samweli wa pili
JF-Expert Member
- Mar 21, 2018
- 410
- 284
Kwa ujumla ni mtafutaji na wafuasi wake ni wanawake.Huyo jamaa namuona kama mropokaji Fulani hv, anyway ni upepo tu nao utapita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa ujumla ni mtafutaji na wafuasi wake ni wanawake.Huyo jamaa namuona kama mropokaji Fulani hv, anyway ni upepo tu nao utapita
Motivational speakers, wako wengi tu mbona?Naomba kujua kutoka kwa waumini wa huyu mchungaji Mgogo, je ni mchungaji wa dini au ni mtia hamasa(motivational speaker) wa dini?
Hua naona watu wengi wanapenda kuweka video clips za mahubiri yake kwenye social media statuses ila hakuna mahala au sijawahi kusikia akinukuu vifungu vya dini yake. Je ni mchungaji au ni motivational speaker? Yeye na Mchungaji Mitimingi wana uhusiano wowote?
Ahsante.
That much I know, and that will not derail us believers to long in his grace, because it is written "There is no other name under heaven given among men, by which we must be saved, except Jesus Christ" Act 4:12I see...
Yesu is “yours” NOT for all of us wengine hatumtambui whatsoever!
Rightfully so!
That much I know, and that will not derail us believers to long in his grace, because it is written "There is no other name under heaven given among men, by which we must be saved, except Jesus Christ" Act 4:12
Google..just type "The Holy Bible" "Act 4:12" or the words in the verse....so easier to use google nowadays..Whats Act 4:12?
Who knows that?
Chistrians assume everybody on earth knows their shit!
Guess what,y’all wrong!
Mkuu Simply kabisa, Kwa watu wachanga tu, ila Matured people wanafahamu Mgogo haubiri Injili, ila anahubiri Cecullar (Mambo ya kawaida/ Moral issues, isipokuwa anachanganya na Mistari ya Bible ku-justfy Teaching zake)Naomba kujua kutoka kwa waumini wa huyu mchungaji Mgogo, je ni mchungaji wa dini au ni mtia hamasa(motivational speaker) wa dini?
Nampenda sanaNaomba kujua kutoka kwa waumini wa huyu mchungaji Mgogo, je ni mchungaji wa dini au ni mtia hamasa(motivational speaker) wa dini?
Hua naona watu wengi wanapenda kuweka video clips za mahubiri yake kwenye social media statuses ila hakuna mahala au sijawahi kusikia akinukuu vifungu vya dini yake. Je ni mchungaji au ni motivational speaker? Yeye na Mchungaji Mitimingi wana uhusiano wowote?
Ahsante.
Jaribu nawe apendwe ili iweje?Anahubiri kufurahisha watu ili apendwe
Mch Mastai, Kimara KKKTAcha wachungaji hao
dunia ya sasa inawhitaji wachungaji wa namna hiii
Mgogo ni mchngaji haswaa ukipenda muite motivational speaker
kama unavyopenda au kutaka
Another one ni huyu baba👇👇👇
View attachment 1240247
Hawa wote utawaita majina unayotaka ila ni WACHUNGAJI
na ndio tunaowahitaji kwa sasa wasio pepesa macho
Nyeusi wanasema nyeusi Nyekundu wanaisema Nyekundu
Mwaka jana kwenye mkutano wa Wahandisi/Wabuni Majengo/Makandarasi/Wakadiriaji Majengo, Mugogo alichomekea mbele ya JPM kuwa serikali huwa inafanya makosa kuwabomolea watu wliovutiwa amji, umeme na huduma nyingine na Serikali hiyohiyo!!Jamaa anachana Live..kwenyr ukweli anasema ukweli
Nahawa ndio wachungaji