Mzee Antony Lusekelo anapaswa akemewe kwa matamko yake ambayo kimsingi yana lengo la kuchochea uvurugaji wa amani ya nchi.
Leo ktamka yeye hatujui ni kwa masilahi ya nani!
kesho akitamka Padri kesho kutwa akitamka Sheki, n.k watawavuruga Watanzania na matokeo yake sisi sote tutazama.
Inapo fikia suala la mtu kuchezea Amani ya Nchi yetu kamwe tusioneane aibu wala tusimchekee mtu lazima akemewe Vikali, lazima atambue kuwa Yeye LUSEKELO hayupo juu ya MANI YA NCHI YETU.
Kamwe asijaribu kuleta uchochezi halafu anawapaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
Amani ya nchi yetu ina thamani zaidi kuliko yeye.
Aache mara moja kauli za kufitinisha watanzania na Serikali yao, aache mara moja kutoa kauli za mifarakano, aache mara moja kauli zisizo na tija kwa taifa.
nashauri tena huyu mchungaji akemewe vikali na waziri wa Mambo ya ndani lkn pia Akemewe vikali na Kamati ya Amani.
Leo ktamka yeye hatujui ni kwa masilahi ya nani!
kesho akitamka Padri kesho kutwa akitamka Sheki, n.k watawavuruga Watanzania na matokeo yake sisi sote tutazama.
Inapo fikia suala la mtu kuchezea Amani ya Nchi yetu kamwe tusioneane aibu wala tusimchekee mtu lazima akemewe Vikali, lazima atambue kuwa Yeye LUSEKELO hayupo juu ya MANI YA NCHI YETU.
Kamwe asijaribu kuleta uchochezi halafu anawapaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
Amani ya nchi yetu ina thamani zaidi kuliko yeye.
Aache mara moja kauli za kufitinisha watanzania na Serikali yao, aache mara moja kutoa kauli za mifarakano, aache mara moja kauli zisizo na tija kwa taifa.
nashauri tena huyu mchungaji akemewe vikali na waziri wa Mambo ya ndani lkn pia Akemewe vikali na Kamati ya Amani.