Mchungaji awashauri wachumba kutest mitambo kabla ya kuoana; adai yeye alitest ya kwake

Mchungaji awashauri wachumba kutest mitambo kabla ya kuoana; adai yeye alitest ya kwake

Kabla hatujaanza kumnanga Mzee Mama, sote tujiulize humu ndani, wewe na mkeo au mumeo mlianza kudinyana baada ya ndoa? Hapo tutaona kati yetu na yeye nani sio mnafki .
 
Kulingana na maandiko hayupo sahihi 100%
Na apo ni kuzitegemea akil zako mwenyewe
Maana Mungu anasema mke mwema hutoka kwake
Wakristl walipaswa kuomba sana Mungu amkutanishe na mke wake
Maana kilanunaefanya nae tendo bila ndoa ni kuzini
Apo anashawish uzinzi.
Nashangaa anawaumini wanaomfurahia pia
 
Kwahiyo maelekezo ya kijinga alipewa binadamu kutoka kwa Mungu juu ya sex viumbe wengine hapana wakati wanafanya na kuzaliana vizuri tu?mbwa,nyani,kuku,nk wao hawana masharti katika sex ila wewe tu,kwa umuhimu gan hasa ulio nao hapa duniani?

Sent from my SH-52C using JamiiForums mobile app
Binadamu sio mnyama mkuu. Wewe unashauri nini kifanyike?
 
Huko kutesti mitambo kabla ya kuoana ndo kumepelekea ongezeko la talaka na watu kutohitaji ndoa.

Nyapu zinapatikana kirahisi sana, na zimetumika mno.... ukioa tu unalinganishwa na waliopita.
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na ambayo ni kinyume na mafundisho ya kidini (kiislamu na kikristo), mchungaji mmoja wa kike amewashauri wachumba kutestiana mitambo kabla ya kuingia kwenye ndoa.

Mshauri huyo wa ndoa alitokea kutoa mwanga zaidi kuhusu ni kwa nini kutalikiana kumekuwa jambo la kawaida katika jamii ya leo. Mchungaji mmoja wa kike kutoka nchini Ghana ambaye pia anajiongeza kama mshauri wa masuala ya ndoa, Dkt Nana Yaa Prempeh amekuwa gumzo mitandaoni baada ya kuwashauri akina dada nini cha kufanya kabla ya kukubali kuingia katika ndoa.

Kaitka video ambayo imesambaa mitandaoni, mchungaji huyo alikuwa akizungumza kwenye runinga moja nchini humo wakati alifunguka kwamba yeye ni mmoja wa wanawake wenye filosofia ya ‘kuona na kuhakikisha uume unafanya kazi kabla ya kuamua ndoa’.

Mchungaji huyo amesema ndoa nyingi zinavunjika siku hizi baada ya mmoja wa wanandoa kugundua mitambo ya mwenzake haimridhishi hivyo kupelekea ndoa nyingi kukata roho.

“Mimi ni miongoni mwa wanawake wa Mungu ambaye nadhani kabla ya kuolewa na mwanaume lazima uuone uume wake. Lazima uione, lazima uishike, lazima uisikie na uhakikishe inafanya kazi.”

Baada ya maneno hayo kutamkwa bila kutarajia mtangazaji wa kike aliyekuwa anaongoza mahojiano hayo, aliomba kunywa maji na mchungaji huyo alimuuliza mbona kama ameshtushwa na maneno yake.

“Ah, mbona unakuwa na wasiwasi hivyo?” mchungaji huyo alimuuliza mtangazaji naye akamjibu, “ngoja kwanza ninywe maji kidogo.”

Hii hapa chini ni video hiyo ambayo imezua taharuki mitandaoni kuhusu baadhi ya mafundisho ambayo watumishi wa Mungu wanafundisha siku hizi hasa katika suala zima la muunganiko wa mume na mke kuanzisha familia.

View: https://youtu.be/7XGaqwJw-tw

Mchungaji huyu namfananisha na mchungaji Rose Shaboka kutoka Tanzania ambaye muda wote anafundisha kuhusu mambo ya ngono. Sijawahi kumsikia Rose akifundisha jambo lingine zaidi ya ngono na kuhondomola.
 
Makanisa Ya Chap chap Hayo, Maana Hata Usipojaribu Ukakuta Hana Kitu Ruksa Kuvunja Ndoa
 
Ushauri mzuri ila ni mbaya pia.
Inatakiwa iishie labda kwenye kupapasa na kuona inasimama kweli na inakaza😂😂. Ila kwenye kusex hapana ni ushauri mbaya
Sasa wewe utaona kabisa machine ya mtu wako imesimama uvumilie kutoiingiza kwenye papuchi kweli? Wengine wakiona imesimama tu wanaanza kuinyonya na wakilemewa na ny3g3 wanaijaza kwenye papuchi moja kwa moja.
 
Unamuungaje mkono wakati dini inakataza mkuu? Unataka kwenda kinyume na mafundisho ya mtume na Mungu?
Muda fulani inabidi baadhi ya mambo kiwa updated kuendana na nyakati husika na tuache unafiki,

Kwa nyakati hizi watu wengi wanaingia kwenye ndoa tayari washakuwa na mahusiano kadhaa kabla (exes), kila kitu wanajua
 
Kidunia ndio hali halisi. Unaolewaje na mtu bila kumuonja. Ukikuta sio size yako inachochea uzinzi. Kei na dudu ni muhimu zifit
 
Ushauri mzuri ila ni mbaya pia.
Inatakiwa iishie labda kwenye kupapasa na kuona inasimama kweli na inakaza😂😂. Ila kwenye kusex hapana ni ushauri mbaya
wengi husema hivyo lakini wakifika magetoni baada ya mpapaso mzito wanaachia mzigo.
 
Back
Top Bottom