Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Ni mwendo wa kulana tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kata mti panda mti.Bandika bandua
Ndoa ni kwa walio hai.Nikifa Mke wangu asiolewe
Acha ubinafsi Mkuu[emoji23][emoji23]Nikifa Mke wangu asiolewe
Oweni tu vijana msiogope hivi vitisho, ila juwa tu kuwa mimali yote unayoitafuta kwa nguvu na hata wakati mwingine ukikesha ukitafuta siku moja utaziacha na huyo uliekuwa ukumuhangaikia atapata wa kumfariji na maisha yataendelea huku wakiendelea kuzitafuna mali zako taratiibu. Namuona hapo mjane vichozi vya kiuwongo vinamtoka kwa mbaali, huku akimfeel mume wake mpya...Africa ya Kusini Huko... Pastor Aliamua Kum propose Mjane pale pale msibani kabla hata ya msiba kuisha..
.
Amedai Hiyo itamsaidia pia ku heal kutoka kwa majonzi.
.
Pastor alisikia akimshukuru Mungu haswa kwa kuwa karibu na mjane katika wakati mgumu Akimuuguza Aliyekuwa mme wake, Shirika la habari CEN liliripoti..
Lieni na wanao lia.
View attachment 2297359
Siyo kabla hajazikwa mkuu, wakwake ataolewa akionekana jamaa ana dalili ya kupona ugonjwa unaomsumbuahahaha pole tena wakwako ataolewa kabla hata hujazikwa
Naomba namba yake niwe namkumbusha hii wish yakoNikifa Mke wangu asiolewe
🤣🤣🤣🤣Siyo kabla hajazikwa mkuu,wakwake ataolewa akionekana jamaa ana dalili ya kupona ugonjwa unaomsumbua
Kwahiyo unataka mgodi usitumike wakati hukuitengeneza wewe, acha kazi iendeleeNitawaibukia usiku wote, yaani amani haitakuwepo kwao.
Ndio, ndio ndio, ndio.Pastor alikuwa anamla toka anamuuguza mumewe sio bure
Kifo kishawatenganisha, wakulungwa wanabeba.Nikifa Mke wangu asiolewe
Muwekee a strong passcodeNikifa Mke wangu asiolewe