ni kweli, labda tuangalie ni nini kinasababisha anguko kubwa la waimbaji wa injili hususani wa kike, je ni kiburi cha uzima, ni fedha au uzinzi?Mambo ya hovyo hajaanza huyo, ila kati ya wasanii wa gospels niliowaelewa kwa nyimbo nzuri miaka ya 2015 kurudi nyuma ni Christina shusho na Martha mwaipaja, miaka ya hivi karibuni hata wakitoa nyimbo mpya huwa hazinibariki kabisaaaa yaani naona kama bongo fleva tu, nyimbo hazina upako kabisa
Kweli uzinzi unaondoa kibali
alikapata kwa mumewe mchungajiNaskia ana katoto ka kiume ila hamuomyeshi mitandaoni
kwahiyo ni kweli?Huwezi kuamini hiyo code ya Mtumishi nimeifungua jana.
Siwezi kuthibitisha hilo kwa sasa, nimefungua tu code.kwahiyo ni kweli?
sawqSiwezi kuthibitisha hilo kwa sasa, nimefungua tu code.
Hadi nifuatilie.
Aisee ana takoAtaachaje manake kusaga** ni rafiki yake na ku**r*na
Niliwahi sikia alikuwa punda wa handsome wa msoga. Sijui iliishia wapi.alikapata kwa mumewe mchungaji
Je hilo ni jukwaa sahihi la kusigana?Mchungaji aanika machafu yote ya Martha Mwaipaja katika ukurasa wa Facebook
Mchungaji anadai Martha Mwaipaja anajihusisha na vitendo vichafu vya usa**ji) visivyokubalika ndani ya jamii ya Tanzania na kwa Africa kwa ujumla
Ushahidi: Tembelea Page hii Atuganile Mwakosya
Ushahidi wa Catherine:
View: https://www.instagram.com/reel/DDq7sjfNS9j/?utm_source=ig_web_copy_link&igsh=MzRlODBiNWFlZA==
Tazama Video hii
mmhNiliwahi sikia alikuwa punda wa handsome wa msoga. Sijui iliishia wapi.
Yuko sahihi kwa mujibu wa neno hiliDini zote zinakataza kueneza uchafu na aibu za watu
Je huyu ni mchungaji kweli?
Mbona mafundisho yanakataza huu unafiki na adhabu yake ni kali sana?