Lini litakuwa safi?!! Unaweza kumtumikia Mungu na mali?!!Na itabaki hivyo.
Najua hapa mwanzoni shetani anayetaka kuharibu umoja wa kanisa atawatishia sana Askofu na uongozi mzima wa Dayosisi lakini wasiogope. Ni heri hao wanaodhani wana watu wengi waende wakafungue makanisa yao na waliache kanisa likiwa safi.
Anza wUsijidanganye wewe, hakuna kitu rahisi kuanzisha kama kanisa, tena kwa mtu kama Mch Kimaro akiamua akakohoa tu kho, Kanisa tiyar.
Huo ugumu unaosema sijui unamaanisha ni ugumu wa kuliandikisha au wa waumini??!!!
Anzisha wewe kama rahisiUsijidanganye wewe, hakuna kitu rahisi kuanzisha kama kanisa, tena kwa mtu kama Mch Kimaro akiamua akakohoa tu kho, Kanisa tiyar.
Huo ugumu unaosema sijui unamaanisha ni ugumu wa kuliandikisha au wa waumini??!!!
Waache haya mamboNdio maana nimeona mtandaoni muumini mmoja anasema bring back our pastor.
Kimaro akisimama hata chini ya mti tu bila hata meza waka kiti kanisa tiyar acha kujidangaya.Anza w
Anzisha wewe kama rahisi
Mwambieni aanzishe kwani ye hapendi sddakaKimaro akisimama hata chini ya mti tu bila hata meza waka kiti kanisa tiyar acha kujidangaya.
Hata bila kuanzisha kwan sadaka anakosa?Mwambieni aanzishe kwani ye hapendi sddaka
Inaonekana katoliki walikulawiti unaonaje ukifungua mashitaka?Makanisa na migogoro ni sawa na samaki na maji.
Makanisa yote yemejaa changamoto, wakatoliki na ushoga na ulawiti watoto, waangillikano ushoga, walutheri sadaka na ukabila na uzinzi, kumbukumbu kesi ya Malasusa ambae aliondolewa madarakani polisi wakamlinda. wasabato ukabila, unafiki, walokole sadaka, ni balaa tupu.
Anyway, kama anaona hatendewi haki ajutenge na kanisa lake aendelee kufunisha watu wake kama kina kamobe, mwingira, Mama Rwakatale, yule mwingine alikua anafudisha wanawake tu na mapenzi, mxee wa upako nk.
Usijidanganye wewe, hakuna kitu rahisi kuanzisha kama kanisa, tena kwa mtu kama Mch Kimaro akiamua akakohoa tu kho, Kanisa tiyar.
Huo ugumu unaosema sijui unamaanisha ni ugumu wa kuliandikisha au wa waumini??!!!
Taasisi inaanzia kwa mtu mmojaNi ajira hyooo..
Kuwa habari ya mjini ndio kulibeba kanisani. Hata shuleni, makazini kuna wafanyakaz au wanafunzi wazuri na wanajituma sana kazini lakini huwezi sema eti wanazibeba taasisi Hizo..taasisi zinajengwa kimfumo sio kutegemea mtu mmoja
Mwambie huyo aisee!
Tena waumini wanasubiri atulie na kuisikilizia sauti na ridhaa ya Roho Mtakatifu akisema aanzishe huduma Au kanisa waumini watajitolea harambee na kukodi ukumbi au watu watatoa Kama kwa Bwana mahali temporary pa kuabudu hadi mipango ya badae.
bhasi ilikuwa ni biashara ya jamaa... anyway huyu jamaa itakuwa ana miradi mingi aliyowapa vijana wa kanisaa wakumdhurumuuu 😀 😀 😀 hasira yake imewakaa juu ya dini ya kikristo maana pesa kwanzaa akajisahau na yeye ni mkristo. Anyway hata hayo mambo ya kusema dini ya kweli ni katoliki sababu ukute kafatiliwa juu ya ubadhirifu wa pesa maana sharika kubwa zenye mapato huwa kuna wizi sana mwisho wa siku hakuna MCHUNGAJI ANAWEZA SHINDANA NA KANISA HATA MALASUSA
Ushauri mzuri sana huuMinamshauri kwa muda huu ni muda wake mzuri...kujichimia mahali kwa maombi, aseme na Mungu na awe mnyenyekevu sana wakati huu.
Akikurupuka kwa kiburi cha huduma yake kubwa ataharibu kila kitu.
Kazi ya Mungu ya kweli ina vita sana.
Akishinda jaribu hii atainuliwa sana
Yupo usharika gan huyu jamaaNdio. Yule ni KKKT pure!
Kwa taarifa yako tu, Kimaro sasa hazungumzii habari za nyumba, mashamba wala Vacation abroadTushawahi pata mchungani KKKT hivyo hivyo kanisa linajengaa jengo jipya la kusalia mchungaji nae anajenga nyumba yake mahalii[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kanisa halijawahi kuisha yani kama vilehatutoi hela za ujenzi wakati Arambee kila jumapilii aisee waumini walimsnitch mchungaji huko dayosisi mpaka wakaamua aamishwe jamaa kuliko kuhama akaona bora aache uchungaji[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sijui nataka kusema nin ila Penye maslahi na pesa hapakosi majungu na fitina kama Kimaro ni mchungaji wa kweli akubali na kutii alichoambiwa na Viongozi wa kanisaa.
Hiyo kesi nimesema sio kwamba kimaro anakula sadakaa nimesema kuonesha Uongozi wa kanisa una nguvu hata kama hao waumini wataandamana..!Kwa taarifa yako tu, Kimaro sasa hazungumzii habari za nyumba, mashamba wala Vacation abroad;
1. Ana Mjengo wa maana huko TEGETA (ambako unaweza kupokea Wachungaji yapata 10 kwa mpigo);
2. Amesomesha watoto yatima mpaka kufikia level za Vyuo Vikuu (baadhi wamehitimu Master degree);
3. Kwenda Nje ya nchi ni kitu cha kawaida kwake hata majuzi katoka huko akiwa na wazee wa kanisa na baadhi ya waumini (tiketi alilipiwa na waumini nje ya nchi)