Mchungaji apigwa na wananchi wa Kigoma kwa kuzuia waganga wa kienyeji "Kamchape" wasiingie eneo la kanisa kutafuta uchawi

Pia Hawa kamchape , matokeo ya kazi wanayoonesha mara nyingi huwa si kitu halisi , ni viinimacho.
Mkuu anaposema huletwa kimuaibisha mtu, Hawa huhakikisha huyo anaaibika Kwa kutumia viini macho.
Hivyo haifai kuwaruhusu wafanye kazi zao kwenye eneo lako.
Hakika itaaibika.
Mchungaji pia angeaibika.
 
Hivi huo mkoa hauna serikali? Mkuu wa mkoa anafanya nini na kuachia huu ujinga? Ni siku nyingi tumesikia hizi habari mbona hachukui hatua? Rais anafanya nini kumfukuza kazi mkuu wa mkoa?
Ukipata wasaa ingia YouTube Refer kwenye ziara ya makonda kwenye huo mkoa..

Kuna sehemu alifika Kuna watu wakaibua izo mambo..kamanda wa police wa Eneo Ilo akaanza kutoa darasa la kukemea hayo mambo mbele ya makonda maraia wakaanza kuzomea...

Kuzomea ilipo kua too much Paul makonda akaingilia akauliza zoezi la kamchape liendelee au lisiendelee mayowe mengi ya maraia walisema zoezi liendelee makonda ikambidi akae kimya....

Nilitafakar Sana Hilo tukio hope still huko kigoma na sehemu nyingi za nchi yetu tupo Karne 16_17
 
Si Kigoma hiyo. Inaendana na walichonacho.
 
imagine mchawi/mganga anakuja nyumbani kwako, anasema anataka kutoa uchawi , na anakutoza alfu tano, hivi kweli kuna serikali hai hapa? au wana serikali wenyewe ndio wateja wakubwa wa hao waganga hadi wanawaacha tu wafanya chochote kwa raia wapendavyo?
 

Imagine unaoa mke aliyokulia hayo mazingira yanayoamini kamchape
 
Hatari sana
 
Jamii Kama izo hufanya INDOCTRINATION yaan huwezi kumbadilisha mtu Kama huyo...

Uislamu una mchango mkubwa sana kwenye hizo imani. Sehemu zote ambazo waislamu wapo wengi hizo imani zinakuwa juu na waganga wa kienyeji wanakuwa wengi sana.

Sehemu kama uchagani ama unyakyusani huwezi kupeleka hizo story za waganga kutoa uchawi nyumba kwa nyumba.. wanakijiji hawawezi kukubali
 
Wakamatwe wote mana ni matapeli, mchungaji aseme kwanini hataki uchawi? Na hao kamchape waseme wanatumia kanuni gani kuchunguza makanisa na nyumba za watu?
Ila mchungaji bn kajificha et kasema roho mtakatifu kanifunika πŸ˜‚
 
Viongozi wa mkoa wa Kigoma wameshindwa kabisa kudeal na hao kamchape. Wawajibishwe.
Utawalaumu viongozi bure Mf. Herode kwenye mashitaka ya yesu ma raia walipiga mayowe na kelele ASULUBIWE ASULUBIWE mfalme herode akasema yeye hajaona kosa la yesu...

Kiuhalisia huko kigoma kuwabadilisha mitazamo Ni ngumu Sana...itachukua muda Sanaa tuwekeze kwenye ELIMU , ELIMU, ELIMU..
 
Mkuu,
Umewachokoza wajukuu wa Mudi Mimi simo 😊😊

Nilikua nachomekea tu in Jpm voice
 
Bibi Kalembwana alikuwa na utaratibu unamfuata kwake au unamleta mtu kwa hiari yake mwenyewe halafu ananyolewa uchawi na ushirikina unakwisha.

Nilisikia bibi alishakufa akawarithisha mikoba wajukuu wanapiga kazi kilombero sasa
Bado yupo mrirhi yule wa kiberege alifariki, yaani mikikutuhumu naklipia gharama zoote na kula yako kule. Unajua zamani ilikuwa poa tuu.
 
Sawasawa,huko kanisani ndio wanajifichaga wakimalizana na mchungaji wakashughulike na sheikh pia awatoe wa msikitini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…