Mchungaji Anthony Lusekelo, aionya Serikali ya Rais Samia juu ya amani ya Tanzania

Mchungaji Anthony Lusekelo, aionya Serikali ya Rais Samia juu ya amani ya Tanzania

Madhehebu zimekuwa nyingi kama uyoga mwituni, 99% ya hizo ni za matapeli tu wanaowaibia wadanganyika.
Wazipige marufuku zinawatia watu ujinga tu.
 
Hawa Watimishi maslahi wadhibitiwe maana wanawadhulumu tu Waumini wao..wasilete vitisho mbuzi.

Yule Mwa Mpesa alisababisha vifo kule Moshi lakini kaachwa huru kabisa kana kwamba hakuna Wananchi hawana Msimamizi ambaye ni Serikali.
Ikiwa waganga wa kienyeji wako huru na hawa watumishi wachie uhuru wao
 
Siro na Diwani siyo watawala ni watumishi wa umma. Rudi tena darasani kajifunze.


Actually hata hao wengine ni Viongozi wetu na sio watawala wetu maana tulishapa Uhuru toka mikoani mwa Wakoloni.

Watu mnaowapa ridhaa ya kutuongoza kwa njia ya kupiga kura au kikatiba wanakuwaje wetu labda ?

Hii zana haijaekeweka miongoni mwa waTZ wengi .

Neno “ Viongozi “ linafaa zaidi kuliko watawala.

Wengine wakiitwa watawala mabega yanaweza kuzidi kupanda na kuwa kibr?!!
 
mtajiuliza kwanini JPM akiwa Rais hata afanye nini hawa walikuwa hawanyanyui mdomo?...kuna mambo magumu sana kwenye kuingoza hii nchi, tuwe makini sana..


Inamaana kina Askofu Mwamakula, Niwemugizi, Bandekile, Shoo na wengine ulikuwa hawasikii wakitoa misimamo yao wakati wa JPM ??
 
Viongozi wengi wa din hawafurahishwi na serikali kumfunga mbowe. Hapo wanafikisha ujumbe ki utuuzima.
Kwani maovu ya ccm hii ni haya ya Mbowe tu? Why now wakati Magufuli alifanya mabaya kuliko?
 
Mzee ameingia taharuki kutokana na ile taarifa iliyotoka hapa karibuni kuhusu usajili wa haya Makanisa, kuhakiki uongozi, haki za Waamini na michango/sadaka zao n.k.

Ilikuwa lazima achimbe hilo biti kwa maana yeye ni miongoni wa Matapeli wanaoneemeka na mfumo holela wa kumiliki Makanisa na kujipa mamlaka zote juu ya Waumini wakitumia jina la Mungu.

Mimi naunga mkono serikali kupitia upya mifumo ya haya makanisa uchwara na kuwasaidia "Kondoo" wanaochezewa na hawa Viongozi wao.

Na si kweli kwamba Wakristo wote watahamaki kwani hakuna shida kwenye Makanisa yote rasmi kama Catholic, KKT, Pentekoste, Sabato n.k...hili litawaudhi tu Yeye, Gwajima, Kakobe, Mwamposa and the likes.
Akili zitawaingia sasa.
 
Mwambieni akae kimya hakuna jiwe litakalosalia.
Aliona hayamhusu sasa amepatikana.
 
Kila chama kikianza kuvaa sare zake makanisani unaona ni sawa hiyo? Unaenda kusali na tisheti nyekundu na kofia juu, vyote vimeandikwa Katiba mpya movement!! Huo ni ujinga na kuprovoke watu bila sababu, kwa nini wasingevaa kama wengine then waende kumuombea Mwamba? BTW kumuombea mtu lazima yawe matangazo? Si mnaweza omba kimya kimya na maombi yakafika
Ww acha polojo hata wakienda wamevaa nn ila tu wasiwe uchi hakuna kosa maana wameenda kwa Mungu ila ww kenge mmoja unataka kumuwekea Mungu mipaka km umekua Mungu mtu
 
Watu wenye busara hawawezi kuingia makanisani na kuanza kusachi waumini eti umevaa rangi gani ya nguo, kama unawasiwasi utasubiri ibada iishe then uonane nao. Kitendo cha kuvuruga ibada maeneo mbalimbali ikiwemo Mbeya na mwanza ndicho kinacho waibua hao akina Mkwawa/Lusekero kukataa hayo madhambi yenye laana.
hii haijwai tokea, hata magufuri na ukatili wake wote alikuwa anahesimu nyumba za ibada, nafikiria samia hajui hakuna yeyote aliyewai cheza na mungu akabaki salama
 
Back
Top Bottom