Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Kumbe wewe ni kilaza upande wa Dini. Hakuna Official Religions. Dini zilianzishwa na Binadamu. Yesu mwenyewe hakuanzisha Dini.Ndio ukweli wenyewe hata kama hautaki, its either uwe RC ama Muislamu ndio dini zinazotambulika kitaifa. Official religions of the nation.
Wakristo waliitwa hivyo kwa sababu walikuwa ni wafuasi wa Kristo. Kuna mambo usiongee mbele za watu watakuona kilaza.
Au uwe unauliza. Kabisa unasema Official Religions? Tena unajifananisha na Dini ambayo daily inakuita Kafir, Gay n.k umesikitisha sana.