Mchungaji aliedai Corona ni kagonjwa kadogo mbele ya Mungu, amefariki kwa Corona

Mchungaji aliedai Corona ni kagonjwa kadogo mbele ya Mungu, amefariki kwa Corona

Kuna kiongozi aliyesema corona ni kaugojwa
Huyu Mchungaji hajakosea yupo sahihi amesema corona ni kaugonjwa kidogo mbele za Mungu na sio mbele yake. Kwa maana hiyo alikuwa na imani kwamba Mungu hajawahi kushindwa hata kama amekufa ni siku yake imefika lakini amefia katika imani
 
Mchungaji hakua mzembe, mchungaji alikua anamtegemea Mungu, tatizo ni Mungu kumuangusha mchungaji. Yeye aliamini Mungu ni mkuu kuliko hako kagonjwa hivyo hana sababu ya kuhofia, ila ajabu kagonjwa kamekua kakuu kuliko mungu.
Laiti ungejua usingesema huu upupu. Tatizo wengi wa wana comment humu kwa ujasiri hata hawajui wanachokomalia. Anyway kasome wakati Yesu anajaribiwa kwa nini alikataa kujitupa toka kwenye pinnacle ya temple.

Unaweza kuwa mwerevu kwenye mambo mengine ila kwenye hili japo wajifanya mwerevu una ujinga mwingi wa kuufanyia kazi
 
Hii bakora ya corona kila mtu itamchapa..


"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
 
Laiti ungejua usingesema huu upupu. Tatizo wengi wa wana comment humu kwa ujasiri hata hawajui wanachokomalia. Anyway kasome wakati Yesu anajaribiwa kwa nini alikataa kujitupa toka kwenye pinnacle ya temple.

Unaweza kuwa mwerevu kwenye mambo mengine ila kwenye hili japo wajifanya mwerevu una ujinga mwingi wa kuufanyia kazi
Mambo ya yesu kujaribiwa sijui pinnacle ya temple yananihusu nini mimi? Nyie mdio mnaamimi Yesu alichomwa mkuki ikatoka maji na damu, utafikiri mwili wa Yesu ulikua na rejeta au tanki la maji na damu.

Mungu anasema ategemewe kwenye kila kitu, sasa mchungaji alikua na kosa gani kumtegemea Mungu kwenye kila kitu halafu mwisho Mungu akamuangusha mchungaji?

Hapa wa kulaumiwa ni Mungu kutoa ahadi za uongo, anataka ategemewe kwenye kila kitu, ukimtegemea anakuacha unakufa
 
Kama Corona itakua ni ugonjwa mkubwa mbele ya Mungu,basi hata binadamu ni mkubwa mbele ya Mungu kwa sababu hata yeye anaweza sababisha mtu kufa.
Na kama kisababishi chochote cha kifo kitakua ni kikubwa mbele za Mungu basi tukubali huyo Mungu ni mdogo kuliko kitu chochote katika ulimwengu huu.
Ingawa Corona inaua lakini bado haiwi kitu kikubwa mbele za Mungu,tuache fikra za kumkataa Mungu eti kwa sababu kuna Corona,Corona isipokuwepo tutakufa,ikiwepo tutakufa,muhimu ni kuchukua tahadhari tu lakini siyo kuifanya corona ni dude kubwa mbele za Mungu.
Kwa hiyo leo watu wakigundua chanjo au dawa,mtasema wamemshinda Mungu ?
 
Naisoma ,naisomaaa, narudi nasomaaa hii komenti weeee ,naenda narudi naisomaaa
Bado ukweli haubadiliki, ni kaugonjwa kadogo sana mbele za Mungu
Naendelea kuwaza, ni zawadi gan unaistahili .?.


Inabidi nikufanyie kitu special.
 
Mashimbo ni mwehu namjua vizuri sana yule jamaa.
Alikuwa bongo movie akiwa anaigiza uchungaji sasa kajiunga na waigizaji wengine akina ngwajima huyu Mungu wanayemfanyia maigizo anawangalia tuu ipo siku
 
Naisoma ,naisomaaa, narudi nasomaaa hii komenti weeee ,naenda narudi naisomaaaNaendelea kuwaza, ni zawadi gan unaistahili .?.


Inabidi nikufanyie kitu special.
Nasubiria kwa hamu hicho kitu special[emoji7][emoji7]
 
Huo ukuu uko kwenye nini? Mbona kila mara mungu mkuu, mungu mkuu, huo ukuu uko kwenye nini kama magonjwa tu hawezi kuyaondoa wala kutibu watu wake?

Rais ni mkuu wa nchi kwa sababu inaweza kutokea njaa akaamuru watu wote walioathirika na njaa wapewe chakula, au wajengewe nyumba kama wamepata mafuriko na watu wakaona na wakakiri kweli huyu ni mkuu wa nchi. Sasa Mungu ukuu wake uko wapi? Mbona hauonekani?

Huyo Mungu ambae hawezi kuzuia magonjwa, njaa, vita, mafuriko, majanga ya asili ukuu wake uko wapi? Yaani anakua mkuu huku hawezi kufanya jambo lolote la maana likaonekana?
Samahani we Hakimu Mfawidhi wa mahakama gani ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
COVID-19.jpg

Askofu Gerald Glenn wa Kanisa la New Deliverance Evangelistic Church, Virginia USA.​

Kwa habari zaidi bonyeza hapa chini.
===
Bishop Gerald Glenn, the pastor of New Deliverance Evangelistic Church in Virginia has died, the church announced on Sunday. Glenn had tested positive for coronavirus, according to a video posted by his daughter Mar-Gerie Crawley.

In a sermon on March 22, a day before Virginia Gov. Ralph Northam issued his executive order banning all public and private gatherings of 10 people or more, Glenn told his congregation, "I firmly believe that God is larger than this dreaded virus," and announced he was not afraid to die.


On April 4, Glenn's daughter posted a video, announcing that both he and his wife, Marcietia Glenn, had tested positive for coronavirus.

The church's post announcing Gerald Glenn's death, asked that others would allow the "First Family to grieve in their own way."

"While they are mourning the heartbreaking earthly absence of their family patriarch & spiritual father, they also have family members who are struggling to survive this dreaded pandemic," the church's Facebook post read.

Final arrangements for Glenn are expected to be made within the next few days, the church said.
 
Daud Bashite Naibu Rais yeyea anaamini Ndumba kupitia majini vinazuia corona, kakubali kutoa mapesa mengi kwa Le mutuz kwenda kumletea waganga wa kienyeji kibao eti watamsaidia kuzuia corona, le mutuz anakula pesa za Daud Bashite kwa njia haramu
 
Back
Top Bottom