Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Migogoro katika kanisa imeanza muda mrefu enzi za waanzilishi wa kanisa.
Kati ya wale wanafunzi wa yesu ambao ndio mwanzo wa kanisa ulianzia kwao nao walikuwa na mafarakano baina yao dhidi ya waamini .
Mwingine aliona yeye ni bora kuliko yule na yule alijiona ni bora kuliko huyo , waathirika wakubwa .
Baadhi ya taasisi za makanisa wamekua na mfumo mzuri wa kutatua migogoro yao bila waumini kuathirika, lakini taasisi nyingine athari zimekua kubwa mno na kupelekea kugawanyika kwa waamini .
Yote ya yote ni maslahi ya kidunia na wala sio maslahi ya kiimani.
Kati ya wale wanafunzi wa yesu ambao ndio mwanzo wa kanisa ulianzia kwao nao walikuwa na mafarakano baina yao dhidi ya waamini .
Mwingine aliona yeye ni bora kuliko yule na yule alijiona ni bora kuliko huyo , waathirika wakubwa .
Baadhi ya taasisi za makanisa wamekua na mfumo mzuri wa kutatua migogoro yao bila waumini kuathirika, lakini taasisi nyingine athari zimekua kubwa mno na kupelekea kugawanyika kwa waamini .
Yote ya yote ni maslahi ya kidunia na wala sio maslahi ya kiimani.