Mchungaji Gwajima ni nani? Tukianzia hapa Tutajua namna ya Kudeal na watu aina yake

 
Hahahaa kwa wasiomjua gwajima wataisoma namba, jamaa hatishiki na hana kizibiti mwendo wa ulimi. Bashite kalikoroga wacha alinywe, alitegemea gwajima aende mahakamani ili serikali ya asiyejaribiwa imtume mwanasheria mkuu imtetee. Sasa waende mahakamani wao waone jinsi bashite na genge lake watakavyoaibishwa
 
Mchungaji gani anatembea na wake za watu na kuaribu ndoa? arafu eti wafuasi wake wanaenda kufunga pingu za maisha kwake,tafakalini!
Kua utayaona! Ukifuatilia maisha ya viongozi wa dini, hutakaa umwamini Mungu. Tunajua mengi.
 

hihihihi hahahaha yani nacheka balaa
 
Hiyo namba 5. Anategemea kununua ndege kwa biashara gani?[emoji23] ndege wanamchangia maskini na matajiri wanaosali kwake, yeye anakula bata waumini wanaishi kwa Shida tena wanabudu wakiwa juani, binadamu bhana
Gwajima kwa hulka yake hawezi kua mtumishi wa Mungu ( ni mtazamo wangu na Mungu anisamehe kwa kutenda kosa la kumhukumu mtu)
 
gwajima ni yule alienda koromije na chopa eti makonda akaona wivu...
gwajima na makonda wamezaliwa kijiji kimoja ila walikuwa hawajuani
 
Kabla sija comment kuhusu Gwajima naomba vyeti vya bashite viwekwe hadharani
 

ni mzinzi mmoja hivi, kakamata akili na mnymbu wengi
 
Mchungaji gani anatembea na wake za watu na kuaribu ndoa? arafu eti wafuasi wake wanaenda kufunga pingu za maisha kwake,tafakalini!
Wewe ndio ulikuwa unashika dudu la Gwajima kulichomeka kwa mke wa mtu? Au upo single ulitaka akukongoli wewe?
 
MI ninachojua ni kwamba amegundua vyeti feki
 
Mtumishi wa mungu atakula madhabahuni kwake....imeandikwa.
Ila akila Gwajima mnachukia??
Sasa kwa taarifa yako...watumishi wa mungu hapa duniani wanamiliki mindege ya kifahari...Gwajima kachelewa tu...
Tumuombee
 
Mchungaji gani anatembea na wake za watu na kuaribu ndoa? arafu eti wafuasi wake wanaenda kufunga pingu za maisha kwake,tafakalini!
Usituhamishe kwenye hoja ubuyu huo ulishapita tangu enzi za akina mbasha.....

Mwambie Bashite aweke Vyeti mezani kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…