Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

Mimi Nimezaliwa katika familia ya kiluteri na kupata hadi kipaimara ila mambo haya ya migogoro upande wa viongozi yalinikera ukifuatilia chanzo pesa halafu michango karibia mitano lol niliamua niwe tu nasali kwa ukawaida kwa mashahidi wa yehova watu walio na upendo wa hali ya juu wakiyaishi maisha ya viwango ya kikristo kwa matendo.

Kwanza KKKT inashangaza eti mtu anaweza akaacha kanisa lake la KKKT mtaani ila akawa anaenda kusali usharika wa Kimara eti kisa mchungaji wa Kimara ni maarufu anamvutia swali Je, akifa huyo mchungaji utaendelea kwenda huo usharika wa Kimara?
Watu hawafati umaarufu bro umewaza kitoto sana watu wanafata mafundisho. Ukiangalia wote wanaotajwa ni watu wamafundisho ss ukiwa unapiga mondo mno lazima wakubwa wajisikie vibaya. Never outshine your master. Ss unafikir ni uongo vijana wengi wa kikristo sio waaminifu katika biashara. Nenda kariakoo 80% ya maduka utakuja na akina Amiii, Asha, Shabani so asichukuliwe vibaya alilosema ni kweli tubadilike tu.
 
Kwenye hili nahisi pastor Kimaro ataenda kujitafakari.

Mimi ni muumini wa KKKT hapo Kijitonyama, shida iliyokuwepo kwa mchungaji Kimaro ni kwamba alikuwa anaenda kinyume na utaratibu wa kanisa na kibaya zaidi alishaonywa zaidi ya mara 3 ila shida yake akiitwa akaonywa anakuja kanisani anaanza kuongea kwa waamini na kurusha vijembe kwa viongozi wake.

Tarehe 8 ukiweza fatilia alichokifanya kwa pastor mwenzake ANNA maneno aliyoongea kumuhusu huyo mchungaji kuna jambo utaelewa.

Kimaro ana kiburi cha umaarufu. Mchungaji hafati kalenda ya kanisa, yeye anafanya mambo yake, aliitwa akaonywa ila akaja kanisani hadharani na kusema hawezi kupangiwa cha kufanya ila Mungu tu, sasa hapo kweli kuna utii?

Kimaro toka amekuja usharikani anazo nyimbo 6 tu anazoimba kutoka kitabu cha tumwabudu Mungu wetu, aliitwa akaambiwa hiki kitu ila akawa mkaidi, ni mchungaji anayependa yeye aongee zaidi, hapendi kuwapa wachungaji wengine nafasi ya kuhubiri, ikitokea mchungaji mwingine akahubiri basi na yeye baada ya mahubiri atasimama na kuanza kujazilishia kuonekana kwamba mwenzake hajafanya kama inavyopaswa.

Ni kimaro na masai wa kimara ambao ukifatilia utaratibu wanao ufanya kanisani siyo wa KKKT ila najua wachache sana wataelewa hili.

Kama mtaweza kumbuka pia aliondolewa kwenye vipindi vya upendo Tv kisa mambo yake hayo ya kufanya kinyume na utaratibu wa kanisa ikabidi wamuonye ila akakaidi, baada ya kuondolewa alikuja kanisani hadharani na kuanza kusimanga na kuongea mbovu na tokea hapo hajawahi kutangaza kitu chochote kinacho husu upendo kama magazeti.

Alitamba sana kwamba kwa jinsi alivyo barikiwa na Mungu hakuna mwanadamu wa kumshusha hapo alipo, na haya alikua anaongea kanisani mbele ya waamini na kujitapa kabisa.

Kwa sisi waamini wachache ambao tulikua tunamuona kanisani na kutambua madhaifu yake tulijua hana mda mrefu atapigwa chini na kweli leo kaondoka.

Wengi mnaongea hamjui kilicho nyuma ya huyu kimaro ila nakuhakikishia KKKT KIJITONYAMA haiwezi kutetereka kisa kimaro kuondolewa na alishasema akitolewa Kjitonyama basi ataanzisha kanisa lake, ngoja nione atakachofanya baada ya hili.

Namuombea hekima na maarifa atambue kosa lake arudi kundini na awe mnyenyekevu kwa Mungu na Viongozi na Kanisa kwa ujumla.

ANAYEFATA NI MASAI WA KIMARA MWISHO.
Mm ni mkatoliki ila niliwahi kwenda huko kwa maksai kimara uko sahihi uzuri ni kuwa Nje ya maji Mamba hana nguvu
 
Watu hawafati umaarufu bro umewaza kitoto sana watu wanafata mafundisho. Ukiangalia wote wanaotajwa ni watu wamafundisho ss ukiwa unapiga mondo mno lazima wakubwa wajisikie vibaya. Never outshine your master. Ss unafikir ni uongo vijana wengi wa kikristo sio waaminifu katika biashara. Nenda kariakoo 80% ya maduka utakuja na akina Amiii, Asha, Shabani so asichukuliwe vibaya alilosema ni kweli tubadilike tu.
Kila kanisa lina misingi na taratibu zake,huwezi kujitungia mambo yako
 
Mimi nilikuwa sijui kinachoendelea hapo Kijitonyama ila ulivyoanza kuelezea tu kichwa changu kikaenda kwa Mchungaji Masai wa Kimara.

Nimesali pale Kimara mara moja moja nikimtembelea jamaa yangu, ni kweli ibada za pale sio za KKKT. Kuna siku ilibidi wenzangu waende pale mimi nikapitiliza nikaenda kusali Ubungo, niliwaambia mimi nimezoea ibada zetu za kilutheri hapo siwezi.
Shida ipo hapa naona KKKT haitakiw transformation Kuna moto wa injili unawachukua taratib wataukua wanaabudu kama walokole. Nilionaga padri mmoja akiomba mapepo yanalipuka ss chakushangaza alipigea chini. Itafika hatua KKKT itakua injili ya moto kwelikweli .
 
Ndo hayo mapokeo na taratibu zinazojirudia....
Naaam hata injili ilipokelewa na haijabadilika Toka kanisa la mwanzo iweje wewe uone nongwa kufuata,Yesu ni yeye yule Jana,Leo na hata milele fafanua
 
Shida ipo hapa naona KKKT haitakiw transformation Kuna moto wa injili unawachukua taratib wataukua wanaabudu kama walokole. Nilionaga padri mmoja akiomba mapepo yanalipuka ss chakushangaza alipigea chini. Itafika hatua KKKT itakua injili ya moto kwelikweli .
Unajua asili ya ulutheri?ni matengenezo,
 
Naaam hata injili ilipokelewa na haijabadilika Toka kanisa la mwanzo iweje wewe uone nongwa kufuata,Yesu ni yeye yule Jana,Leo na hata milele fafanua
Ungeelewa kwanza ulichokiandika ndipo uniambie nifafanue hoja yangu.

Kumpokea Yesu awe Bwana na Mwokozi siyo MAPOKEO bali ni kukiri Imani na ondoleo la dhambi.

Yesu hakuwa anarudia rudia mambo kwenye huduma yake. Angalia orodha ya vipofu aliowaponya utaona kila muujiza ulikuwa wa kipekee.

Aligeuza maji kuwa divai kwenye muujiza wake wa kwanza lakini kwenye karamu ya mwisho ilitengenezwa divai isiyotiwa chachu


Kumzoea Mungu ndo huko kwenda kanisani kufanya mambo ya kukariri yanayojirudia rudia.
 
Kwenye hili nahisi pastor Kimaro ataenda kujitafakari.

Mimi ni muumini wa KKKT hapo Kijitonyama, shida iliyokuwepo kwa mchungaji Kimaro ni kwamba alikuwa anaenda kinyume na utaratibu wa kanisa na kibaya zaidi alishaonywa zaidi ya mara 3 ila shida yake akiitwa akaonywa anakuja kanisani anaanza kuongea kwa waamini na kurusha vijembe kwa viongozi wake.

Tarehe 8 ukiweza fatilia alichokifanya kwa pastor mwenzake ANNA maneno aliyoongea kumuhusu huyo mchungaji kuna jambo utaelewa.

Kimaro ana kiburi cha umaarufu. Mchungaji hafati kalenda ya kanisa, yeye anafanya mambo yake, aliitwa akaonywa ila akaja kanisani hadharani na kusema hawezi kupangiwa cha kufanya ila Mungu tu, sasa hapo kweli kuna utii?

Kimaro toka amekuja usharikani anazo nyimbo 6 tu anazoimba kutoka kitabu cha tumwabudu Mungu wetu, aliitwa akaambiwa hiki kitu ila akawa mkaidi, ni mchungaji anayependa yeye aongee zaidi, hapendi kuwapa wachungaji wengine nafasi ya kuhubiri, ikitokea mchungaji mwingine akahubiri basi na yeye baada ya mahubiri atasimama na kuanza kujazilishia kuonekana kwamba mwenzake hajafanya kama inavyopaswa.

Ni kimaro na masai wa kimara ambao ukifatilia utaratibu wanao ufanya kanisani siyo wa KKKT ila najua wachache sana wataelewa hili.

Kama mtaweza kumbuka pia aliondolewa kwenye vipindi vya upendo Tv kisa mambo yake hayo ya kufanya kinyume na utaratibu wa kanisa ikabidi wamuonye ila akakaidi, baada ya kuondolewa alikuja kanisani hadharani na kuanza kusimanga na kuongea mbovu na tokea hapo hajawahi kutangaza kitu chochote kinacho husu upendo kama magazeti.

Alitamba sana kwamba kwa jinsi alivyo barikiwa na Mungu hakuna mwanadamu wa kumshusha hapo alipo, na haya alikua anaongea kanisani mbele ya waamini na kujitapa kabisa.

Kwa sisi waamini wachache ambao tulikua tunamuona kanisani na kutambua madhaifu yake tulijua hana mda mrefu atapigwa chini na kweli leo kaondoka.

Wengi mnaongea hamjui kilicho nyuma ya huyu kimaro ila nakuhakikishia KKKT KIJITONYAMA haiwezi kutetereka kisa kimaro kuondolewa na alishasema akitolewa Kjitonyama basi ataanzisha kanisa lake, ngoja nione atakachofanya baada ya hili.

Namuombea hekima na maarifa atambue kosa lake arudi kundini na awe mnyenyekevu kwa Mungu na Viongozi na Kanisa kwa ujumla.

ANAYEFATA NI MASAI WA KIMARA MWISHO.
Ilo la kuwakatisha wenzie nimeliona youtube aisee
 
Nilijua ipo siku KKKT watamfyatua out aidha kwa figisufigisu ili akimbie mwenyewe.

KKKT haipendagi mtu alinyooka ktk ukweli, sasa jamaa huwa yupo straight forward huwa hapindipindi hata kidogo, so kwa Lutheran hiyo ni kasoro, pia kuna ngoma nyingine Askofu Bagonza huyu nae ni kisiki hawana cha kumfanya make huyu nae ni kichwa kingine ambacho kimenyooka na hakuna mtu mwenye uwezo nacho ndani ya KKKT.
Wamama mnapenda sana mambo ya dini
 
Mimi Nimezaliwa katika familia ya kiluteri na kupata hadi kipaimara ila mambo haya ya migogoro upande wa viongozi yalinikera ukifuatilia chanzo pesa halafu michango karibia mitano lol niliamua niwe tu nasali kwa ukawaida kwa mashahidi wa yehova watu walio na upendo wa hali ya juu wakiyaishi maisha ya viwango ya kikristo kwa matendo.

Kwanza KKKT inashangaza eti mtu anaweza akaacha kanisa lake la KKKT mtaani ila akawa anaenda kusali usharika wa Kimara eti kisa mchungaji wa Kimara ni maarufu anamvutia swali Je, akifa huyo mchungaji utaendelea kwenda huo usharika wa Kimara?
Umasikini unakutesa sana, masikini huwezi kuwa na msimamo kwahiyo kaaa huko kwa mashahidi wakupe hata hela ya tai
 
Hizi dini hizi zitatushinda tu huko tuendako...shida tu ndio zinafanya tuendelee kujikongoja...ikumbukwe wazungu waliotuletea hizi dini makanisani wengi walishaacha kuhudhuria miaka mingi makanisa yapo tupu..!

Japan wengi muda wa kusali mdogo muda mwingi ni kwenye kuchapa kazi hebu ona walivyo endelea.
Na si kama hawasali kuna wengine wanasali once a year,au mara moja kwa mwezi...siku zingine ni kazi...kazi....kazi...kazi..maendeleo hayaongopi!

Njaa na kukosa ajira,uchumi mbovu,umasikini,magonjwa,ushirikina ni vitu vibaya mno na ndio vinatufanya tunashinda tuna swali badala ya kufanya kazi kwa bidii,kuboresha mfumo wetu wa elimu kupambana na umasikini,kuwa na new innovations,ubunifu,kujenga uchumi imara,nk
 
Mimi pia ni msharika wa KKKT kijitonyama.

Yaliyo chini ya PAZIA ni Mengi mno.

1. Kimaro aliota mapembe.

2. KKKT hatukuwa na utaratibu wa mchungaji kukaa USHARIKA mmoja zaidi ya miaka Mitano.

3. Sikio lilitaka kuzidi Kichwa.
Yani alianza kujiona yeye ni mkubwa mno, anafaa kuwa Askofu, Mapinduzi ya Malasusa nk.

4.Kwa Alex Atasubiri sana.
Hata hivyo wamemvumilia mno kimaro.

5.kutofuata utaratibu wa kalenda.
Nyimbo,

Alikuwa na fujo nyingi sana

Stola za beighali.
Mimi pale nilihama mkuu.

Sikumuelewa toka awali.
 
Kuna kipindi dayosisi haikuwa na katibu mkuu, kwa hiyo pastor wa kimara MASAI alipewa ukatibu mkuu kwa mda ili dayosisi ijipange kutafuta katibu mkuu.

Sasa kumbe wakati Masai amewekwa pale akakuta kuna mashtaka yanayo mhusu KIMARO kumbuka masai na kimaro ni pete na kidole, ikabidi jamaa avujishe siri kwa kimaro, sasa kwa sababu friji haigandishi ya kimaro akaja kanisani akasimanga akajisahau mpaka akamtaja mchungaji Anna, hapo ndipo siri ilipofichuka na kuonekana kuna kitu hakipo sawa kanisani.

Na baada ya ibada ile nahisi wakubwa waliona jamaa amevuka mipaka sasa wakaamua wamle kichwa, alipokua anaelekea alikua anataka kujiona Mungu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wacha nicheke japo mimi ni mkristo hasa wa kipaimara humu makanisani mna vituko vingi mbali na hizi ibada zetu za liturjia
 
Semina iliyokuwa imeanza katika usharika wa KKKT Kijitonyama ikiongozwa na Rev Dr. Eliona Kimaro imelazimika kusimama kufuatia barua aliyopewa ya likizo ya siku 60 na kupelekea kushindwa kuendelea na semina hiyo.

Mchungaji Kimaro amesema anatumia fursa hiyo kuwaaga Washarika wake na kuanzia Januari 17 Mchungaji Anna ataendelea kuwa kiongozi wa Kanisa hilo.

Kwa mujibu wa barua, Mchungaji Kimaro atamaliza likizo yake ya lazima 17/03/2023 na barua inamuelekeza kuripoti makao makuu na sio usharika wa KKKT Kijitonyama ambapo atapangiwa sehemu nyingine.

Amesema:
"Mimi ni Mchungaji wa Lutheran ninayeheshimu kiapo changu cha kichungaji na kuishi katika kiapo changu cha kichungaji na maadili pia ya kichungaji kwa neema ya Mungu. Kwa sababu hiyo imenilazimu kutii amri na kwenda kwenye hiyo likizo ya siku 60 na baadae kuripoti kwenye ofisi ya Askofu kama nilivyoelekezwa" Asante.
Malasusa huyu ni wa hovyo Sana, km Makonda aliweza kumnunua?
 
Kwa hili suala mimi ni Mluther ila penye ukweli ni sawa kusema ili watu wapone..
Imagine mtu amefanya kazi na projects za maendeleo na vijana wake kanisani ila anakuta kila siku wanamliza tu.
Je aendelee kuwa mnafiki na kuwalisha upepo? Au atuambie ukweli wakristo wenzie tubadilike? Kwenye maeneo tunayoish ukikutana na mwislamu ambae hajajichanganya sana mara nyingi wànakua waaminifu kuliko sisi wakristo hebu fikiria nàmna wakati mwingine tunavyowaamini sana Wapemba, Kumbuka pia Uarabuni wana sheria za kiislamu kali, nazo zinawafanya asilimia kubwa wanakua na uaminifu kwa kiwango kikubwa..
Hivi tushawaza kuhusu Wajapan Wabudha mbona wanatuzid Wakristo kwa uaminifu? Kuna sehem tunafeli haswa kwenye msisitizo wa maadili. Tumewasisitiza zaid watoto shule ila somo la kusisitiza maadili hatuna muda nalo..
Kuhusu kusifia RC yupo sahihi pia na ni ukweli usiopinda kuwa taasisi za kikatoliki zimekua stict sana na sheria walizojiwekea kuliko madhehebu mengine mfano mashule na hata uandaaji wake wa viongozi.
Taasis za kkkt zimejaa ubinafs na undugu kwa viongoz wa kanisa limejaa ubabaishaji sasa Kimaro asiseme? Amezungumza tu ya moyoni na kuna mengi mazur ya kujifunza kutoka sehemu alizo ongelea na nadhani ni haki yake kuwa na maoni tofaut japo hauwez kuwa ndio msimamo wa kanisa.
 
Back
Top Bottom