Mchungaji Daniel Mgogo ni mchungaji wa dini au ni motivational speaker?

hakuna mchungaji Wa dini
!!
Dini haichungwi
 
Hahaha...wewe jamaa unadadisi sana, anyway katika watu ninaowakubali zaidi katika kufundisha neno la Mungu ni mwalimu Mwakasege na anadai hakupita hata bible school.
 
Usimtazame mchungaji anacho sema bali fuata yale yalio muhimu Mungu amemfunulia

Hii ndio concept ya hovyo sana ya dini!

Ndio inafanya dini inakua very dangerous!

Yaani unamtoa dhamana muhubiri kwa kile anachokiwakilisha kwa wasiojua lolote which is nonsensical kabisa!

Hii inaitwa religious catastrophe!
 
Well said
 
Mchungaji mgogo anahubiri maisha halisi kabisa wanayoyaisha watu kila siku!

Mlishazoea kudanganywa na matapeli akina Gwajima na makasisi uchwara wanaokula sadaka kama mchwa!

Mimi sio mtu wa makanisa kanisa sana lakini navutiwa na staili ya mahubiri ya mgogo maana yanagusa maisha ya kawaida kabisa ambayo mtu yeyote anaweza kuyaishi!

Ana talanta ya ucheshi pia, kitu ambacho kinamfanya azidi kuvutia zaidi. Hachoshi kumsikiliza!
 
nilimsikia kwenye radio interview aliulizwa swali hilo alichojibu ni sawa na comment ya kwanza hapo juu
 
Hii ndio concept ya hovyo sana ya dini!

Ndio inafanya dini inakua very dangerous!

Yaani unamtoa dhamana muhubiri kwa kile anachokiwakilisha kwa wasiojua lolote which is nonsensical kabisa!

Hii inaitwa religious catastrophe!
Ni sawasawa na mafarisayo, walikuwa wanafundisha watu sheria ya Musa lakini wao kwa matendo yao hawakuifuata. Basi Yesu akawambia "Mafarisayo wameketi katika kiti cha Musa, fuateni wanayosema bali msifuate wanayotenda"
 
Watu wanamchukua vipande, NENO au mahubiri saa 1 mpaka na 1 na nusu sasa kakipande ka dakika 2 katakua na nini hapo
 
Ni sawasawa na mafarisayo, walikuwa wanafundisha watu sheria ya Musa lakini wao kwa matendo yao hawakuifuata. Basi Yesu akawambia "Mafarisayo wameketi katika kiti cha Musa, fuateni wanayosema bali msifuate wanayotenda"

Yesu concept again!
 
Yupo vizuri sana, anaandaa hadi semina za kuwafundisha wachungaji na viongozi wengine wa kanisa.
Hahaha...wewe jamaa unadadisi sana, anyway katika watu ninaowakubali zaidi katika kufundisha neno la Mungu ni mwalimu Mwakasege na anadai hakupita hata bible school.
 
Mitimingi ni nabii wa shetani.Ana promote ngono balaa!
 
Hizo clip anaweka mwenyewe hivyo na yeye amepapenda hapo alipoonyesha kwenye clip hasa YouTube.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…