Mchungaji apigwa na wananchi wa Kigoma kwa kuzuia waganga wa kienyeji "Kamchape" wasiingie eneo la kanisa kutafuta uchawi

Mchungaji apigwa na wananchi wa Kigoma kwa kuzuia waganga wa kienyeji "Kamchape" wasiingie eneo la kanisa kutafuta uchawi

Wananchi wapo sahihi, huko makanisani mahubiri ni hayo hayo ya ushirikina na uchawi, sasa kama kuna watu wanataka wawatoe wachawi na uchawi kwanini awazuie?
 
Sawasawa,huko kanisani ndio wanajifichaga wakimalizana na mchungaji wakashughulike na sheikh pia awatoe wa msikitini

Dada unaonekana smart sana. Nimeshamgaa sana kuona unasapoti mambo ya ushirikina.

Yaani unaamini hao waganga wana nguvu ya kutoa uchawi ?
 
Mchungaji avamiwa na wananchi na kupigwa vikali baada ya kugoma kukubali watu wenye imani potofu kuingia kwenye viwanja vya kanisa kutoa uchawi.

waganga hao wa kienyeji wanakusanya 5,000/ kwa kila nyumba, kama malipo ya kuwatoa wachawi wote. Mchungaji aligoma kuwapa hela na aligoma kuwaruhusu kuingia kwenye maeneo ya kanisa.

Najiuliza kwanini watu Wa tanzania tunanaamini sana kwenye uchawi, Elimu itolewe ili Watanzania Tuache Imani za ushirikina. Imagine kwenye zama hizi za teknolojia bado kila nyumba inalipishwa 5000 na waganga wa kienyeji ili watoe wachawi

View attachment 2932691
Ukiwa maskini, utaamini kila madudu, utqmuona makonda kama suruhisho, mwamposa utqmuona kama yesu, kila kijana mwenye pesa kama Mond, utasema muuza madawa ya kulevya au Freemason,
Na ma ccm yanapenda tuwe hivi hivi, kama mazombie, maana mazombie hayajuhi kifstilia Mambo ya msingi,Mambo yetu ni yanga na Simba, Zuchu na Mond,
 
Wananchi wapo sahihi, huko makanisani mahubiri ni hayo hayo ya ushirikina na uchawi, sasa kama kuna watu wanataka wawatoe wachawi na uchawi kwanini awazuie?
Trespassing ni kosa kisheria, unaendaje kuchoma nyumba ya mchungaji? Si wangevunja tu kanisa wakatafute uchawi kulikua na haja gani ya kuvamia na kuchoma nyumba?
 
I am here boss wangu
Nikakumbuka Yale masimulizi yako ya Safari yako ya kikazi kule kigoma kuwahusu wale wazee watatu wakimya..

Nika relate na hizi habari za kamchape..

Nika conclude kigoma habar za kishirikina na matendo ya ushirikina na Imani za kichawi Ni kubwa mnoo
 
Nikakumbuka Yale masimulizi yako ya Safari yako ya kikazi kule kigoma kuwahusu sale wazee watatu wakimya..

Nika relate na hizi habari za kamchape..

Nika conclude kigoma habar za kishirikina na matendo ya ushirikina na Imani za kichawi Ni kubwa mnoo
Duuu usinikumbushe ile situation asee. Kule ni mwisho wa reli lkn kwa hii story pia ni mwanzo wa mauzauza
 
Kanisani kuna wachawi. Mchungaji kaona ataaibika. Ukute yeye ndio mchawi mwenyewe
Acha ujinga, hao kamchape hawana haki au sababu yeyote kisheria kuingia nyumba au kanisa lolote kusaka wachawi, hao ni majambazi mbele ya sheria , yamepiga watu na kuchoma mali, wana bahati bunduki na mimi havikuwepo kanisani
 
Mchungaji avamiwa na wananchi na kupigwa vikali baada ya kugoma kukubali watu wenye imani potofu kuingia kwenye viwanja vya kanisa kutoa uchawi.

waganga hao wa kienyeji wanakusanya 5,000/ kwa kila nyumba, kama malipo ya kuwatoa wachawi wote. Mchungaji aligoma kuwapa hela na aligoma kuwaruhusu kuingia kwenye maeneo ya kanisa.

Najiuliza kwanini watu Wa tanzania tunanaamini sana kwenye uchawi, Elimu itolewe ili Watanzania Tuache Imani za ushirikina. Imagine kwenye zama hizi za teknolojia bado kila nyumba inalipishwa 5000 na waganga wa kienyeji ili watoe wachawi

View attachment 2932691
Hao wachungaji sijui manabii wengi wao wanaibia watu na wengine wanatumia nguvu za giza
 
Acha ujinga, hao kamchape hawana haki au sababu yeyote kisheria kuingia nyumba au kanisa lolote kusaka wachawi, hao ni majambazi mbele ya sheria , yamepiga watu na kuchoma mali, wana bahati bunduki na mimi havikuwepo kanisani
We ndio mchungaji?
 
Walikuja shuleni kutoa uchawi, wanakijiji waliwaleta, baadhi ya walimu tuliwagomea lakini wanakijiji wakashinikiza waingie wakatoe uchawi. Mara wakaingia ofisi ya mkuu wa shule na kudai wametoa uchawi wa mkuu wa shule na mwingine wakaufukua mbele ya shule. Walimu tusioamini uchawi tuliwaambia hatutaki ujinga wao na tutaripoti kwa mkurugenzi wa halmashauri kuwa tumevamiwa shuleni. Mchungaji hawezi kukubali upuuzi huo kwa mujibu wa imani ya kanisa lake. Huo ni uvamizi na hao wavamizi wanatakiwa washitakiwe kwa uchochezi
Mkuu, upo Kigoma?

Jiahidi kufanyika sehemu ya mabadiliko ya huo mkoa kupitia wanafunzi wako. Nafikiri, Kigoma ni kati ya mikoa inayoongoza kwa imani za kishirikina.
 
Back
Top Bottom