Ni watu na hulka zao. Hakuna mahali msikitit/kanisa/tamko lolote la mkusanyiko fulani kuwa ushoga umehalalishwa tanzania. Ni mtu na nafsi yake kutenda maovu!Jibu zuri sana, iwe kwa walokole, waislamu na wakatoliki ufiraji, kubaka na mengine yapo lakini hayaja halalishwa.
Rule no.1 " There is no democracy in the church"Umenielewa nilichomaanisha, lakini umetolea mfano tofauti ili kujifanya hujaelewa
Hana kinyongo chochote Ni kwamba Ni mtazamo wako tu Ila Kama upo kkkt kijitonyama na kimara korogwe bas utagundua Kuna kitu hakiko sawaMimi siyo Mkristo but nimekuelewa vizuri sana, huyo jamaa uliyemjibu ukisoma maelezo yake ni kama ana Kinyongo flani hivi na yule Mchg Kimaro... Mwisho hebu nisaidie na yule Mchung Mgogo yuko huko huko KKKT?
Huyo Mch Anna inaonekana ndo alikuwa anamchongea sana achukue hiyo nafasi
Mother one....Alisha semakuwa mchungaji alionywa Mara nyingi na haku sikia kbsa na ilionekana ana kiburi SanaUkisoma uliyoandika hakika wewe unaweza ukawa ni sehemu ya hayo majungu
Ungeainisha ni sheria na taratibu zipi za kanisa jamaa kakiuka, naona hapa upo mgogoro mnaupika
Muda ni mwalimu mzuri kabisa,kama wewe uliona Mchungaji anakosea ulichukua jitihada gani, kanisani si kuna wazee, mlijaribu hata kumuita mkamuonya,,naamini angewasikiliza
Inaelekea na wewe ni miongoni mwa wale mliokuwa mnampigia makofi na kumshangilia akijeuka nyuma mnaanza kumnanga..
maisha ya bidadamu ni mafupi, tupendane, tusahihishane,tukosoane kwa staha,,badala ya kujenga jamii ya wanafiki.. kwani KKT DSm makanisa yapo mangapi kwanini waumini wengi wanene mara nyingi kuhusu KIJITONYAMA na KIMARA TU
Wakati mnamnanga tambueni YEYE NI MUANzILISHI WA IBADA zA ASUBUHI NA MASIFU YA JIONI KWA KKKT PIA NI MTU WA KWANzA KUANzISHA TV KABLA HATA YA UPENDO RADIO NA TV...
Walikuepo wengi wameondoka na Bado kkkt IPO juu tuiombeee kanisa na madhabauHuenda aisee!
Na asifikiri atapata Nyomi ya waamini wengi sana vile!
Waumini wengi wataacha kwenda kanisani hapo.
Walikuwa wanaenda hadi wasio KKKT imagine!
Huwezi tembelea nyota ya mwenzio.
Na hata matoleo yatapungua maradufu, watoa zaka watapungua maradufu,
Sijui hao mahasidi na wafitini wali jaribu kupima kwa mbele kuona athari itakayokuwepo?!
Watu wanaimba mapambio badala ya nyimbo kwenye tumwimbie bwana ambacho kina nyimbo almost mia nneMimi nilikuwa sijui kinachoendelea hapo Kijitonyama ila ulivyoanza kuelezea tu kichwa changu kikaenda kwa Mchungaji Masai wa Kimara.
Nimesali pale Kimara mara moja moja nikimtembelea jamaa yangu, ni kweli ibada za pale sio za KKKT. Kuna siku ilibidi wenzangu waende pale mimi nikapitiliza nikaenda kusali Ubungo, niliwaambia mimi nimezoea ibada zetu za kilutheri hapo siwezi.
Kama sadaka ndiyo tatizo, basi wazilete kwangu niwe nazitunza mimi, wasikae nazo. Wanakaaje na kitu ambacho kinawaletea matatazo, tena kwenye nyumba ya Ibada?Ugomvi wa Mastai korogwe ni zaidi ya Ibada
Ni mambo ya sadaka
Asante kwa ufafanuzi, mimi ni KKKT, sijaumizwa kimaro kupewa likizo, ninachojua unapokuwa mchungaji wa kkkt kuna viapo unaapa na kuahidi kuvifanya siku zote za utumishi wako. Ninachoomba kwa sasa akirudishwa kazini apangiwe usharikani kwetu😅😅😅Kwenye hili nahisi pastor Kimaro ataenda kujitafakari.
Mimi ni muumini wa KKKT hapo Kijitonyama, shida iliyokuwepo kwa mchungaji Kimaro ni kwamba alikuwa anaenda kinyume na utaratibu wa kanisa na kibaya zaidi alishaonywa zaidi ya mara 3 ila shida yake akiitwa akaonywa anakuja kanisani anaanza kuongea kwa waamini na kurusha vijembe kwa viongozi wake.
Tarehe 8 ukiweza fatilia alichokifanya kwa pastor mwenzake ANNA maneno aliyoongea kumuhusu huyo mchungaji kuna jambo utaelewa.
Kimaro ana kiburi cha umaarufu. Mchungaji hafati kalenda ya kanisa, yeye anafanya mambo yake, aliitwa akaonywa ila akaja kanisani hadharani na kusema hawezi kupangiwa cha kufanya ila Mungu tu, sasa hapo kweli kuna utii?
Kimaro toka amekuja usharikani anazo nyimbo 6 tu anazoimba kutoka kitabu cha tumwabudu Mungu wetu, aliitwa akaambiwa hiki kitu ila akawa mkaidi, ni mchungaji anayependa yeye aongee zaidi, hapendi kuwapa wachungaji wengine nafasi ya kuhubiri, ikitokea mchungaji mwingine akahubiri basi na yeye baada ya mahubiri atasimama na kuanza kujazilishia kuonekana kwamba mwenzake hajafanya kama inavyopaswa.
Ni kimaro na masai wa kimara ambao ukifatilia utaratibu wanao ufanya kanisani siyo wa KKKT ila najua wachache sana wataelewa hili.
Kama mtaweza kumbuka pia aliondolewa kwenye vipindi vya upendo Tv kisa mambo yake hayo ya kufanya kinyume na utaratibu wa kanisa ikabidi wamuonye ila akakaidi, baada ya kuondolewa alikuja kanisani hadharani na kuanza kusimanga na kuongea mbovu na tokea hapo hajawahi kutangaza kitu chochote kinacho husu upendo kama magazeti.
Alitamba sana kwamba kwa jinsi alivyo barikiwa na Mungu hakuna mwanadamu wa kumshusha hapo alipo, na haya alikua anaongea kanisani mbele ya waamini na kujitapa kabisa.
Kwa sisi waamini wachache ambao tulikua tunamuona kanisani na kutambua madhaifu yake tulijua hana mda mrefu atapigwa chini na kweli leo kaondoka.
Wengi mnaongea hamjui kilicho nyuma ya huyu kimaro ila nakuhakikishia KKKT KIJITONYAMA haiwezi kutetereka kisa kimaro kuondolewa na alishasema akitolewa Kjitonyama basi ataanzisha kanisa lake, ngoja nione atakachofanya baada ya hili.
Namuombea hekima na maarifa atambue kosa lake arudi kundini na awe mnyenyekevu kwa Mungu na Viongozi na Kanisa kwa ujumla.
ANAYEFATA NI MASAI WA KIMARA MWISHO.
Kimaro huenda ni Kama Tunfu Lissu.Kwenye hili nahisi pastor Kimaro ataenda kujitafakari.
Mimi ni muumini wa KKKT hapo Kijitonyama, shida iliyokuwepo kwa mchungaji Kimaro ni kwamba alikuwa anaenda kinyume na utaratibu wa kanisa na kibaya zaidi alishaonywa zaidi ya mara 3 ila shida yake akiitwa akaonywa anakuja kanisani anaanza kuongea kwa waamini na kurusha vijembe kwa viongozi wake.
Tarehe 8 ukiweza fatilia alichokifanya kwa pastor mwenzake ANNA maneno aliyoongea kumuhusu huyo mchungaji kuna jambo utaelewa.
Kimaro ana kiburi cha umaarufu. Mchungaji hafati kalenda ya kanisa, yeye anafanya mambo yake, aliitwa akaonywa ila akaja kanisani hadharani na kusema hawezi kupangiwa cha kufanya ila Mungu tu, sasa hapo kweli kuna utii?
Kimaro toka amekuja usharikani anazo nyimbo 6 tu anazoimba kutoka kitabu cha tumwabudu Mungu wetu, aliitwa akaambiwa hiki kitu ila akawa mkaidi, ni mchungaji anayependa yeye aongee zaidi, hapendi kuwapa wachungaji wengine nafasi ya kuhubiri, ikitokea mchungaji mwingine akahubiri basi na yeye baada ya mahubiri atasimama na kuanza kujazilishia kuonekana kwamba mwenzake hajafanya kama inavyopaswa.
Ni kimaro na masai wa kimara ambao ukifatilia utaratibu wanao ufanya kanisani siyo wa KKKT ila najua wachache sana wataelewa hili.
Kama mtaweza kumbuka pia aliondolewa kwenye vipindi vya upendo Tv kisa mambo yake hayo ya kufanya kinyume na utaratibu wa kanisa ikabidi wamuonye ila akakaidi, baada ya kuondolewa alikuja kanisani hadharani na kuanza kusimanga na kuongea mbovu na tokea hapo hajawahi kutangaza kitu chochote kinacho husu upendo kama magazeti.
Alitamba sana kwamba kwa jinsi alivyo barikiwa na Mungu hakuna mwanadamu wa kumshusha hapo alipo, na haya alikua anaongea kanisani mbele ya waamini na kujitapa kabisa.
Kwa sisi waamini wachache ambao tulikua tunamuona kanisani na kutambua madhaifu yake tulijua hana mda mrefu atapigwa chini na kweli leo kaondoka.
Wengi mnaongea hamjui kilicho nyuma ya huyu kimaro ila nakuhakikishia KKKT KIJITONYAMA haiwezi kutetereka kisa kimaro kuondolewa na alishasema akitolewa Kjitonyama basi ataanzisha kanisa lake, ngoja nione atakachofanya baada ya hili.
Namuombea hekima na maarifa atambue kosa lake arudi kundini na awe mnyenyekevu kwa Mungu na Viongozi na Kanisa kwa ujumla.
ANAYEFATA NI MASAI WA KIMARA MWISHO.
Swala si utaratibu, swala ni kwanini kila siku wao?Kila kanisa na utaratibu wake na ndio mana hata mapadree wanaokosea kanisa huwa mnaondoa
Amri za kanisa mliweka ili zifuatwe
Sasa hata kkkt nako kuna utaratibu wake ukiend kinyume lazma ukumbushwe
Walikuepo wengi wameondoka na Bado kkkt IPO juu tuiombeee kanisa na madhabau
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kanisa halibebwi na wanadamu, Kanisa ni la MUNGU.Huyo Kimaro na Mgogo ndiyo wanalibeba kanisa, shida ni kwamba kazi ya Mungu lazima ipate upinzani wa shetani na hao wanao mletea figisu ndiyo mashetani wenyewe
Siko na mudi ya kubishana,Rule no.1 " There is no democracy in the church"
Mungu alishaondoka siku nyingi sana huku duniani, alishatuma mitume na manabii, sasa hivi ni sisi kutumia akili yetu tu.Kanisa halibebwi na wanadamu, Kanisa ni la MUNGU.
Katika hali ya kawaida, huu siyo mgogoro bali umeonekana kama mgogoro baada ya watu kuvujisha siri za Kanisa na kuzitoa nje.Hivi hawa KKT mbona migogoro yao haiishi? Kanisa linakuwa na migogoro utafikiri chama cha siasa?
Nyimbo San sifa hazina shida kbsa kumsifu mungu ndio wajibu wetuWatu wanaimba mapambio badala ya nyimbo kwenye tumwimbie bwana ambacho kina nyimbo almost mia nne
Church ReformationTokea lini wa KKT wakawa na wachungaji wanawake
Achana nao wana wivu tu kuona kanisa katoliki linarun smoothly mfano halisi ni kadrinali wa Australia George Pell alikamatwa kwa makosa ya ulawiti akahukumiwa fasta fasta alikaa jela zaidi ya siku 400 badae akaja kuachiwa eti hana makosa.Mgogoro wa ulawiti? Ndiyo nini? Hizo ni tuhuma tena za uongo ambazo zinarushwa kwa kanisa, lakini kwa kutambua kwamba Yesu alisema litajaribiwa lakini halitashindwa,Zimebaki kuwa tuhuma za uongo si mgogoro ndani ya kanisa.
Hapo kwenuye ibada zao ni "nzuri mno"Katika hali ya kawaida, huu siyo mgogoro bali umeonekana kama mgogoro baada ya watu kuvujisha siri za Kanisa na kuzitoa nje...