Crocodiletooth JF-Expert Member Joined Oct 28, 2012 Posts 20,561 Reaction score 24,428 Sep 3, 2024 #121 Demi said: Kanisani kuna wachawi. Mchungaji kaona ataaibika. Ukute yeye ndio mchawi mwenyewe Click to expand... KWENYE MAKANISA YA UPAKO KOTE KUMEZIKWA VITU VYA HATARI SANA
Demi said: Kanisani kuna wachawi. Mchungaji kaona ataaibika. Ukute yeye ndio mchawi mwenyewe Click to expand... KWENYE MAKANISA YA UPAKO KOTE KUMEZIKWA VITU VYA HATARI SANA
T Tyetyetye JF-Expert Member Joined Dec 3, 2014 Posts 1,142 Reaction score 940 Sep 3, 2024 #122 macho_mdiliko said: Hivi huo mkoa hauna serikali? Mkuu wa mkoa anafanya nini na kuachia huu ujinga? Ni siku nyingi tumesikia hizi habari mbona hachukui hatua? Rais anafanya nini kumfukuza kazi mkuu wa mkoa? Click to expand... Tobias Andengenye ndiye mkuu wa mkoa wa kigoma,retired police officer, utapeli unafanyika mkoani kwake mbele ya macho yake. Cheo hicho kimekosa maana.
macho_mdiliko said: Hivi huo mkoa hauna serikali? Mkuu wa mkoa anafanya nini na kuachia huu ujinga? Ni siku nyingi tumesikia hizi habari mbona hachukui hatua? Rais anafanya nini kumfukuza kazi mkuu wa mkoa? Click to expand... Tobias Andengenye ndiye mkuu wa mkoa wa kigoma,retired police officer, utapeli unafanyika mkoani kwake mbele ya macho yake. Cheo hicho kimekosa maana.
Joannah JF-Expert Member Joined May 8, 2020 Posts 20,921 Reaction score 49,014 Sep 3, 2024 #123 Matawi ya juu said: Unajua kabisa Mimi sio mchungaji, Acha ufala Click to expand... Aloooh...