tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
Huyo MASAI tena ni nani mbona sijawahi kumsikia mkuu? Lakini KKT nanyi mna mambo ya ajabu sana. Mnafanya ibada zenu kama Kanisa Katoliki.Kwenye hili nahisi pastor kimaro ataenda kujitafakari
Mimi ni muumini wa KKKT hapo kijitonyama, shida iliyokuwepo kwa mchungaji kimaro ni kwamba alikua anaenda kinyume na utaratibu wa kanisa na kibaya...
Ibada hadi zinakuwa na ratiba ya mwaka mzima na hamtaki mtu ahubiri nje ya ratiba. Sasa mtu kama ana kipaji cha kwenda hadi nje ya ratiba hamuoni kwamba mnakuwa mnafunga kipaji chake?
Namshauri Kimaro afungue kanisa lake kama Mwingira apige pesa za kutosha. Unajua hata Mwingira alikuwa KKT lakini akafanyiwa mizengwe akaamua kauzisha kanisa lake mwenyewe.
Unaona sasa anavyopiga pesa ndefu?