Gwajima haweza kumsamehe Makonda mpaka atakapovunja madhabahu ya machungu na hasira kwenye moyo wake. Ni aibu sana kwa mtu anayejiita mtumishi wa Mungu kuwa na roho ya kisasi namna hiyo. Angejifunza kwa baba Askofu Pengo alivyojibu baada ya yeye Gwajima kimtukana.
Gwajima amethibitisha jinsi alivyo na madhabahu hayo ya machungu na hasira. Hii ni sehemu ya mafundisho kanisani kwake hapo mwaka 2012. Mchungaji anayehuduma kanisani kwake alifundisha neno nzuri sana kuhusu kusamehe. Nafikiri mafundisho haya hayakumsaidia kabisa Gwajima.
https://www.google.com/url?sa=t&sou...ggcMAA&usg=AFQjCNHaqYL0dLJXGBlIha4p6DvyEVHXyA
Gwajima amethibitisha jinsi alivyo na madhabahu hayo ya machungu na hasira. Hii ni sehemu ya mafundisho kanisani kwake hapo mwaka 2012. Mchungaji anayehuduma kanisani kwake alifundisha neno nzuri sana kuhusu kusamehe. Nafikiri mafundisho haya hayakumsaidia kabisa Gwajima.
https://www.google.com/url?sa=t&sou...ggcMAA&usg=AFQjCNHaqYL0dLJXGBlIha4p6DvyEVHXyA