Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Hata ukinukuu quran wanakimbilia kwenye ukafiri. Hawa ni sawa na viatu viwili kwenye mguu wa shetani mmoja so to speak. Kkkkkkk!Ukinukuu bibble wanakimbia kwenye ukoloni hahahhaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ukinukuu quran wanakimbilia kwenye ukafiri. Hawa ni sawa na viatu viwili kwenye mguu wa shetani mmoja so to speak. Kkkkkkk!Ukinukuu bibble wanakimbia kwenye ukoloni hahahhaha
Umeshawahi kusikia mkristo amemuuwa mtu kisa kabadili diniHivi unaisoma biblia vzr ama na ww ni nyumbu kama nyumbu wengine
Kuitetea dini yako ni kazi kubwa sanaTaarifa nilizopata ni waumini wake ndo wamechoma baada ya kugundua wanadanganywa na kuliwa sadaka
Dada yako akiolewa na mkristu?mimi muislam ila siwezi kushiriki upumbavu huo kamwee
mimi hata uabudu mti sina shida na wewe na dadako akinipenda namuoa
Ila haifikii ya Papa francis kubariki ushogaKuitetea dini yako ni kazi kubwa sana
Hujuagi unachoongea, Jitahidi uwe unatumia hata dictionaryIslamophobia tu hakuna lolote.
Source ya taarifa anayotumia jamaa ni media ya kanisa,hembu alete taarifa kwenye vyanzo vya kuaminika.Taarifa nilizopata ni waumini wake ndo wamechoma baada ya kugundua wanadanganywa na kuliwa sadaka
Hicho chanzo ni uongo mtupu, ukisoma habari zake zote ni uzushi mtupu, wanazusha wakristo wengi wanaingia Uislam.
Hao waongo tu wapika majungu.
[/QUOT] Utakuwa una PhD ya ubishi au unavinasaba vya Kasulu au Ujiji.
Kauawa mke na watoto kwa sababu wameacha uislamu halafu wewe unalaumu islamaphobia!!!!Islamophobia tu hakuna lolote.
Uzushi tu huo.Hujuagi unachoongea, Jitahidi uwe unatumia hata dictionary
Kilichofanyika ni waislam kuwa waoga ukristo unasambaa kijijini CHRISTOPHOBIA
Kwao suluhisho ni KUUA
Qur'an, verse 5:32, "Whoever kills a person not in retaliation for a person killed, nor (as a punishment) for spreading disorder on the earth, is as if he has killed the whole of humankind".Uzushi tu huo.
Uislam unatufundisha ukiuwa mmoja ni kama umeuwa dunia nzima na yukinusuru mmoja ni kama umenusuri dunia nzima. Hakuna Muislam anaeweza kuiwacha pepo kwa kwenda kuuwa yeyote ambae hjahukumiwa kifo.
Biblia ndiyominafundisha mauwaji.
Bisha.
Ubishi wa kitoto huo. Kabisome nilichoandika, au unaboisha nilichoandika?Umeshawahi kusikia mkristo amemuuwa mtu kisa kabadili dini
Kwa kifupi tu tunayaelewa na kuyajua zaidi ayo maandiko ya biblia kuliko mnavyoyaelewa nyie.
Tutafsirie tu, hapo na kwengine.Qur'an, verse 5:32, "Whoever kills a person not in retaliation for a person killed, nor (as a punishment) for spreading disorder on the earth, is as if he has killed the whole of humankind".
Hii verse huwa mnaitafsiri kwa kuchakachua,haina maana hiyo unayotaka kuileta hapa .
Beba wanao tokomea kusikojilikana mjombaHawa jamaa hawana akili hata kidogo linapokuja swala la imani au dini wako radhi kufanya chochote ilimuradi wamekaririshwa ujinga kwamba dini yao ndo ya haki,nyingine taka taka.Najuta kuzaa na huyu mwanamke.
Hahahaha! Eti buana ukatae kula embe zuri kisa liko kwa shamba ya mkristo.mimi muislam ila siwezi kushiriki upumbavu huo kamwee
mimi hata uabudu mti sina shida na wewe na dadako akinipenda namuoa
Mimi huwa nawaza kuwa Uislam ulianzishwa na watu wenye akili, kupunguza idadi ya watu (population) duniani kupitia uwehu/ukichaa wa dini. Mtu mwenye akili timamu huwezi kufanywa na haya matakataka yanayofanywa kwa kisingizio cha kulinda dini. Unailinda dini kama u awamiliki watu kwani wamekuwa mifugo. Nigeria wameanzisha kikundi kingine cha mauaji.Hii haikubaliki kweli, lakini tatizo ni baadhi ya waislamu wanaotafsiri maandiko ndivyo sivyo. Viongozi wa dini wa kiislamu wanapaswa kufanyia kazi hilo. Sehemu nyingi kuna matatizo ya hizi tafsiri
Wakati mama Samia ameingia madarakani, safari yake ya kwanza kwenda US niliona sehemu masheikh/wale wanaokata suruali wanasema mama Samia kaitwa marekani Kuja kukandamiza haki za waislamu. Kuna tatizo kubwa japo inawezekana kutoka huko