Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

Lutheran kuna shida sehemu nyingi, mchungaji akionekana yuko karibu na anakubalika na waumini anahamishwa.
Hapana, lazima kutakuwa na shida sehemu.

Lutherani mnao wachungaji wengi tu ambao ni wazuri mno. Ingekuwa wachungaji wazuri ndiyo wanakuwa targeted, hata hao wengine nao vile vile wangekuwa wana matatizo. You have the best, ila hamjijui!
 
Kimaro huenda ni Kama Tunfu Lissu.
Ukiwa na akili sana nayo ni shida.

Unakuta kabia Mchungaji Kimaro anaona umehubiri Utumbo na uongo ndani yake. Sasa akija kujazilizia anaonekana anakosa adabu[emoji1787][emoji1787]
Hata mchungaji mastai nae akija mchungaji mwingine kuhubiri bas akimaliza mastai ataanza upiyaa kbsa na Wala hapiti kule uliko pita wee wa mwanzo [emoji23][emoji23][emoji23] masege anampata Sana mastai

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Bwana wetu Yesu alikuwa karibu na wale ambao jamii iliwaona waovu kuliko wale ambao jamii iliwaona watakatifu. Sasa wewe ulivyo punguani unahimiza kanisa liwatenge wale wanaotenda dhambi.
 
Hizo ni Kodi za wamarekani sio fungu LA 10
 
Kufuatia semina iliyokuwa imeanza katika usharika wa KKKT Kijitonyama ikiongozwa na Rev Dr. Eliona Kimaro imelazimika kusimama kufuatia barua aliyopewa ya likizo ya siku 60 na kupelekea kushindwa kuendelea na semina hiyo...
Duh
Mnamuondoa Eliyona mnamleta Anna?
1 Timotheo 2:12
[12]Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha, wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu.
But I suffer not a woman to teach, nor to usurp authority over the man, but to be in silence.
Ikiwa ya kwamba mnalisaliti neno ambalo kwalo mnajihalalisha kusimamia wengine mtashindwa nini kulana wenyewe kwa wenyewe?

Kkkt kwa kiasi kikubwa inaendeshwa kama chama cha siasa.

Fitina nyingi, uchawa mwingi na hata ushirikina mwingi hasa kwenye uchaguzi.

Hiyo Dayosisi ya mashariki na Pwana ina vita vya mda mrefu kati yake na watu wa ukanda wa kaskazini uliochagiza hata askofu wake Malasusa kuungana na Magu katika mkakati wa kuwademolish hawa watu.
Kuna mch mmoja huko kutoka kanda ya kaskazini aliyekuwa mkuu wa jimbo kwa wivu aliondolewa na kupelekwa huko Mwanarumango.

Sasa wakati Kimaro akitendewa haya yule Maksai wa Kimara Korogwe atie maji na baadae aliyekuwa Ubungo Plaza kabla ya kuhamishiwa Mbezi luis ajiandae kwa panga la Alex G.
 
Mngejua watu jinsi wanavyomtukuza Mungu Kwa uamsho Mkuu ulokuwa Unaendelea huko KKKT msingelifanya hayo ya uharibifu kwenye kazi ya Mungu.

Hamtaki advancements? Mnataka ukristo wa kupoa ambao mnaenenda kama wasio amini?
Hpn mkuu Sina shida na mahubiri yake nawapenda Sana ila kuamishwa Ni sawa tu wote Ni kondoo hvyo kimaro nae aje huku kongowe kuleta neno Hilo huku

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Na hao wachungaji wawili ndio wanaojaza wahumini kkkt angalau kunaonekana kuna waumini maana wanajua kuenenda na mahitaji ya sasa ya waumini nyie endeleeni kuwakera waumini tu.
Kwahiyo kabla hawajaja duniani Hao walutheri walikuwa hawapo? Mbona manabudu watu. Waambie wakaanzishe makanisa Yao tuone hiyo kkkt ikitetereka
 
Hapo kwenye charismatic umepuyanga bwana mdogo, ila kwa yule padre wa Riverside umepatia, japo nao ni mgogoro wa kipumbavu na ni wa kimafundisho zaidi , sio wa kiuchumi kama ilivyo huko kwingine.
 
Kwa jinsi ulivyotoa hili wasilishon lako yaonyesha una chuki binafsi na Mch Kimaro
 
Askofu Dr Alex ghae malasusa ndiye kiongozi wa dayosi hyo ya mashariki na pwani DMP ....hvyo katk hili Kuna Jambo ameliona kwa muda na kwamba hajakubalina nalo kwa utaratibu wa dr kimaro

Hvyo Kama wahumuni na kkkt kijitonyama mnaona hakubalini na hili Ni vyema atafutwe askofo malasusa au msemaji wa dmp kulisemeha hili

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ila kkkt kuna shida nyingi sana hawajaweka utaratibu mzur ni nadra sana kuona mapadri wanagombana au wanatoa siri za kundi mbele ya waumini
 
Haya kama mambo ya CCM Tena??
 

Inaelekea waumini mlikuwa hamumpendi sema mnacheka nae kinafiki
 
Inaonekana mkuu na wewe ni mmoja wa wanaomfanyia figisu huyo mchungaji, eti unamuombea arudi kundini na awe mnyenyekevu kwa Mungu, kwahiyo ina maana yeye kazi anayoifanya ni kumtukuza shetani...!
Kweli kabisa
 
Kwa jina alilotengeneza nadhani ni muda sasa wa kufungua kanisa lake ajipigie pesa wa wajinga wajinga wanaomshobokea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…