Mchungaji Atuganile Mwakyosa aanika machafu yote ya Martha Mwaipaja akidai anafanya matendo machafu kinyume na tamaduni za Tanzania

Mchungaji Atuganile Mwakyosa aanika machafu yote ya Martha Mwaipaja akidai anafanya matendo machafu kinyume na tamaduni za Tanzania

Usagaji si issue, hiyo ni haki ya binadamu.

Hapa kuna issues mbili.

Unafiki. Kujifanya mtu wa dini sana kumbe hamna kitu bora hata Kiranga anayesema hakuna Mungu dunia inajua haamini Mungu.

Kitu cha pili, kushiriki haya matendo na watoto. Sijui huyo mtoto ana umri gani, ila kama under 18 hapo kuna kesi ya pedophilia.

Huko kwenye kusagana wakubwa wenyewe kwa wenyewe wasagane na kukoboana mpaka wachoke. Hayo ni mambo yao ya faragha hayatuhusu.
 
In short mafanikio yoyote kwa mwanamke yanampa uwendawazimu,siyo rahisi kukuta wanawake wengi waliofanikiwa wakibaki kama walivyokuwa mwanzo,kwanza hamna kabisa.

Kama ni kazi,ndoa,kipato kujulikana na wengi ktk wachache au kuaminiwa ktk kundi humuwehusha mwanamke kiasi anakuwa kama chizi.matendo ya aibu,kujikweza,kujiona bora au kuona wengine kama takataka vyote vinatokana na mafanikio ndiyo maana utakuta huyu kama mume walishaachana yeyote anakamata anagonga hata teja alimradi amsifie kwa lolote.
 
Usagaji si issue, hiyo ni haki ya binadamu.

Hapa kuna issues mbili.

Unafiki. Kujifanya mtu wa dini sana kumbe hamna kitu bora hata Kiranga anayesema hakuna Mungu dunia inajua haamini Mungu.

Kitu cha pili, kushiriki haya matendo na watoto. Sijui huyo mtoto ana umri gani, ila kama under 18 hapo kuna kesi ya pedophilia.

Huko kwenye kusagana wakubwa wenyewe kwa wenyewe wasagane na kukoboana mpaka wachoke. Hayo ni mambo yao ya faragha hayatuhusu.
Dada amevunja heshima yake completely
 
hakuna mahala Mchungaji ametaja Mtu, mnajuaje ni yeye?
Kwani mada inamzungumzia nani
1734452245053.png
 
Back
Top Bottom