Mchungaji awashauri wachumba kutest mitambo kabla ya kuoana; adai yeye alitest ya kwake

Mchungaji awashauri wachumba kutest mitambo kabla ya kuoana; adai yeye alitest ya kwake

Wanakula wanasepa. Utaliwa na wangapi sasa
Kumpata atakae vumilia ni nadra sana..ni mmoja kati ya 1000.
Ukiona kasepa ujue kuna tabia nyingine hajavutiwa nazo
 
Kwa upande wa pili atajuaje kama ni bwawa?
Safi kabisa Mkuu. Kupimana lazima. Alafu pia mwanaume lazima ukague kama marinda yapo kwa mkeo au una niambiaje Mkuu ?! Nisije uziwa mbuzi kwenye gunia
 
Ushauri mzuri ila ni mbaya pia.
Inatakiwa iishie labda kwenye kupapasa na kuona inasimama kweli na inakaza😂😂. Ila kwenye kusex hapana ni ushauri mbaya
Na ukisha ntest mimi kama inamesima na imekaza na Mimi ntakutest vipi wewe kama Iko tight?
 
Wanakula wanasepa. Utaliwa na wangapi sasa
We liwa tuu atakaye amua kujenga itajulikana mbeleni ila hakikisha una liwa usije kuwa CHIZI MINYEGE yaani nyege ziki kuzidi kuna mambo ya ajabu huwa unajikuta una fanya fanya hasa nyie wanawake kama kununa nuna, hasira za hapa na pale mara ohh mudi zime change ukiona hivyo ujue huja kojozwa muda mrefu sasa hali hiyo ndiyo ina itwa CHIZI MINYEGE. sasa usije itwa HANNAH CHIZI MINYEGE 😂😂😂
 
Kwa hiyo wewe unashauri watu waende kinyume na maelekezo ya Mungu/Allah?
Kwahiyo maelekezo ya kijinga alipewa binadamu kutoka kwa Mungu juu ya sex viumbe wengine hapana wakati wanafanya na kuzaliana vizuri tu?mbwa,nyani,kuku,nk wao hawana masharti katika sex ila wewe tu,kwa umuhimu gan hasa ulio nao hapa duniani?

Sent from my SH-52C using JamiiForums mobile app
 
Mchungaji kaongea ili kutafuta kiki Nadhani maana wapo wengi dunia ya leo wameonjana mpaka wakazaa watoto na bado wakaachana. Nadhani mchungaji ajikite zaidi kusimamia sadaka yake ya kila wiki isipungue kuliko kuingia vitu ambavyo utafiti wake haujafika mwisho!
 
Ushauri mzuri ila ni mbaya pia.
Inatakiwa iishie labda kwenye kupapasa na kuona inasimama kweli na inakaza😂😂. Ila kwenye kusex hapana ni ushauri mbaya
Mhhh? ".... inasimama na inakaza....." ujihakikishie huduma😂😂😂 Hannah
 
Ushauri mzuri ila ni mbaya pia.
Inatakiwa iishie labda kwenye kupapasa na kuona inasimama kweli na inakaza😂😂. Ila kwenye kusex hapana ni ushauri mbaya
ushauri mbaya sana na SI wa kiMungu,kwani zamani ndoa zikidumu walikuwa wanatestiana? Leo magonjwa na chakula ni tatizo ukitesti Leo ikawa sawa, kesho ikalegea una acha na kwenda kutesti pengine?
 
Back
Top Bottom