Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe sio kiumbeHaiwezekani amuite Mkuu wa Mkoa kiumbe...ni kosa kubwa sana
Kwahiyo unakiri kuwa nawe ni mnafiki na mzandiki ila kakuzidiAmenizidi
Itakua pamba ya jioni, yale masomo ya watu wazimaNgwajima wenda kasema uongo, kwa sababu anasema hakuchaguliwa kuingia shule za serikali huyo Daud Bashite na wakati huohuo anasema alijiunga na shule ya Pamba.
KWa kumbukumbu zangu mwaka 1997 pamba ilikuwa shule ya Serikali. Sasa hakuchaguliwa kujiunga na shule ya serikali vipi?
JE ka leo kamsemo kanaweza apply kwamba once a liar always liar? Hii stori ya Gwajima inahitaji uthibitisho zaidi.
Division zero ina cheti?Nadhani anayo matokeo ya shule aliyosoma BASHITE akapata zero, Pamoja na vyeti vya MAKONDA.
Hawa ni watu wawili tofauti.
Haina. Ila matokeo ya centre yapo.Division zero ina cheti?
Aaaaah lolTuacheni utani waumini wa huyu bwana wana mahaba ambayo siyo ya Dunia hii.
Yani wamekufa wameoza.
Itakua pamba ya jioni, yale masomo ya watu wazima