Mchungaji Gwajima ni nani? Tukianzia hapa Tutajua namna ya Kudeal na watu aina yake

Mchungaji Gwajima ni nani? Tukianzia hapa Tutajua namna ya Kudeal na watu aina yake

Ni moja ya manabii ambao siwaamini... hata mahubiri yake... ukayaangalia.. kuna jambo halija kaa sawa.
But doesnt mean hajui jambo..? Kuhus RC kuna kitu anafaham?
 
Askofu na Mchungaji Gwajima amekuwa moja ya watu maarufu na gumzo kubwa sana nchini. aina hii ya watu wapo duniani kote kwa Dini au Imani zote. Mtu wa namna hii unapoanza naye vita unapaswa kwanza kujichunguza. kuchukua muda mrefu kujichunguza wewe kwanza kabla hujaanza kumchunguza yeye na kuangalia udhaifu wake.

Tumemuona mara kadhaa Gwajima akisimama kuzungumza anachoamini pasipo kuuma uma maneno. Tumwona akimsema Laiyekuwa Rais wa Awamu iliyopita, tulimwona akisema Serikali iyopita kwa Ujasiri na kupelekea kupata matatizo kadhaa. Hakuishia hapo tu. aliwasema hata Viongozi wengine ambao aliamini walikengeuka kwa sababu moja au nyingine pasipo hofu kuwa nao wana jamii kubwa na yenye nguvu nyuma yao. Miaka ya nyuma alikuwepo Mchungaji Mtikila. huyu alikuwa na Roho hii pia miaka hiyo. alizungumza alichoamini pasipo kujali jamii kubwa inayomzunguka ina aamini nini.

Kuna haja ya Kujua Mchungaji Gwajima ni nani? ametokea wapi, ameishi katika mazingira gani, anaamini nini, ana elimu gani na kwa nini anajiamini.

tukifaham historia ya gwajima tutajiuliza ni kwa nini alitajwa kwenye uhusika wa kuuza au kujihusisha na madawa ya kulevya? alijiamini nini kusema kuwa akipimwa hata akikutwa ana kemikali za sigara/tumbaku au pombe iitwe ni madawa ya kulevya? wakati wa kupimwa walikuwepo akina nani?

habari zote kuwahusu viongozi mbalimbali au data zao na ujasili alio nao anaupata wapi? watu wa namna hii huongea yale ambayo wengine hawawezi kuongea. huamini kuwa wao ni chachu katika jamii fulani kwa maana ya kuwa wana mchango mkubwa sana. Ukienda kanisani kwa Gwajiama ana waumini wasomi, wasio na elimu dunia kubwa, walio na elimu dunia kubwa,matajiri na maskini. ukiacha waumini wa kanisani kwake. kuna ambao si waumini wa imani yake ila ni watu wanaoamini msimamo wake. na msimamo wa gwajima ni msimamo wa nyundo. hii ni karba au hulka ya watu ambao wao huamini katika kugonga kila amabcho kitakuwa kimewekwa chini yao. gwajima ni nyundo.

Gwajima huwezi ku dela naye kwa vitisho. unahitaji ku deal naye kwa hekima sana na maarifa. unapomtisha yeye huongeza mapambano. huyu ni aina ya watu ambao unaweza ukadhani ni wadogo sana lakini wana ushawishi fulan katika jamii. penda usipende wapo watu wa namna hii.

Anaweza kuwa kitu chochote atakacho lakini na hakika hawezi kuwa Mungu...Awatishage ninyi..Wengine hatutishiki na miungu kwakua aliye ndani mwetu ni mkuu kuliko aliye nje ya mimi. Hapa napigania imani ambayo kwayo inapotoshwa na kusababisha wadogo ambao wangeliamini jina la Yesu wanakuwa na mashaka...Kila anayelitaja jina la Bwana na aache uovu. Hata mimi leo nikijiinua na kuanza kupigania ukuu wa jina langu hali nikijua jina la Yesu linadhihakiwa naamini Mungu hata niacha salama...

Leo hii wokovu unaanza kutiliwa mashaka kwasababu ya matendo ya watu wa jinsi hii ambao wanakuza majina yao zaidi kuliko lile la Yesu mwokozi asiye mbaguzi...Majina hayo lazima tuya demote na yatakuwa demoted kwa jina kuu la Yesu ili yeye abaki wa kuaminiwa na kuabudiwa!
 
Tumalize la vyeti then tumshughulikie Gwajima one at a time mshika mawili
 
Anaweza kuwa kitu chochote atakacho lakini na hakika hawezi kuwa Mungu...Awatishage ninyi..Wengine hatutishiki na miungu kwakua aliye ndani mwetu ni mkuu kuliko aliye nje ya mimi. Hapa napigania imani ambayo kwayo inapotoshwa na kusababisha wadogo ambao wangeliamini jina la Yesu wanakuwa na mashaka...Kila anayelitaja jina la Bwana na aache uovu. Hata mimi leo nikijiinua na kuanza kupigania ukuu wa jina langu hali nikijua jina la Yesu linadhihakiwa naamini Mungu hata niacha salama...

Leo hii wokovu unaanza kutiliwa mashaka kwasababu ya matendo ya watu wa jinsi hii ambao wanakuza majina yao zaidi kuliko lile la Yesu mwokozi asiye mbaguzi...Majina hayo lazima tuya demote na yatakuwa demoted kwa jina kuu la Yesu ili yeye abaki wa kuaminiwa na kuabudiwa!


KATIKA siku za hivi karibuni, kumezuka madai kutoka kwa wakristo , kwamba Yehova siyo Allah (s.w.).

Msingi mkuu wa dai hilo ni kwamba Yehova na Allah, wamekuwa ni miungu wawili tofauti eti kwa sababu Yehova ana mwana, lakini Allah hana mwana!

Ili uweze kupata ukweli wa mambo, fuatana nami, uone uchambuzi wa kina juu ya dai hilo pamoja na msingi wake huo.

Na kubwa zaidi, uweze kuona kama majina haya yanamhusu Mwenyezi Mungu mmoja (Mungu wa Ibrahimu, Ishmaeli, Isaka na Yakobo). Aidha, uweze kuona kama kuna uhusiano wowote kati ya Yehova na Wakristo.


Ukweli kuhusu Yehova

Kulingana na maelezo ya Biblia, Yehova ni jina takatifu la Mwenyezi Mungu walilolitumia Wayahudi kwa mnasaba wa lugha yao ya Kiebrania. (Tazama the Holy Bible in Kiswahili, Union Version Uk. vi). Aidha,, kwa mujibu wa mafundisho ya Biblia, jina hilo Mungu alilifunua kwa mara ya kwanza kwa Nabii Musa (a.s.). Maandiko yafuatayo yanathibitisha ukweli huu:

"Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni Yehova, mami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka na Yakobo kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu Yehova sikujulikana kwao". (Kutoka 6:2-3)

Kulingana na maandiko hayo juu, tunachojifunza hapa ni kwamba Yehova ni Mwenyezi Mungu. Aidha, Mwenyezi Mungu anathibitisha wazi kuwa hakuwahi kujitambulisha kwa jina hilo (la Yehova) kwa Manabii wake wengine aliowataja katika maandiko hayo ambao walikuwepo kabla ya Nabii Musa (a.s.). Lakini anasema alijifunua kwao kama "Mungu Mwenyezi".

Aidha, kwa kuzingatia shuhuda hiyo, tunajifunza pia kuwa tokea zamani ilikuwa ni desturi ya Mungu kujifunua kwa Manabii wake mbali mbali akijitambulisha kwa majina tofauti. Ni dhahiri kwa shuhuda hiyo peke yake yatosha kukubali vile vile kwamba Mwenyezi Mungu alipojitambulisha kwa jina la "Allah" kwa Nabii wake wa mwisho, Mtume Muhammad (s.a.w.) pia ilikuwa ni katika ile ile desturi yake ya kujifunua kwa Manabii wake kwa majina tofauti ambayo mara nyingi yalinasibihiana na lugha zao.

Zaidi ya hivyo, lakini hoja ya msingi inayoweza kudhihirisha majina ya Allah na Yehova kwamba ni majina yanayomhusu Mwenyezi Mungu yule yule mmoja ni kazi, utukufu na sifa zake, kama zilivyoelezwa vizuri na Qur'an tukufu na Biblia takatifu. InshaAllah hoja hizo tutakuja kuziona kwa mapana na marefu hapo baadae. Na ndipo tutakapoyakinisha kama kweli Mungu huyo anaye mwana au la. Hata hivyo, kabla sijazibainisha hoja hizo, ni vyema kwanza tukaangalia zaidi jinsi Mungu huyo huyo mmoja alivyojifunua na kujitambulisha kwa Manabii wake mbalimbali lakini kwa majina tofauti.

Mungu alivyojitambulisha kwa Nabii Ibrahimu (a.s.)

Kulingana na mafundisho ya Biblia, Mungu alijitambulisha kwa Nabii Ibrahimu (a.s.) kama "Mungu Mwenyezi". Ukweli huu unathibitishwa na andiko lifuatalo:

"Abrahamu alipokuwa mtu wa miaka tisini na kenda, BWANA akamtokea Abramu, akamwambia, Mimi ni Mungu Mwenyezi, uende mbele yangu, ukawe mkamilifu". (Mwanzo 17:1)

Mungu alivyojitambulisha kwa Nabii Isaka (a.s.)

Mafundisho ya Biblia pia yanaeleza kuwa Mungu alijitambulisha kwa Nabii Isaka (a.s.) kwamba ndiye Mungu yule yule wa Baba yake (Nabii Ibrahimu a.s.) kama tunavyojifunza maandiko yafuatayo:

"Isaka akarudi akavichimbua vile visima vya maji walivyovichimba siku za Ibrahimu babaye; ... BWANA akamtokea usiku ule ule akasema, Mimi ni Mungu wa Ibrahimu baba yako, usiogope, maana Mimi ni pamoja nawe, nami nitakubarikia, na kuzidisha uzao wako kwa ajili ya Ibrahimu mtumishi wangu". (Mwanzo 26:18,24).

Mungu alivyojitambulisha kwa Nabii Yakobo (a.s.)

Vile vile kulingana na mafundisho ya Biblia, Mungu alijitambulisha pia kwa Nabii Yakobo (a.s.), kama maandiko yafuatayo yanavyobainisha ukweli huu:

"Mungu akamtokea Yakobo tena, aliporudi kutoka padan - aramu akamwambia, Jina lako ni Yakobo, hutaitwa tena Yakobo, lakini Israeli litakuwa jina lako. Akamwita jina lake, Israeli. Mungu akamwambia, Mimi ni Mungu Mwenyezi, uzidi ukaongezeke". (Mwanzo 35:9-11).

Mungu alivyojitambulisha kwa Nabii Musa (a.s.)

Tofauti na alivyojitambulisha kwa Manabii wake wa kabla ya Nabii Musa (a.s.), Biblia inafundisha kuwa Mungu alijitambulisha kwa Nabii Musa (a.s.) na kwa Waisraeli wengine kwa majina ya "Yehova" na "BWANA".

Kuhusu jina la Yehova, andiko lifuatalo linathibitisha kama ifuatavyo:

"Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni Yehova". (Kutoka 6:2).

Kuhusu BWANA, maandiko yafuatayo yanabainisha:

"Ilikuwa siku hiyo BWANA aliponena na Musa katika nchi ya Misri, BWANA akamwambia Musa, akasema, Mimi ni BWANA, mwambie Farao mfalme wa Misri maneno yote nikuambiayo". (Kutoka 6:28-29).

Mungu alivyojitambulisha kwa Nabii Daudi (a.s.)

Maandiko ya Biblia yanaonyesha pia kuwa Mungu alijifunua na kutambuliwa na Nabii Daudi (a.s.) kwa majina ya Yehova, Yahu na BWANA.

Kuhusu jina Yehova, Nabii Daudi baada ya Mungu kumfunulia, alitangaza kwa kusema:

"Wajue ya kuwa Wewe, uitwaye jina lako Yehova, ndiwe peke yako Uliye juu, juu ya nchi yote". (Zaburi 83:18)

Kuhusu jina Yahu, Nabii Daudi pia alifunuliwa na kusema:

"BWANA, Mungu wa majeshi, Ni nani aliye hodari kama Wewe, Ee Yahu?" (Zaburi 89:8)

Ama kuhusu BWANA, Nabii Daudi vile vile alisema:

"Kwa kuwa BWANA ni Mungu mkuu, Na mfalme mkuu juu ya miungu yote". (Zaburi 95:3).

Mungu alivyojitambulisha kwa Nabii Isaya (a.s.)

Kulingana na mafundisho ya Biblia, Mungu kupitia kinywa cha Nabii Isaya (a.s.) alijitambulisha kwa jina la BWANA. Aidha, kwa upande mwingine, maandiko ya Biblia yanaonyesha kuwa Mungu pia alijifunua kwa Nabii Isaya kwa jina la BABA.

Kuhusu kujitambulisha kwa jina la BWANA, Mungu mwenyewe alisema:

"Mimi ni BWANA, ndilo jina langu; na utukufu wangu sitampa mwingine, wala sitawapa sanamu sifa zangu". (Isaya 42:8)

Ama kuhusu jina la BABA, Nabii Isaya alisema:

"Lakini sasa, Ee BWANA, Wewe U baba yetu, sisi tu udongo, nawe u mfinyanzi wetu, sisi sote tu kazi ya mikono yako". (Isaya 64:8)

Mungu alivyojitambulisha kwa Nabii Yesu (a.s.)

Sawa sawa na Nabii Isaya (a.s.), Biblia inafundisha kuwa Mungu alijifunua na kutambuliwa na Nabii Isa au Yesu (a.s.) kwa majina ya BABA MTAKATIFU na BWANA.

Kuhusu BABA MTAKATIFU, Yesu naye alifunuliwa na kusema:

"Wala mimi simo tena ulimwenguni, lakini hawa wamo ulimwenguni, nami naja kwako Baba Mtakatifu, kwa jina lako ulilonipa uwalinde hawa, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo". (Yohana 17:11)

"Yesu akamwambia. Usinishike; kwa manaa sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu". (Yohana 20:17)

Ama kuhusu BWANA, Yesu vile vile alifunuliwa na kusema:

"...Ya kwanza ndiyo hii, sikia, Israeli, Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja, nawe mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote na kwa nguvu zako zote:. (Marko 12:29-30)

Kwa ufupi, hivi ndivyo Bwana Yesu naye alivyofunuliwa na kumtambua Mungu kwa majina hayo (ya BABA na BWANA). Na kwa ujumla, ukimtoa Nabii Ibrahimu, Ishmaeli, Isaka na Yakobo (a.s.) ambao walimtambua Mungu kwa jina la Mwenyezi, Manabii waliokuja baada yao pamoja na Waisraeli kwa ujumla walimtambua Mungu kwa jina ama la Yehova, BWANA, Yahu au BABA, kama Mungu mwenyewe alivyojifunua kwao.

Mungu alivyojitambulisha kwa Nabii Muhammad (s.a.w.)

Kama alivyojifunua na kujitambulisha kwa Manabii wake wengine kwa majina tofauti (kama tulivyoona hapo juu), Mwenyezi Mungu pia hakuacha kuiendeleza kawaida (desturi) yake hiyo hata kwa Nabii wake wa mwisho, Mtume Muhammad (s.a.w.). Kwake aliamua kujitambulisha kwa jina lake kuu la Allah, akama aya ifuatayo inavyobainisha:

"Jua ya kwamba hakuna aabudiwaye kwa haki ila Allah (Mwenyezi Mungu)...". (Qur. 47:19)

Pamoja na kujitambulisha kwa jina hilo (la Allah), Mwenyezi Mungu pia hakuacha kujionyesha kuwa Yeye ndiye Mungu yule aliyewafunulia Manabii wake waliomtangulia Nabii Muhammad (s.a.w.) kama aya ifuatayo ya Qur'an inavyo mwambia Mtume Muhammad (s.a.w.) na Waislamu wengine wa umma wake kwa ujumla:

"Amekupeni sheria ya dini ile ile aliyomuusia Nuhu na tuliyokufunulia wewe na tuliyowausia Ibrahimu na Musa na Isa (Yesu)..." (Qur. 42:13).

Kulingana na aya hiyo ya Qur'an tukufu hapo juu, ni wazi kuwa Mungu - Allah ndiye Mungu - Yehova, ndiye Mungu-Mwenyezi, ndiye BWANA na ndiye Mungu-BABA aliyejifunua kwa Manabii wake wote wa kabla ya Nabii Muhammad (s.a.w.).

Hivyo basi, kwa kuzingatia uwazi wa shuhuda hizo nilizozitaja hapo juu, ni upotofu wa dhahiri kudai kwamba Yehova siyo Allah (s.w.). Kwani hata Bwana Yesu (a.s.), maandiko ya Biblia hayaonyeshi kwamba Mungu alijifunua kwake kwa jina la Yehova. Kwa hali hiyo, hatuwezi kusema kuwa Mungu - Yehova aliyejifunua kwa Nabii Musa (a.s.) siyo Mungu - Baba aliyejifunua kwa Nabii Isa au Yesu (a.s.). Au Mungu - Baba aliyejifunua kwa Yesu siyo Mungu - Mwenyezi aliyejifunua kwa Nabii Ibrahimu, Isaka na Yakobo (a.s.).

Lakini ukweli ni kwamba huyo ni Mungu yule yule mmoja ambaye anadhihirika kwa kazi, utukufu na sifa zake kamilifu, kama tutakavyokuja kuona hapo baadae katika maandiko ya Qur'an tukufu na Biblia takatifu, InshaAllah.
 
Gwajima kiboko ya Bashite. Ha ha haaaaaa. Hapa vyeti tu hata atoe machozi ya damu
 
  1. Tusimchukie Gwajima kwa sababu Alipishana na Askofu Pengo. Kuna ambao wanaendeleza chuki kutokana na hili. Askofu Pengo ni binadamu kama mimi na wewe ukiniweka mimi na yeye mbele za Mungu tu binadamu wote sawa. Labda ambacho kitamwongezea Credit ya Kupata Zawadi kubwa au Adhabu kubwa ni Je aliokoa au kupotosha wangapi? ila kama alizini atahukumiwa, kama alisema uongo atahukumiwa, kama alikuwa mnafiki atahukumiwa. hivyo hivyo kwa Gwajima. naye akisimamishwa na mimi ataangaliwa Ameokoa au Kupoteza wangapi..
  2. Tunapomwangalia Gwajima kwa kusema aliwah mtukana Ask Pengo na kuanzia hapo tukamwona hafai kwa sababu "alimtukana" au aliongea alichoamini kuhusiana na Askofu Pengo tunakosea sana. Tuangalie hoja zake peke yake. dini, imani na itikadi zetu zisiathiri jambo hili.
  3. Swali kuu na neno la Imani katika Mfungo huu wa Kwarezima. JE ANACHONGEA GWAJIMA NI UONGO? THIBITISHA UONGO WAKE/ASHTAKIWE HARAKA KWA KUPOTOSHA UMMA WA WATANZANIA.
 
Mayala ni njaaaa
Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo! Adai yeye ni zaidi ya Rais...
Huyu ni
Manabii wa Uongo na Tutawatambuaje?.
Kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo, tunayemwamini Bwana wetu Yesu Kristo, kabla hajapaa mbinguni, alituhusia kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza, "Jee tutawatambuaje?", Yesu akawajibu, "Mtawatambua kwa matendo yao".

Mchungaji Dr. Josephat Gwajima ni Nabii wa Kweli au Nabii wa Uongo?.
Hii ni thread ya swali kumhusu Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo wa Uzima, Mchungaji, Dr. Josephat Gwajima, Jee ni Mtumishi wa Mungu wa Kweli?!, ni Nabii wa kweli au ndio wale manabii wa uongo aliowazungumza Bwana wetu Yesu Kristo?.

Akiwa katika mimbari, madhabahuni, mbele ya Mungu na wana kondoo wake, badala ya kuihubiri Injili na neno la Mungu lenye uzima na lenye kujenga upendo, amani na mshikamano miongoni mwa jamii, yeye anahubiri siasa kwenye nyumba ya ibada, tena mahubiri juu ya chuki dhidi ya binadamu mwingine hadi kumuita "huyu kiumbe"!.

Ni nabii wa uongo kwa sababu anahubiri uongo.
Uongo wa Gwajima ni Kumiliki Vyeti vya Daudi Albert Bashite na Paul Christian Makonda Mezani Kwake!.
Ila pia Mchungaji Gwajima amedai, anavyo vyeti vyote ofisini kwake tangu cha Daudi Albert Bashite alichopata Divisheni 0, hadi cheti cha Paul Christian alichounganishiwa na Christina!, na kudai kuwa ana mshitaki Makonda kwa Ndalichako na kwa Magufuli, na asipochukuliwa hatua zozote, yeye atashangaa sana na atavitoa vyeti hivyo hadharani, umma uvione. Jee hii inaweza kuwa kweli?, huu sio uongo mwingine wa mchana kweupe?!. Hili la Mchugaji Gwajima kudai anavyo vyeti vya Daudi Bashite na Paul Christian, kwa maoni yangu, huu ni uongo!, kwa sababu nijuavyo mimi, mtu ulikuwa ukipata Div. 0 hupewi cheti chochote na NECTA zaidi ya Leaving Certificate, Leaving huwa haionyeshi umepata nini, sasa hicho cheti cha Daudi Bashite alichonacho Mchungaji Gwajima, kinachoonyesha Daudi Bashite alizungusha, Gwajima amekitoa wapi?. Kwa vile Daudi Bashite alifeli darasa la saba Nyanza, hawezi tena huyo huyo Daudi Bashite akajiunga na Shule ya Sekondari ya Pamba ambayo ni ya serekali, bali Daudi Bashite baada ya kufeli darasa la 7, hapo ndio mwisho rasmi wa jina la Daudi Albert Bashite, hivyo mtu aliyejiunga na shule ya sekondari ya Pamba, sio Daudi Bashite, bali alitumia jina la mwanafunzi mwingine aliyefaulu, hivyo Mchungaji Gwajima, hawezi kuwa na vyeti vya Daudi Bashite vinavyoonyesha kuwa alizungusha. Kwa kifupi, hakuna Daudi Bashite yoyote aliyesoma sekondari, Daudi Bashite original, aliishia darasa la saba!, hivyo kama Mchungaji Gwajima, anadai, anavyo vyeti vya Daudi Bashite, vinavyoonyesha alipata Div 0, huu utakuwa ni uongo!, ila mtanisamehe sana, sisi wengine tuu miongoni mwa wale wenye imani haba kamaTomaso, hatuamini mpaka tuone!. Kwa hapa naendelea kumwita Mchungaji Gwajima ni muongo hadi pale atakapo vitoa vyeti vya Daudi Bashite hadharani tuvione ndipo nitaamini!.

Jee Maneno na Matendo ya Mchungaji Gwajima ni Kama Yesu, ni ya KiMungu?.
Swali ni jee huu ndio utendaji wa watu wa Mungu, kuwatakia wenzao mabaya?, kuwazushia uongo mchana kweupe tena madhabahuni kwenye mimbari ya Mungu?!. Yesu alitufundisha, "tumpe Kaisari yaliyo ya Kaisari, na tumpe Mungu yaliyo ya KiMungu, kwanini Mchungaji Gwajima, analeta ya Kaisari mezani kwa Bwana?!. Jee huyu Mchungaji Gwajima, ni mchungaji wa Mungu au ni wa mungu?. Mchungaji Gwajima kama mtu wa Mungu wa kweli, anaweza kweli kusema uwongo kama ule madhabahuni kwa Bwana?!. Jee huyu ni mchungaji wa kweli anayemtumikia Mungu wa kweli, au ndio wale wachungaji aliyewasema Bwana wetu Yesu Kristo kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza, "Jee tutawatambuaje?", Bwana Yesu akawajibu, "Mtawatambua kwa matendo yao".
Jee kwa matendo kama haya, kuna kitu chochote cha kutambua?.
Mchungaji Gwajima ni Nabii wa Mungu, au nabii wa mungu?.
Japo nimewahi kushiriki Ibada kwa Mchungaji Gwajima, naomba mimi nisiseme kitu bali msikilize mmoja wa waumini wake ambaye pia ni mwanachama mwenzetu hapa jf.

Kwa ushuhuda huu mtaona tuhuma unga kwa Mchungaji hazikutolewa na Makonda kwa wivu wa helicopter au vita vya Jimbo bali Makonda alipewa majina na akayaanika.
Na ukimsikiliza Gwajima hapa, utakubaliana na mimi huyu jamaa sio mzima kabisa japo haokoti makopo.
[QUOTE="Mulhat Mpunga, post: 20009921,

Paskali
 
Twanga baba askofu Gwajima, mpaka wapige magoti na kukuomba msamaha
 
NAJUA KWA NUDGU YANGU PASKAL HUWEZI KABISA KUKUBALIANA NA HOJA ZA GWAJIMA HASA UKICHUKULIA ALISHAWAH KUMSEMA VIBAYA ASKOFU PENGO. SO HAPA NAKUELEWA KABISA GWAJIMA KWAKO NI MTU MBAYA KABISA KUWAH KUTOKEA NCHINI. NAKUELEWA VIZURI NDUGU YANGU.

Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo! Adai yeye ni zaidi ya Rais...
Huyu ni
Manabii wa Uongo na Tutawatambuaje?.
Kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo, tunayemwamini Bwana wetu Yesu Kristo, kabla hajapaa mbinguni, alituhusia kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza, "Jee tutawatambuaje?", Yesu akawajibu, "Mtawatambua kwa matendo yao".

Mchungaji Dr. Josephat Gwajima ni Nabii wa Kweli au Nabii wa Uongo?.
Hii ni thread ya swali kumhusu Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo wa Uzima, Mchungaji, Dr. Josephat Gwajima, Jee ni Mtumishi wa Mungu wa Kweli?!, ni Nabii wa kweli au ndio wale manabii wa uongo aliowazungumza Bwana wetu Yesu Kristo?.

Akiwa katika mimbari, madhabahuni, mbele ya Mungu na wana kondoo wake, badala ya kuihubiri Injili na neno la Mungu lenye uzima na lenye kujenga upendo, amani na mshikamano miongoni mwa jamii, yeye anahubiri siasa kwenye nyumba ya ibada, tena mahubiri juu ya chuki dhidi ya binadamu mwingine hadi kumuita "huyu kiumbe"!.

Ni nabii wa uongo kwa sababu anahubiri uongo.
Uongo wa Gwajima ni Kumiliki Vyeti vya Daudi Albert Bashite na Paul Christian Makonda Mezani Kwake!.
Ila pia Mchungaji Gwajima amedai, anavyo vyeti vyote ofisini kwake tangu cha Daudi Albert Bashite alichopata Divisheni 0, hadi cheti cha Paul Christian alichounganishiwa na Christina!, na kudai kuwa ana mshitaki Makonda kwa Ndalichako na kwa Magufuli, na asipochukuliwa hatua zozote, yeye atashangaa sana na atavitoa vyeti hivyo hadharani, umma uvione. Jee hii inaweza kuwa kweli?, huu sio uongo mwingine wa mchana kweupe?!. Hili la Mchugaji Gwajima kudai anavyo vyeti vya Daudi Bashite na Paul Christian, kwa maoni yangu, huu ni uongo!, kwa sababu nijuavyo mimi, mtu ulikuwa ukipata Div. 0 hupewi cheti chochote na NECTA zaidi ya Leaving Certificate, Leaving huwa haionyeshi umepata nini, sasa hicho cheti cha Daudi Bashite alichonacho Mchungaji Gwajima, kinachoonyesha Daudi Bashite alizungusha, Gwajima amekitoa wapi?. Kwa vile Daudi Bashite alifeli darasa la saba Nyanza, hawezi tena huyo huyo Daudi Bashite akajiunga na Shule ya Sekondari ya Pamba ambayo ni ya serekali, bali Daudi Bashite baada ya kufeli darasa la 7, hapo ndio mwisho rasmi wa jina la Daudi Albert Bashite, hivyo mtu aliyejiunga na shule ya sekondari ya Pamba, sio Daudi Bashite, bali alitumia jina la mwanafunzi mwingine aliyefaulu, hivyo Mchungaji Gwajima, hawezi kuwa na vyeti vya Daudi Bashite vinavyoonyesha kuwa alizungusha. Kwa kifupi, hakuna Daudi Bashite yoyote aliyesoma sekondari, Daudi Bashite original, aliishia darasa la saba!, hivyo kama Mchungaji Gwajima, anadai, anavyo vyeti vya Daudi Bashite, vinavyoonyesha alipata Div 0, huu utakuwa ni uongo!, ila mtanisamehe sana, sisi wengine tuu miongoni mwa wale wenye imani haba kamaTomaso, hatuamini mpaka tuone!. Kwa hapa naendelea kumwita Mchungaji Gwajima ni muongo hadi pale atakapo vitoa vyeti vya Daudi Bashite hadharani tuvione ndipo nitaamini!.

Jee Maneno na Matendo ya Mchungaji Gwajima ni Kama Yesu, ni ya KiMungu?.
Swali ni jee huu ndio utendaji wa watu wa Mungu, kuwatakia wenzao mabaya?, kuwazushia uongo mchana kweupe tena madhabahuni kwenye mimbari ya Mungu?!. Yesu alitufundisha, "tumpe Kaisari yaliyo ya Kaisari, na tumpe Mungu yaliyo ya KiMungu, kwanini Mchungaji Gwajima, analeta ya Kaisari mezani kwa Bwana?!. Jee huyu Mchungaji Gwajima, ni mchungaji wa Mungu au ni wa mungu?. Mchungaji Gwajima kama mtu wa Mungu wa kweli, anaweza kweli kusema uwongo kama ule madhabahuni kwa Bwana?!. Jee huyu ni mchungaji wa kweli anayemtumikia Mungu wa kweli, au ndio wale wachungaji aliyewasema Bwana wetu Yesu Kristo kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza, "Jee tutawatambuaje?", Bwana Yesu akawajibu, "Mtawatambua kwa matendo yao".
Jee kwa matendo kama haya, kuna kitu chochote cha kutambua?.
Mchungaji Gwajima ni Nabii wa Mungu, au nabii wa mungu?.
Japo nimewahi kushiriki Ibada kwa Mchungaji Gwajima, naomba mimi nisiseme kitu bali msikilize mmoja wa waumini wake ambaye pia ni mwanachama mwenzetu hapa jf.

Kwa ushuhuda huu mtaona tuhuma unga kwa Mchungaji hazikutolewa na Makonda kwa wivu wa helicopter au vita vya Jimbo bali Makonda alipewa majina na akayaanika.
Na ukimsikiliza Gwajima hapa, utakubaliana na mimi huyu jamaa sio mzima kabisa japo haokoti makopo.
[QUOTE="Mulhat Mpunga, post: 20009921,

Paskali
 
NAJUA KWA NUDGU YANGU PASKAL HUWEZI KABISA KUKUBALIANA NA HOJA ZA GWAJIMA HASA UKICHUKULIA ALISHAWAH KUMSEMA VIBAYA ASKOFU PENGO. SO HAPA NAKUELEWA KABISA GWAJIMA KWAKO NI MTU MBAYA KABISA KUWAH KUTOKEA NCHINI. NAKUELEWA VIZURI NDUGU YANGU.
Kwani Pengo ni Mungu?
 
Huuu ujinga leteni mada za kujenga jamii sio kujadili watu tufukie mahali tuelekezane namna gani tunatoka sio mara gwajima wala makonda huo ubaraka utaisha lini
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Asante Gwajima kwa kusema kweli na kusimamia kweli.
Sheria ichukue mkondo wake kwa wenye vyeti feki.
 
Muombee wewe yule mtu wa kuropoka ropoka tu, hajui zuri wala baya, kipindi kile aliropoka utumbo kuhusu Pengo, akipelekwa Central anazimia kama kuku
Saivi kakomaa na Bashite Bashite mbona hivyo vyeti haweki hadharani sasa?
We uliona wapi kwenye bible wameandika mtu wa Mungu alipe kisasi?
Au Gwajima anamuabudu Mungu gani?
Sifa kubwa ya mtu wa Mungu ni kusamehe na kuacha Mungu apigane vita yake sasa huyu bwana mropokaji bado ana sifa ya kua mtumishi wa Mungu?

Uliona wapi mtumishi wa Mungu anahubiri mipasho?
Uliona wapi mtumishi wa Mungu anategemea kupata taarifa za maisha ya watu kutoka Instagram (Mange Kimambi)?

Lini ilikuwa Mara yako ya mwisho kusoma Biblia?
KAMA UMEWAHI KUISOMA.
Eti anahubiri mipasho, Mafarisayo walimwambia Yesu ana pepo. Kuwa na pepo ni zaidi ya kuhubiri mipasho.
kwa hiyo hilo si geni.
Gwajima anamwabudu Mungu gani?
Mafarisayo walimwambia Yesu anafukuza pepo kwa Zelubaberi,yaani mkuu wa mapepo. Kwa Lugha nyingine walimwambia Yesu ana nguvu za shetani. Hata wewe ndugu yangu umeunga foleni ya Mafarisayo na swali lako si geni pia.

Mbona Mfalme Daudi hakuacha Mungu ashuke ampige Goliath?
Mbona Yesu naye hakuacha Mungu ashuke afukuze wafanya Biashara katika hekalu la Mungu?
Wewe ndiye unaropoka juu ya Biblia, nikiongea kwa kupatia zaidi wewe ni mtu wa kusikiliza watu wengine wakiisoma Biblia.
Kama Biblia huijui kwa nini unajitosa mzima mzima KIBASHITE?

KAma GWajima humjui kwa nini unalazimisha kujifanya unamjua?
 
Gwajima ni mtumishi wa Mungu. Jasiri, shupavu, asiyeogopa. Binafsi naona tatizo kwa serikali hii. Gwajima baada ya uchaguzi aliahidi kushirikiana na serikali ya Magufuli lakini serikali Wana hasira naye na mpaka mkuu kutamani kuwa IGP ili awafunge Wana kwaya wake.

Hili la madawa limemkera zaidi na kumchafua sana. Naye kaamua kulipa kisasi kiroho na ndiyo maana Bashite kabaki kuhaha haha na kuwayawaya tu

Magu alidhani atawanasa wapentecoste kupitia kwa Mzee wa Upako eti ana mafundisho mazuri kumbe hoooolaaaa...... Kajipachika kwa mlevi.
 
Shehe ponda alikua na makali kama ya huyu askofu uchwara, lakini mwisho alinyea debe mpaka akapata adabu.
 
Hawa akina gwajima wakingekuwa ufilipino nahisi tungekuwa tunasema mengine yule raisi sio wa dunia hii mdogo wake hitler ameua watu kama 7000 hivi walioshutumiwa wanafanya biashara ya madawa ya kulevya pamoja na mawakili wanotetea hao watu
 
Unaniuliza kaipataje doctorate wakati nimeshasema simfahamu!!!

But all in all, hoja ni kutumia vyeti vya mtu mwingine... fraudulent; kwahiyo kama unaamini Askofu Gwajima alipata hiyo doctorate kwa kutumia vyeti vya mtu mwingine; unatakiwa kusema na sio kuuliza!!!

The problem with you guys wala hamjui au mnajifanya hamjui kwamba hapa hoja sio kufeli au kitu chochote sawa na hicho! Hoja ni kufoji!!! Kufoji ni jinai na haijalishi ni nani mhusika! Hata aliyekuwa Mbunge wa Temeke, Ramadhani Ali Kihiyo nae baada ya kugundulika ni fraud, alilazimika kuachia ngazi!
Jibu swali, sio kutapatapa. Hoja ya thread hii ni kumjua Gwajima kiundani, unless uliandika ukiwa umesinzia
 
Back
Top Bottom