Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Acha ujinga...Kwa hiyo Kamchape ndio mungu Wetu ??..[emoji848][emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujinga...Kwa hiyo Kamchape ndio mungu Wetu ??..[emoji848][emoji848]
Ndio maana mambo yanazidi kwenda kombo.Funguka acha kukariri, Kila Jamii ina mungu wake, wachina Wana mungu wao, wahindi, waarabu, wazungu etc wana wa kwao pia, hata waafrica kabla ya ukoloni tulikuwa tuna mungu wetu, sasa Leo mmeletewa mungu na hao wazungu na waarabu mnaona hakuna mwingine, inabidi kutuma akili sana haya mambo ya Imani la sivyo utaonekana chizi tuu, Jamii nyingi sana zimeanza kushtukia huu usanii na hata hao wazungu waliowaletea huyo mungu wameanza kushtukia na kuachana na hayo mambo ya kufikirika na hadithi za watu wa kale
Hawa wajinga sijui kamchape wanawalea mpaka lini huko?
Wajinga sio watu wa kuwachekea kabisa.
Matapeli kutoka Dar.
Walikuja shuleni kutoa uchawi, wanakijiji waliwaleta, baadhi ya walimu tuliwagomea lakini wanakijiji wakashinikiza waingie wakatoe uchawi. Mara wakaingia ofisi ya mkuu wa shule na kudai wametoa uchawi wa mkuu wa shule na mwingine wakaufukua mbele ya shule. Walimu tusioamini uchawi tuliwaambia hatutaki ujinga wao na tutaripoti kwa mkurugenzi wa halmashauri kuwa tumevamiwa shuleni. Mchungaji hawezi kukubali upuuzi huo kwa mujibu wa imani ya kanisa lake. Huo ni uvamizi na hao wavamizi wanatakiwa washitakiwe kwa uchochezi
Kuna mikoa kuendelea never.
Wanadhalilisha sana watu wapuuzi hawa.Kigoma kumejaa wajinga.
Hawa kamchape wangeenda uchagani waone viboko ambayo wangekula.
Ushirikina ni imani za wajinga
Mtu anaeamini uchawi ni mvivu wa kufikiri.Ingawaje uchawi upo
Lakini sasa hii njia wanayoitumia hao kamchape ,haifai
Kwanza waganga nao ni wachawi
Na kuamini dini nako inakuwaje?Mtu anaeamini uchawi ni mvivu wa kufikiri.
Na kuamini dini nako inakuwaje?
Dini na uchawi vinakwenda sawa
almanusura watusingizie ni wachawi tulivyowapinga. Kwanza hatukuchanga ili mganga huyo atoe uchawi shuleni. Tuliona anafanya udanganyifu kwa kujifanya anafukua uchawi ardhini huku akikimbizana na jini alikamate na kulifungia kwenye kitambaa huku hatulioni. Hawa watu wanapaswa kukamatwa na kufunguliwa mashitaka ya kuleta taharuki na uchonganishi katika jamiiHakuna kitu kinaumiza kama msomi uwe katikati ya wajinga.
Watakulazimisha ukubali imani zao za ushirikina kinguvu. Ukipinga unasingiziwa mchawi
almanusura watusingizie ni wachawi tulivyowapinga. Kwanza hatukuchanga ili mganga huyo atoe uchawi shuleni. Tuliona anafanya udanganyifu kwa kujifanya anafukua uchawi ardhini huku akikimbizana na jini alikamate na kulifungia kwenye kitambaa huku hatulioni. Hawa watu wanapaswa kukamatwa na kufunguliwa mashitaka ya kuleta taharuki na uchonganishi katika jamii
Pole Mkuu Kigoma napaelewa vyemaWalikuja shuleni kutoa uchawi, wanakijiji waliwaleta, baadhi ya walimu tuliwagomea lakini wanakijiji wakashinikiza waingie wakatoe uchawi. Mara wakaingia ofisi ya mkuu wa shule na kudai wametoa uchawi wa mkuu wa shule na mwingine wakaufukua mbele ya shule. Walimu tusioamini uchawi tuliwaambia hatutaki ujinga wao na tutaripoti kwa mkurugenzi wa halmashauri kuwa tumevamiwa shuleni. Mchungaji hawezi kukubali upuuzi huo kwa mujibu wa imani ya kanisa lake. Huo ni uvamizi na hao wavamizi wanatakiwa washitakiwe kwa uchochezi
Kiswahili bado kigumuvikali baada ya kugoma kukubali watu
"Nikapiga simu polisi ...polisi hawajimchungaji avamiwa na wananchi na kupigwa vikali baada ya kugoma kukubali watu wenye imani potofu kuingia kwenye viwanja vya kanisa kutoa uchawi.
waganga hao wa kienyeji wanakusanya 5,000/ kwa kila nyumba, kama malipo ya kuwatoa wachawi wote. Mchungaji aligoma kuwapa hela na aligoma kuwaruhusu kuingia kwenye maeneo ya kanisa.
Najiuliza kwanini watu Wa tanzania tunanaamini sana kwenye uchawi, Elimu itolewe ili Watanzania Tuache Imani za ushirikina. Imagine kwenye zama hizi za teknolojia bado kila nyumba inalipishwa 5000 na waganga wa kienyeji ili watoe wachawi
View attachment 2932691