Mchungaji auawa na kikundi cha Waislam wenye itikadi kali baada ya Waislam watatu kuwa Wakristo

Mchungaji auawa na kikundi cha Waislam wenye itikadi kali baada ya Waislam watatu kuwa Wakristo

Hivi tatzo huwa ni nini hasa, Mbona mkristo akisilimu hakuna tatizo ?

Juzi hapo Harmonize kaombewa tu, imekuwa ishu nzito sana
Kuna watu wanapewa mafundisho ya kishetani halafu wanaamini ni mafundisho ya Mungu!

Uislam na waislam wana kazi kubwa ya kujitenga na ushetani. Shetani kwa kiasi kikubwa amejijenga ndani ya uislam kiasi cha kuitumia dini ya Kiislam kutimiza adhima yake ya kuhakikisha wengi wanaishia jehanamu.

Kuna majitu yanatumikia himaya ya shetani lakini wanapotimiza hilo wanadai ni uislam wa msimamo mkali. Hakuna uislam wa msimamo mkali, huo ni ushetani.
 
Yule dada wa Iran alieacha nywele kidogo zikaonekana. Akakamatwa na polisi wanaitwa wa maadili, wakamuulia Kule sero! Ayatolah ni mpumbavu sana!
Kuna mstari mwembamba sana kati ya baadhi ya mafundisho ya uislam, hasa washia, na himaya ya shetani.
 
Mkristo yeyote anayemuishi Kristo kifo kwake sio kitu sababu tunaamini tunalala ktk Kristo Yesu, kifo na kaburi haviumi.
Katika kitabu cha Wafilipi,Mtume Paul anasema kuwa, " Kwangu, kuishi ni Kristo, na kufa ni faida zaidi.."
 
Mkristo yeyote anayemuishi Kristo kifo kwake sio kitu sababu tunaamini tunalala ktk Kristo Yesu, kifo na kaburi haviumi.
Waebrania 2 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹⁴ Basi, kwa kuwa watoto wameshiriki damu na mwili, yeye naye vivyo hivyo alishiriki yayo hayo, ili kwa njia ya mauti amharibu yeye aliyekuwa na nguvu za mauti, yaani, Ibilisi,
¹⁵ awaache huru wale ambao kwamba maisha yao yote kwa hofu ya mauti walikuwa katika hali ya utumwa.
 
Aisee sio sawa hii.
Kuna yule msichana alietoka uislam kwenda ukristo alitandikwa viboko 100 na ndugu zake hukohuko Uganda.

Dini hizi mmh.
Wazungu siwapendi ila kuna muda naona Bora wao ndo wameshika Dunia, sipati picha nchi zenye dola za kiislamu ndo zingekua superpowers, tungesilimishwa wote kwa nguvu, kiufupi tungeisoma namba
Tazama tangu historia ya utumwa, utajua kuwa kiasili waarabu ni watu katili. Halafu ule ukatili wao wameufanya kuwa ni sehemu ya imani ya kiislam. Walipokuwa wakieneza uislam, wakauweka ukatili wao ndiyo imani yenyewe.

Wasio waarabu wana kazi kubwa ya kuuelewa uislam kama imani ya kidini ili wautenganishe na tabia na desturi za kiarabu, ambazo zimejaa ukatili wa ajabu.
 

Rum 8:36 SUV​

Kama ilivyoandikwa, ya kwamba, Kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa, Tumehesabiwa kuwa kama kondoo wa kuchinjwa.
 

2 Mambo ya Nyakati 15​

13 Na kwamba yeyote asiyemtii Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, awe kijana au mzee, mwanamume au mwanamke, sharti auawe.

Uwe unaweka za biblia pia ili usionekane mnafiki.

Yalikuwa mapatano binafsi wala sio maagizo ya Mungu
Screenshot_20241115-102146.jpg
 
Waebrania 2 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹⁴ Basi, kwa kuwa watoto wameshiriki damu na mwili, yeye naye vivyo hivyo alishiriki yayo hayo, ili kwa njia ya mauti amharibu yeye aliyekuwa na nguvu za mauti, yaani, Ibilisi,
¹⁵ awaache huru wale ambao kwamba maisha yao yote kwa hofu ya mauti walikuwa katika hali ya utumwa.
Amina mtumishi wa Mungu.
 
Mashariki mwa Uganda, kundi la Waislamu wenye itikadi kali limemuua Mchungaji Weere Mukisa, mke wake Annet Namugaya, na watoto wao wawili, Judith (7) na Sylvia (4), kwa kuwachomea nyumba usiku baada ya Mchungaji kubadili imani ya Waislamu watatu kuwa Wakristo. Tukio hili lilitokea saa 9 alfajiri tarehe 13 Oktoba katika kijiji cha Kibale, Wilaya ya Namutumba. Mchungaji Mukisa, 30, alikuwa akipokea vitisho tangu ubadilishaji huo mwezi Septemba. Polisi wanachunguza tukio hilo huku jamii ikihitaji sala na haki.


Katika tukio jingine, Hidaaya Nabafa, mama wa watoto watatu, alishambuliwa kwa asidi na mume wake, Juma Nsibambi, baada ya kugeuka Mkristo. Nabafa alipata majeraha makubwa yanayohitaji matibabu ya muda mrefu na upasuaji wa kurekebisha ngozi. Matukio haya yanaonyesha kuongezeka kwa mateso dhidi ya Wakristo nchini Uganda, ingawa katiba inatoa uhuru wa kidini.

====

In Eastern Uganda, an Islamist mob killed Pastor Weere Mukisa, his wife Annet Namugaya, and their two young daughters, Judith, 7, and Sylvia, 4, by setting their home on fire after the pastor converted three Muslims to Christianity.

The attack occurred at around 3 a.m. on Oct. 13 in Kibale village, Namutumba District, according to his brother, James Tusubira. Pastor Mukisa, 30, had received threats since the conversions in September.

Tusubira reported seeing flames from the house and, upon reaching the site, found it destroyed with plastic petrol bottles nearby. Police are pursuing the attackers, who are from a nearby village and were known to the pastor. The brutal incident has left the community in shock, with Tusubira calling for prayers and justice.

Husband Attacks Wife with Acid for Converting to Christianity

In a separate incident in Nankoma, Bugiri District, Hidaaya Nabafa, a 27-year-old mother of three, was severely beaten and doused with acid by her husband after she admitted her new Christian faith.

Nabafa, who converted in August, had attended a worship service on Oct.9, which angered her husband, Juma Nsibambi. He assaulted her and poured battery acid on her, causing severe burns that will require ongoing treatment and reconstructive surgery.

These attacks underscore the increasing persecution of Christians in Uganda. Although Uganda’s constitution guarantees religious freedom, reports of violence against converts are mounting. Muslims comprise no more than 12% of Uganda’s population, with most concentrated in the East.

cbn.com
Ritz Webabu FaizaFoxy Adiosamigo kuna haja ya dini hii kufundishwa ustaarabu wa kiimani. No need of violence. Mtu aamini anachotaka. Ukatili na unyama unahalalishwa sana katika Uislamu kwa kisingizio cha Imani.

Wakristu huwa hawahangaiki hata Papa kwa Wakatoliki aki silimu watamfakia maisha mema. Au askofu akisilimu hawatamtenga wala kumdhuru. Kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe. Imani si ya jumuiya ni ya mtu binafsi.
 
Mashariki mwa Uganda, kundi la Waislamu wenye itikadi kali limemuua Mchungaji Weere Mukisa, mke wake Annet Namugaya, na watoto wao wawili, Judith (7) na Sylvia (4), kwa kuwachomea nyumba usiku baada ya Mchungaji kubadili imani ya Waislamu watatu kuwa Wakristo. Tukio hili lilitokea saa 9 alfajiri tarehe 13 Oktoba katika kijiji cha Kibale, Wilaya ya Namutumba. Mchungaji Mukisa, 30, alikuwa akipokea vitisho tangu ubadilishaji huo mwezi Septemba. Polisi wanachunguza tukio hilo huku jamii ikihitaji sala na haki.


Katika tukio jingine, Hidaaya Nabafa, mama wa watoto watatu, alishambuliwa kwa asidi na mume wake, Juma Nsibambi, baada ya kugeuka Mkristo. Nabafa alipata majeraha makubwa yanayohitaji matibabu ya muda mrefu na upasuaji wa kurekebisha ngozi. Matukio haya yanaonyesha kuongezeka kwa mateso dhidi ya Wakristo nchini Uganda, ingawa katiba inatoa uhuru wa kidini.

====

In Eastern Uganda, an Islamist mob killed Pastor Weere Mukisa, his wife Annet Namugaya, and their two young daughters, Judith, 7, and Sylvia, 4, by setting their home on fire after the pastor converted three Muslims to Christianity.

The attack occurred at around 3 a.m. on Oct. 13 in Kibale village, Namutumba District, according to his brother, James Tusubira. Pastor Mukisa, 30, had received threats since the conversions in September.

Tusubira reported seeing flames from the house and, upon reaching the site, found it destroyed with plastic petrol bottles nearby. Police are pursuing the attackers, who are from a nearby village and were known to the pastor. The brutal incident has left the community in shock, with Tusubira calling for prayers and justice.

Husband Attacks Wife with Acid for Converting to Christianity

In a separate incident in Nankoma, Bugiri District, Hidaaya Nabafa, a 27-year-old mother of three, was severely beaten and doused with acid by her husband after she admitted her new Christian faith.

Nabafa, who converted in August, had attended a worship service on Oct.9, which angered her husband, Juma Nsibambi. He assaulted her and poured battery acid on her, causing severe burns that will require ongoing treatment and reconstructive surgery.

These attacks underscore the increasing persecution of Christians in Uganda. Although Uganda’s constitution guarantees religious freedom, reports of violence against converts are mounting. Muslims comprise no more than 12% of Uganda’s population, with most concentrated in the East.

cbn.com
Aisee kumbe Vita ya Udini ni Kali sana inatuuwa wenyewe kwa wenyewe sio jambo la kufumbia macho hili
 
Sunan an-Nasa'i 4059
Ibn 'Abbas said:
"The Messenger of Allah [SAW] said: 'Whoever changes his religion, kill him.'"
 
Ritz Webabu FaizaFoxy Adiosamigo kuna haja ya dini hii kufundishwa ustaarabu wa kiimani. No need of violence. Mtu aamini anachotaka. Ukatili na unyama unahalalishwa sana katika Uislamu kwa kisingizio cha Imani.

Wakristu huwa hawahangaiki hata Papa kwa Wakatoliki aki silimu watamfakia maisha mema. Au askofu akisilimu hawatamtenga wala kumdhuru. Kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe. Imani si ya jumuiya ni ya mtu binafsi.
Sikiliza kijana mtengeneza majina anaye kuambia Uislam unafundisha violence ni mpumbafu. As far as Islam is concerned, mafundisho ya uislam yanakataza na kucondemns every form of terrorism. Uislam haiwakingii kifua watu wanao tumia ujinga huo kwa kujidai waislam, ili wadhuri watu kwa kutumia violence, iwe serekali au magroupu. Nyie hao mnao sema waislam mkiwambia wasome juzu Amma tu watashindwa, je ukiwambia juzu katika Masahafu 😄

Kabla yakuwacode hao mnao waita waislam kwanza mnatakiwa mkasome Qur'an wapi inafundisha violence, msiende mkacopy tu point bila kuisoma full point yake, ndio mtajua Uislam ni dini ya amani au shari.
 
Back
Top Bottom