Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

Sijaona kosa la mch. Kimaro
Mimi kama mlutheri tunataka mchungaji wa aina yake. Wengi tumechoshwa na aina ya mahubiri ya kutafsiri Biblia kama hadithi, ibada nyingi zinapooza ndio maana watu wanakimbilia kwa mitume na pentekoste.

Lutheran kuna shida sehemu nyingi, mchungaji akionekana yuko karibu na anakubalika na waumini anahamishwa.
SAS uko anako pelekwa anako amishiwa s anaenda kupeleka Moto huo huo mkuu [emoji91] [emoji91][emoji91] kwa wahumi wa kanisa Hilo Hilo la kkkt kwanin I we kimara tu muda wote wakat wote

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwenye hili nahisi pastor kimaro ataenda kujitafakari.

Mimi ni muumini wa KKKT hapo kijitonyama, shida iliyokuwepo kwa mchungaji kimaro ni kwamba alikua anaenda kinyume na utaratibu wa kanisa na kibaya zaidi alisha onywa zaidi ya mara 3 ila shida yake akiitwa akaonywa anakuja kanisani anaanza kuongea kwa waamini na kurusha vijembe kwa viongozi wake.

Tarehe 8 ukiweza fatilia alichokifanya kwa pastor mwenzake ANNA maneno aliyoongea kumuhusu huyo mchungaji kuna jambo utaelewa.

Kimaro ana kiburi cha umaarufu
Mchungaji hafati kalenda ya kanisa, yeye anafanya mambo yake, aliitwa akaonywa ila akaja kanisani hadharani na kusema hawezi kupangiwa cha kufanya ila Mungu tu, sasa hapo kweli kuna utii?

Kimaro toka amekuja usharikani anazo nyimbo 6 tu anazo imba kutoka kitabu cha tumwabudu Mungu wetu, aliitwa akaambiwa hiki kitu ila akawa mkaidi, ni mchungaji anayependa yeye aongee zaidi, hapendi kuwapa wachungaji wengine nafasi ya kuhubiri, ikitokea mchungaji mwingine akahubiri basi na yeye baada ya mahubiri atasimama na kuanza kujazilishia kuonekana kwamba mwenzake hajafanya kama inavyo paswa.

Ni kimaro na masai wa kimara ambao ukifatilia utaratibu wanao ufanya kanisani siyo wa kkkt ila najua wachache sana wataelewa hili.

Kama mtaweza kumbuka pia aliondolewa kwenye vipindi vya upendo Tv kisa mambo yake hayo ya kufanya kinyume na utaratibu wa kanisa ikabidi wamuonye ila akakaidi, baada ya kuondolewa alikuja kanisani hadharani na kuanza kusimanga na kuongea mbovu na tokea hapo hajawahi kutangaza kitu chochote kinacho husu upendo kama magazeti.

Alitamba sana kwamba kwa jinsi alivyo barikiwa na Mungu hakuna mwanadamu wa kumshusha hapo alipo, na haya alikua anaongea kanisani mbele ya waamini na kujitapa kabisa.

Kwa sisi waamini wachache ambao tulikua tunamuona kanisani na kutambua madhaifu yake tulijua hana mda mrefu atapigwa chini na kweli leo kaondoka.

Wengi mnaongea hamjui kilicho nyuma ya huyu kimaro ila nakuhakikishia KKKT KIJITONYAMA haiwezi kutetereka kisa kimaro kuondolewa na alishasema akitolewa Kjitonyama basi ataanzisha kanisa lake, ngoja nione atakachofanya baada ya hili.

Namuombea hekima na maarifa atambue kosa lake arudi kundini na awe mnyenyekevu kwa Mungu na Viongozi na Kanisa kwa ujumla.

ANAYEFATA NI MASAI WA KIMARA MWISHO.
Sasa nimeelewa kitu
 
Hafuati miongozo kanisa Lina kalenda yake maalumu ya mwaka mzima kwa aina ya mafundisho Sasa wew unaitwa unaambiwa uifuate unasema wew unaongozwa na mungu is it right? Na mengine mengi
Nashukuru Kwa hili

Lakini mimi mdau wa Karibu, nakuambia kwamba shida hazijaanza leo

Tulianza enzi za akina dayosisi meru, Tukaja na mwenegoha, bagonza , juzi hapa tumevurugana issue za arusha L hospital nk , hoteli ya corridor, ni mengi sana

Ni mwendelezo
 
Kwenye hili nahisi pastor kimaro ataenda kujitafakari.

Mimi ni muumini wa KKKT hapo kijitonyama, shida iliyokuwepo kwa mchungaji kimaro ni kwamba alikua anaenda kinyume na utaratibu wa kanisa na kibaya zaidi alisha onywa zaidi ya mara 3 ila shida yake akiitwa akaonywa anakuja kanisani anaanza kuongea kwa waamini na kurusha vijembe kwa viongozi wake.

Tarehe 8 ukiweza fatilia alichokifanya kwa pastor mwenzake ANNA maneno aliyoongea kumuhusu huyo mchungaji kuna jambo utaelewa.

Kimaro ana kiburi cha umaarufu
Mchungaji hafati kalenda ya kanisa, yeye anafanya mambo yake, aliitwa akaonywa ila akaja kanisani hadharani na kusema hawezi kupangiwa cha kufanya ila Mungu tu, sasa hapo kweli kuna utii?

Kimaro toka amekuja usharikani anazo nyimbo 6 tu anazo imba kutoka kitabu cha tumwabudu Mungu wetu, aliitwa akaambiwa hiki kitu ila akawa mkaidi, ni mchungaji anayependa yeye aongee zaidi, hapendi kuwapa wachungaji wengine nafasi ya kuhubiri, ikitokea mchungaji mwingine akahubiri basi na yeye baada ya mahubiri atasimama na kuanza kujazilishia kuonekana kwamba mwenzake hajafanya kama inavyo paswa.

Ni kimaro na masai wa kimara ambao ukifatilia utaratibu wanao ufanya kanisani siyo wa kkkt ila najua wachache sana wataelewa hili.

Kama mtaweza kumbuka pia aliondolewa kwenye vipindi vya upendo Tv kisa mambo yake hayo ya kufanya kinyume na utaratibu wa kanisa ikabidi wamuonye ila akakaidi, baada ya kuondolewa alikuja kanisani hadharani na kuanza kusimanga na kuongea mbovu na tokea hapo hajawahi kutangaza kitu chochote kinacho husu upendo kama magazeti.

Alitamba sana kwamba kwa jinsi alivyo barikiwa na Mungu hakuna mwanadamu wa kumshusha hapo alipo, na haya alikua anaongea kanisani mbele ya waamini na kujitapa kabisa.

Kwa sisi waamini wachache ambao tulikua tunamuona kanisani na kutambua madhaifu yake tulijua hana mda mrefu atapigwa chini na kweli leo kaondoka.

Wengi mnaongea hamjui kilicho nyuma ya huyu kimaro ila nakuhakikishia KKKT KIJITONYAMA haiwezi kutetereka kisa kimaro kuondolewa na alishasema akitolewa Kjitonyama basi ataanzisha kanisa lake, ngoja nione atakachofanya baada ya hili.

Namuombea hekima na maarifa atambue kosa lake arudi kundini na awe mnyenyekevu kwa Mungu na Viongozi na Kanisa kwa ujumla.

ANAYEFATA NI MASAI WA KIMARA MWISHO.
Umeiweka vizuri sana

Nimekuelewa sana
 
Kwenye hili nahisi pastor kimaro ataenda kujitafakari.

Mimi ni muumini wa KKKT hapo kijitonyama, shida iliyokuwepo kwa mchungaji kimaro ni kwamba alikua anaenda kinyume na utaratibu wa kanisa na kibaya zaidi alisha onywa zaidi ya mara 3 ila shida yake akiitwa akaonywa anakuja kanisani anaanza kuongea kwa waamini na kurusha vijembe kwa viongozi wake.

Tarehe 8 ukiweza fatilia alichokifanya kwa pastor mwenzake ANNA maneno aliyoongea kumuhusu huyo mchungaji kuna jambo utaelewa.

Kimaro ana kiburi cha umaarufu
Mchungaji hafati kalenda ya kanisa, yeye anafanya mambo yake, aliitwa akaonywa ila akaja kanisani hadharani na kusema hawezi kupangiwa cha kufanya ila Mungu tu, sasa hapo kweli kuna utii?

Kimaro toka amekuja usharikani anazo nyimbo 6 tu anazo imba kutoka kitabu cha tumwabudu Mungu wetu, aliitwa akaambiwa hiki kitu ila akawa mkaidi, ni mchungaji anayependa yeye aongee zaidi, hapendi kuwapa wachungaji wengine nafasi ya kuhubiri, ikitokea mchungaji mwingine akahubiri basi na yeye baada ya mahubiri atasimama na kuanza kujazilishia kuonekana kwamba mwenzake hajafanya kama inavyo paswa.

Ni kimaro na masai wa kimara ambao ukifatilia utaratibu wanao ufanya kanisani siyo wa kkkt ila najua wachache sana wataelewa hili.

Kama mtaweza kumbuka pia aliondolewa kwenye vipindi vya upendo Tv kisa mambo yake hayo ya kufanya kinyume na utaratibu wa kanisa ikabidi wamuonye ila akakaidi, baada ya kuondolewa alikuja kanisani hadharani na kuanza kusimanga na kuongea mbovu na tokea hapo hajawahi kutangaza kitu chochote kinacho husu upendo kama magazeti.

Alitamba sana kwamba kwa jinsi alivyo barikiwa na Mungu hakuna mwanadamu wa kumshusha hapo alipo, na haya alikua anaongea kanisani mbele ya waamini na kujitapa kabisa.

Kwa sisi waamini wachache ambao tulikua tunamuona kanisani na kutambua madhaifu yake tulijua hana mda mrefu atapigwa chini na kweli leo kaondoka.

Wengi mnaongea hamjui kilicho nyuma ya huyu kimaro ila nakuhakikishia KKKT KIJITONYAMA haiwezi kutetereka kisa kimaro kuondolewa na alishasema akitolewa Kjitonyama basi ataanzisha kanisa lake, ngoja nione atakachofanya baada ya hili.

Namuombea hekima na maarifa atambue kosa lake arudi kundini na awe mnyenyekevu kwa Mungu na Viongozi na Kanisa kwa ujumla.

ANAYEFATA NI MASAI WA KIMARA MWISHO.
Ni wivu tuu unakusumbua jombaa... [emoji23]
 
Makanisa na migogoro ni sawa na samaki na maji.

Makanisa yote yemejaa changamoto, wakatoliki na ushoga na ulawiti watoto, waangillikano ushoga, walutheri sadaka na ukabila, wasabato ukabila, unafiki, walokole sadaka, ni balaa tupu.

Anyway, kama anaona hatendewi haki ajutenge na kanisa lake aendelee kufunisha watu wake kama kina kamobe, mwingira, Mama Rwakatale, yule mwingine alikua anafudisha wanawake tu na mapenzi, mxee wa upako nk.
Acha kudhalilisha Kanisa dhidi ya madhehebu. Kanisa Katoliki halijawahi kuwa na migogoro, unachokizungumza wewe ni tuhuma kutoka nje ya kanisa si ndani ya kanisa, Na hayo ni majaribu ambayo hata Yesu alipolianzisha alishatabiri kwamba litajaribiwa lakini halitashindwa!

Kanisa ni Moja, Katoliki, Mengine ni madhehebu tu.
 
Mambo mengi yanabadilika ktk nchi sasa hivi. Kwa miaka saba siasa za nchi zimeendeshwa na Chama kimoja na sasa kuna maridhiano ya kisiasa yanayolazimisha baadhi ya haki za msingi za usawa wa kisiasa kwa vyama vyote. Mambo mengi itabidi yafanyike nyuma ya pazia na kila upande wa maridhiano ktk kujihami ili tukiingia uwanjani impact isiwe kubwa sana kwa upande wao!

Kuna baadhi ya watu wana influence kubwa sana kwenye jamii kama wasanii na hawa wachungaji na wanaojiita manabii, mitume nakadhalika. Hawa kama wana mrengo fulani wa kisiasa lazima wawe neutralized kwa kutumia mifumo ya taasisi zao au otherwise! Tutaona mifano mingine hapo baadaye!

Uwezo wangu wa kufikiri ni mdogo sana wakuu ila katika kuwaza kwangu nimepata hayo mataputapu. Naomba kuwasilisha!
 
Huyo Kimaro na Mgogo ndiyo wanalibeba kanisa, shida ni kwamba kazi ya Mungu lazima ipate upinzani wa shetani na hao wanao mletea figisu ndiyo mashetani wenyewe
Mgogo naye ni KKKT mkuu?
 
Kwamba si mtii si kweli, hata kusimamishwa ametii hadharani na ame address viongozi wake kwa heshima zote. Hapo
Mimi siyo Mkristo but nimekuelewa vizuri sana, huyo jamaa uliyemjibu ukisoma maelezo yake ni kama ana Kinyongo flani hivi na yule Mchg Kimaro... Mwisho hebu nisaidie na yule Mchung Mgogo yuko huko huko KKKT?
 
Hapana. Jamaa alikuwa na kibri sana. Mimi nimemsikiliza mara nyingi. Hili la ibada ya mwisho sikuwepo. Ila amekuwa mtu wa madongo kwa wenzie na kutofuata taratibu. Anaongea mpaka wakati mwingine anapitiliza. Mi nadhani aanzishe tu Kanisa lake. Atapata waumini wengi tu
Tuwekee hapa ushahidi wa some video clips na sisi tuone kama kweli ana kuburi?
 
Wanalibeba kanisa maana yake Nini?

Unadhani kanisa Ni label ya mziki kwamba msanii flani anaibeba hio label na akiondoka shughuli imeisha?

Hakuna mkubwa kuliko taasisi.
Lakini taasisi si inajengwa na watumishi wenye weledi? Timu ya taifa ya Argentina [emoji1033] kama taasisi si imeundwa na wachezaji mahiri kama Messi na wengineo?
 
Kanisa ni waumini au ni Jengo?
Kama ni waumini Kimaro anao mtaji mkubwa.
KKKT MSIKURUPUKE KWA HILINITAWAGHARIMU SANA
Umesema vizuri sana.
Ukiona kundi la waumini wanaelekea kwenye Ibada Kanisani usiseme kwamba "wale ni waumini wanalekea kwenye Ibada Kanisani" bali unatakiwa useme kwamba "lile ni Kanisa linaelekea kwenye nyumba ya kuabudia kwa ajili ya Ibada"
 
Back
Top Bottom