Mchungaji auawa na kikundi cha Waislam wenye itikadi kali baada ya Waislam watatu kuwa Wakristo

Lazima utasema hayo. CCM hàta wàkiteka mtu wanasema amejiteka.
Ccm na Chadema wote ni matapeli.

Kuna mlevi wa chadema aligonga gari ya mtu Iringa akakimbia walivyoanza kumkimbiza akakimbilia kupost kuwa kuna watu wanataka kumteka
 
Dini za mzungu na mwarabu ujinga wa kif*la sana. Kwenye dini zetu kila mtu alikua anaanudu anachokijua yeye na tulikua hatupigani wala mtu mmoja kutoheshimu miungu ya mwingine.
 
Wazungu siwapendi ila kuna muda naona Bora wao ndo wameshika Dunia, sipati picha nchi zenye dola za kiislamu ndo zingekua superpowers, tungesilimishwa wote kwa nguvu, kiufupi tungeisoma namba
Hapa ndipo faida ya USA kuongoza dunia inapoonekana, imagine Iran, Saudia Na wenzao ndo wangekuwa kama USA mambo yangekuwaje
 
Sisi sote ni wamoja, tupendane na tuijenge Tanzania bora pamoja.

💔
 
Kwanza mna hakika hiyo habari ni ya kweli.??? Mana siku hizi propaganda ni kubwa kuliko uhalisia.

Mtoa mada umechukua tu habari na kuileta hapa hujui wengine wanakaa uganda na hiyo habari hawana.
 
Kama huko kwao wanachinjana na kutoana vichea wao kwa wao je watawafanya nini wengine
 
Matendo ya wafuasi wa dini ya Allah na kitabu cha majini
 
Sio tafsiri wala nini
Uislamu ndio uko hivyo dini ya fujo na vurugu toka Mwanzo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…