Mchungaji Daniel Mgogo ni mchungaji wa dini au ni motivational speaker?

Mchungaji Daniel Mgogo ni mchungaji wa dini au ni motivational speaker?

Ni Mtumishi kweli wa Mungu, fuatilia video zake Kwa kina sio hizi clips za mitandaoni
Sure,kwa njia ya mahubiri tu yupo njema,lkn hatuwezi kujua kwenye maisha yake yupo vipi,hivyo siwezi kumpa maksi zote,Mungu ndo anayemjua vema nje ndani.
 
Naomba kujua kutoka kwa waumini wa huyu mchungaji Mgogo, je ni mchungaji wa dini au ni mtia hamasa(motivational speaker) wa dini?

Hua naona watu wengi wanapenda kuweka video clips za mahubiri yake kwenye social media statuses ila hakuna mahala au sijawahi kusikia akinukuu vifungu vya dini yake. Je ni mchungaji au ni motivational speaker? Yeye na Mchungaji Mitimingi wana uhusiano wowote?

Ahsante.
Samahani ndio huyo aliyemtia mwanafunzi mimba?
 
watu wana crop, na kupost kile wanacho vutiwa navyo. sehemu ulyio isikia na kuiona i bet ni kijipande tu katika mahubiri yake, muda ule wa kutoa mifano n.k

ngumu kukuta watu wanapost mahubiri au vipande vinavyo toa ngumu chungu, kukemea dhambi n.k

lakini pia lengo la kuchunga ni ku guide, na hizo ni sehemu za ku guide.

But its so sad ktk jamii hana sura kamili ya muhubiri wa injili kama ambavyo hufanya kazi hiyo. Amekuwa kama motivationa speaker, and i am afraid slowly ataswitch to Full motivational speeches na kuacha the message of Gospel.
 
Back
Top Bottom