wa Mungu na kile alichokiumba. Watu wanapotoka kwa kuamini covid si kazi ya Mungu bali ya shetani na Mungu anapambana nayo kutuokoa.
 
Binafsi ninaona yuko sahihi kwa 100%, kwa sababu ameendelea kumuona Mungu ni mkuu katikati ya vitisho vya kufa kwa Corona.

Katikati ya mambo yote, Mungu atabakia kuwa Mungu. Na katika mambo yote Mungu ni mkuu.
Hakuna anayeukataa ukuu wa Mungu. Lakini unatakiwa kujua kuwa hata anayekupa tahadhari, ni mjumbe wa Mungu pia kwa sababu maarifa yote hutoka kwake.

Mungu nyakati zote, ili kuwaokoa watu wake aliwatumia wajumbe wake kuwaelekeza watu wake wafanye nini ili wasiangamie.

Kuna watu ni wajinga wa neno la Mungu. Ukuu wa Mungu haupo katika wewe kuamua kulala katikati ya barabara usiku kucha wakati Mungu kakupa akili ya kujua kuwa barabara hiyo yanapita magari, yanaweza kukukanyaga na ukafa. Mbaya zaidi unakuja unaambiwa, ondoka barabarani kuna lorry halina hata taa linakuja, wewe unasema, Mungu ni mkubwa, atanilinda.
 
Back
Top Bottom