Mchungaji Gwajima ni nani? Tukianzia hapa Tutajua namna ya Kudeal na watu aina yake

Mchungaji Gwajima ni nani? Tukianzia hapa Tutajua namna ya Kudeal na watu aina yake

Unajua kazi ya askofu ni nini au ndo mwisho wa dunia
Hivi hii tanzania wenye vyeki feki ni wangapi na kwan cheti ndo kinafanya kazi wangapi mpaka leo hawajasoma lakini kqzi wanafanya kwa kwenda mbele

Hayo maswali kamwulize MH Magufuli
 
Mkuu kwanza asante kwa kuniheshimu nami ningependa kuitunza heshima hiyo ila linapokuja suala la imani za watu, mimi ni mwepesi sana kukubaliana kutokukubaliana.
Nimeraise issues 3.
1. Jee Mchungaji Gwajima ni Nabii wa kweli au wa uwongo? . Nikatoa reference ya Yesu kuhusu jinsi ya kuwatambua manabii wa uwongo, utawatambua kwa maneno yao na matendo yao. Nikawawekea reference 2. Moja ya maneno alipomtukana Muadhama Poliycarp Cardinali Pengo. Referemce ya matendo nimeweka ushuhuda wa mwana JF aliyetendwa na kueleza humu jinsi alivyotendwa.
2. Hoja yangu ya pili ni kusema uongo kuhusu vyeti. Mchungaji ameeleza kuwa Bashite alipata sifuri na anavyo vyeti mezani kwake vinavyoonyesha hiyo sifuri!. Nikasema huu ni uongo. Cheti ni kitu kimoja na nakala ya cheti ni kitu kingine, nikasema Gwajima ana nakala na sio vyeti! . 2. Matokeo ya Div 0 hayana cheti, hivyo Mchungaji Gwajima hawezi kuwa na Cheti cha Bashite kuonyesha alipata 0 kwa sababu hakuna cheti kama hicho hapa duniani wala mbinguni. Kitu ambacho kipo ni matokeo. Matokeo sio cheti ni public document. Cheti cha Leaving certificates hakionyeshi matokeo yoyote.

Nikasema mimi ni Tomaso, siamini mpaka Gwajima atoe vyeti alivyodai anavyo vinginevyo ni muongo!.
3. Hoja yangu ya mwisho ni kuhusu Gwajima kuuza unga, nikasema hawezi kumlaumu Makonda kwa sababu kosa la Makonda ni kumtangaza tuu, nikasema Makonda yeye kapewa jina tuu. Mchungaji Gwajima anadai kuwa Makonda kamsingizia kwa ajili ya wivu wa helcopter na kutaka kugombea Misungwi. Ukweli wa tuhuma za Gwajima kuuza unga zililetwa humu JF kitambo na muumini wake mwenyewe na link niliwawekea kwenye bandiko langu hili

Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo! Adai yeye ni zaidi ya Rais...
Paskali
Mnangoja nini kwenda upesi mahakamani kumshtaki Askofu Gwajima kuwa mwongo ?

Usitafute kudharauliwa bila sababu ya msingi Paskali. Unachobisha ni nini hapo na kwa faida ya nani kupotosha ?

Kwa taarifa yako, si rahisi waumini na wafuasi wake wakamsikiliza kiumbe mwingine zaidi ya askofu Gwajima katika kanisa lake.
 
Gwajima ni mnafiki na mchukua wake za watu nan hasojua gwajima amemchukua flora mbasha? amevunja ndoa ya watu? mchungaj gan Tz au padre alovunja ndoa za mtu kama gwajima? Gwajima anajenga majumba ya kifahari kwa pesa za wahumin ambao n maskini wanatafuta pesa kwa shida.....Gwajima Ni mtu hasye na heshma wala staha.....pengo kumtukana amekosea sana lakn pengo ana hekma sana na busara wakat wa kikwete pengo alitajwa kuhusu dawa za kulevya mzee yule alinyamaza...alpotukanwa na gwajima alinyamaza pia....Naomba kukwambia hata rais kikwete sio kwamba ameshindwa kumfunga gwajima hakushindwa ila kikwete ana hekma na busara na uvumilvu sana....kikwete hasyetaka lawama.......Gwajima hana uwezo wa kushndana na rais wa nchi wala serikali kama ww unavotaka kutuamnsha....gwajima ni sawa na mkate mbele ya supu...gwajima ni sawa na tone la maji kwenye bahari....serikali wakimua kumfunga wanamfunga na mna msahau.....kwan wangap ktk nchi tafaut wamefungwa viongoz walokuwa wanasumbua serikali? wafuasi wamelalama weee mwisho wametulia.....hakuna anayemuogopa gwajima wala hana elimu ya kutsha unayotaka wewe kutuamnsha.....Tz ina viongoz wanaoheshma viongoz wa dini...lkn nafac walopewa hao viongoz wa dini wanaitumia vbaya .....kuingilia mambo yasiyowahusu.....nataman kuoneshwe mfano vp serikali ina nguvu zaidi ya waimba kwaya wa gwajima......Gwajima ni tapeli anayeamnsha watu kuwa yeye mfufuaji walokufa....huku katika ukoo wake wanakufa anashindwa kuwarejesha.......Gwajima ni nani? Gwajima n mjanja anayekula pesa za wajinga......Gwajima ni nani? Gwajima ni mtu hasokuwa na sifa ya kuww kiongoz wa dini.....Kwanza kiongoz gan wa dini ulindwe kiasi kile una nn?? Kama kulindwa angelindwa yesu.....Gwajima n mpiga deal......
UMESEMA KWELI, NA UKWELI KWA KAWAIDA UNAUMA !
 
Mchungaji gani anatembea na wake za watu na kuaribu ndoa? arafu eti wafuasi wake wanaenda kufunga pingu za maisha kwake,tafakalini!
Mkuu, kuna mwanamuziki wa bongo fleva anataka kuanzisha kanisa. Na atawapata tu waumini. Hiyo ndiyo Tanzania ya mwendokasi. Vichwani mwa watu kuna mipango ya baadae ambayo ni sinema za comedy, tena zenye kuuza vizuri sokoni.
 
Anaifanya misukule irudi barabarani!

Hahahaaaa basi atamrudisha pia huyo dada kwa kutaka kwake na siyo kwa kushiikizwa.

Hata kipindi cha Yesu watu walikufa kama kawaida ila aliwafufua 3 tu.
 
Makonda a.k.a Daudi Bashite asithubutu kuendeleza mapambano na huyu jamaa. Atakufa kwa pressure. Ona sasa, Mwanahalisi nao wamefuatilia historia ya Makonda hadi kijijini alikozaliwa na kuziweka data zote hadharani. Bila ya Gwajima kuongeza mafuta katika sakata hili, hata wao (Mwanahalisi) wasingefika huko.
 

Attachments

  • IMG_20170306_115910.jpg
    IMG_20170306_115910.jpg
    112.8 KB · Views: 26
Mkuu kwanza asante kwa kuniheshimu nami ningependa kuitunza heshima hiyo ila linapokuja suala la imani za watu, mimi ni mwepesi sana kukubaliana kutokukubaliana.
Nimeraise issues 3.
1. Jee Mchungaji Gwajima ni Nabii wa kweli au wa uwongo? . Nikatoa reference ya Yesu kuhusu jinsi ya kuwatambua manabii wa uwongo, utawatambua kwa maneno yao na matendo yao. Nikawawekea reference 2. Moja ya maneno alipomtukana Muadhama Poliycarp Cardinali Pengo. Referemce ya matendo nimeweka ushuhuda wa mwana JF aliyetendwa na kueleza humu jinsi alivyotendwa.
2. Hoja yangu ya pili ni kusema uongo kuhusu vyeti. Mchungaji ameeleza kuwa Bashite alipata sifuri na anavyo vyeti mezani kwake vinavyoonyesha hiyo sifuri!. Nikasema huu ni uongo. Cheti ni kitu kimoja na nakala ya cheti ni kitu kingine, nikasema Gwajima ana nakala na sio vyeti! . 2. Matokeo ya Div 0 hayana cheti, hivyo Mchungaji Gwajima hawezi kuwa na Cheti cha Bashite kuonyesha alipata 0 kwa sababu hakuna cheti kama hicho hapa duniani wala mbinguni. Kitu ambacho kipo ni matokeo. Matokeo sio cheti ni public document. Cheti cha Leaving certificates hakionyeshi matokeo yoyote.

Nikasema mimi ni Tomaso, siamini mpaka Gwajima atoe vyeti alivyodai anavyo vinginevyo ni muongo!.
3. Hoja yangu ya mwisho ni kuhusu Gwajima kuuza unga, nikasema hawezi kumlaumu Makonda kwa sababu kosa la Makonda ni kumtangaza tuu, nikasema Makonda yeye kapewa jina tuu. Mchungaji Gwajima anadai kuwa Makonda kamsingizia kwa ajili ya wivu wa helcopter na kutaka kugombea Misungwi. Ukweli wa tuhuma za Gwajima kuuza unga zililetwa humu JF kitambo na muumini wake mwenyewe na link niliwawekea kwenye bandiko langu hili

Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo! Adai yeye ni zaidi ya Rais...
Paskali
Nashukuru sana kaka Pascal, naendelea kuitunza kwa umakini mkubwa heshima yako tokea nimekufahamu hasa Enzi zile za KITI MOTO ya Masai studio. Sitaki kuingia ndani sana kuhusu HOJA zako cause name naweza kukosea zaidi kwenye haya masuala ya IMANI but one thing which I have noted from you brother regarding the issue of these two brothers, yaani mhe RC na askofu Gwajima; nahisi kaka UNAO UPANDE kwenye hili so you better declare the conflict of interest. Unakumbuka uliisha wahi kuhoji ukweli wa jina Bashite na kwamba ulitaka watu waende huko kwenye hizo shule alizosomea and may be hata kijijini kwao? Haya sasa Gwajima ndio akaanza just some few days after your request (sina hakika kama na Gwajima nae hua anapitia humu) and again gazeti la Mwanahalisi nalo ndio sijui limefanyia kazi OMBI lako, wametia team huko kijijini na wameonesha hadi shule alio soma (kwamba ni kweli au sio kweli kuhusu taarifa yao, hilo ni jambo lingine) sasa tena kaka unakuja na proves za vyeti. Kwenye ule uzi nilisema hivi; chunguza tu mwenendo wa mtuhumiwa, mbona kama yeye mwenyewe kapoteza kujiamini? Mara aombe masheikh wamwombee, mara Jumapili ya Juzi katia team kwenye kanisa ambalo sio kanisa lake (tunaweza singizia issue ya ukuu wa mkoa kwamba anaweza sali popote) cant you reason that brother? Well, tulio pembeni tupo tunaendelea kuusoma mchezo.
Nimealizie tu kusema, yawezekana Gwajima na wote waliotajwa wakawa kweli wanafanya hiyo biashara but again njia iliotumika kuwaumbua ukithubutu tu kuwapeleka mahakamani utajikuta unalazimika kuwalipa badala ya wao kuadhibiwa, why? Huna ushahidi. Na hilo ndilo ambalo wengi wanamlaumu mhe RC, laity kama angetumia njia za kikachero may be hawa jamaa wangeumbuliwa vibaya sana and we could see it even ourself, sasa hvi inabakia kuoana tu kama kuna visasi vya kisiasa hasa ukichukulia karibu wote hao wamekua wana andamwa sana na issues zingine yaani Mbowe, Gwajima, Manji nk.
 
Hahahaaaa basi atamrudisha pia huyo dada kwa kutaka kwake na siyo kwa kushiikizwa.

Hata kipindi cha Yesu watu walikufa kama kawaida ila aliwafufua 3 tu.
Hashinikizwi.ila aliahidi kumrudisha na bado tunangoja. Ahadi ni deni.
 
Askofu na Mchungaji Gwajima amekuwa moja ya watu maarufu na gumzo kubwa sana nchini. aina hii ya watu wapo duniani kote kwa Dini au Imani zote. Mtu wa namna hii unapoanza naye vita unapaswa kwanza kujichunguza. kuchukua muda mrefu kujichunguza wewe kwanza kabla hujaanza kumchunguza yeye na kuangalia udhaifu wake.

Tumemuona mara kadhaa Gwajima akisimama kuzungumza anachoamini pasipo kuuma uma maneno. Tumwona akimsema Laiyekuwa Rais wa Awamu iliyopita, tulimwona akisema Serikali iyopita kwa Ujasiri na kupelekea kupata matatizo kadhaa. Hakuishia hapo tu. aliwasema hata Viongozi wengine ambao aliamini walikengeuka kwa sababu moja au nyingine pasipo hofu kuwa nao wana jamii kubwa na yenye nguvu nyuma yao. Miaka ya nyuma alikuwepo Mchungaji Mtikila. huyu alikuwa na Roho hii pia miaka hiyo. alizungumza alichoamini pasipo kujali jamii kubwa inayomzunguka ina aamini nini.

Kuna haja ya Kujua Mchungaji Gwajima ni nani? ametokea wapi, ameishi katika mazingira gani, anaamini nini, ana elimu gani na kwa nini anajiamini.

tukifaham historia ya gwajima tutajiuliza ni kwa nini alitajwa kwenye uhusika wa kuuza au kujihusisha na madawa ya kulevya? alijiamini nini kusema kuwa akipimwa hata akikutwa ana kemikali za sigara/tumbaku au pombe iitwe ni madawa ya kulevya? wakati wa kupimwa walikuwepo akina nani?

habari zote kuwahusu viongozi mbalimbali au data zao na ujasili alio nao anaupata wapi? watu wa namna hii huongea yale ambayo wengine hawawezi kuongea. huamini kuwa wao ni chachu katika jamii fulani kwa maana ya kuwa wana mchango mkubwa sana. Ukienda kanisani kwa Gwajiama ana waumini wasomi, wasio na elimu dunia kubwa, walio na elimu dunia kubwa,matajiri na maskini. ukiacha waumini wa kanisani kwake. kuna ambao si waumini wa imani yake ila ni watu wanaoamini msimamo wake. na msimamo wa gwajima ni msimamo wa nyundo. hii ni karba au hulka ya watu ambao wao huamini katika kugonga kila amabcho kitakuwa kimewekwa chini yao. gwajima ni nyundo.

Gwajima huwezi ku dela naye kwa vitisho. unahitaji ku deal naye kwa hekima sana na maarifa. unapomtisha yeye huongeza mapambano. huyu ni aina ya watu ambao unaweza ukadhani ni wadogo sana lakini wana ushawishi fulan katika jamii. penda usipende wapo watu wa namna hii.

  1. TUSIMPENDE AU KUMCHUKIA Gwajima kwa sababu Alipishana na Askofu Pengo. Kuna ambao wanaendeleza chuki/unazi kutokana na hili. Askofu Pengo ni binadamu kama mimi na wewe ukiniweka mimi na yeye mbele za Mungu tu binadamu wote sawa. Labda ambacho kitamwongezea Credit ya Kupata Zawadi kubwa au Adhabu kubwa ni Je aliokoa au kupotosha wangapi? ila kama alizini atahukumiwa, kama alisema uongo atahukumiwa, kama alikuwa mnafiki atahukumiwa. hivyo hivyo kwa Gwajima. naye akisimamishwa na mimi ataangaliwa Ameokoa au Kupoteza wangapi..
  2. Tunapomwangalia Gwajima kwa kusema aliwah mtukana Ask Pengo na kuanzia hapo tukamwona hafai kwa sababu "alimtukana" au aliongea alichoamini kuhusiana na Askofu Pengo tunakosea sana. Tuangalie hoja zake peke yake. dini, imani na itikadi zetu zisiathiri jambo hili.
  3. Swali kuu na neno la Imani katika Mfungo huu wa Kwarezima. JE ANACHONGEA GWAJIMA NI UONGO? THIBITISHA UONGO WAKE/ASHTAKIWE HARAKA KWA KUPOTOSHA UMMA WA WATANZANIA.





Duh njaa shida .
 
Gwajima ni mashine...nachojua bashite kwene hii bifu na gwajima atakimbia tu........maan anakwambia mm nikikupiga nakupiga kweliii
 
Askofu na Mchungaji Gwajima amekuwa moja ya watu maarufu na gumzo kubwa sana nchini. aina hii ya watu wapo duniani kote kwa Dini au Imani zote. Mtu wa namna hii unapoanza naye vita unapaswa kwanza kujichunguza. kuchukua muda mrefu kujichunguza wewe kwanza kabla hujaanza kumchunguza yeye na kuangalia udhaifu wake.

Tumemuona mara kadhaa Gwajima akisimama kuzungumza anachoamini pasipo kuuma uma maneno. Tumwona akimsema Laiyekuwa Rais wa Awamu iliyopita, tulimwona akisema Serikali iyopita kwa Ujasiri na kupelekea kupata matatizo kadhaa. Hakuishia hapo tu. aliwasema hata Viongozi wengine ambao aliamini walikengeuka kwa sababu moja au nyingine pasipo hofu kuwa nao wana jamii kubwa na yenye nguvu nyuma yao. Miaka ya nyuma alikuwepo Mchungaji Mtikila. huyu alikuwa na Roho hii pia miaka hiyo. alizungumza alichoamini pasipo kujali jamii kubwa inayomzunguka ina aamini nini.

Kuna haja ya Kujua Mchungaji Gwajima ni nani? ametokea wapi, ameishi katika mazingira gani, anaamini nini, ana elimu gani na kwa nini anajiamini.

tukifaham historia ya gwajima tutajiuliza ni kwa nini alitajwa kwenye uhusika wa kuuza au kujihusisha na madawa ya kulevya? alijiamini nini kusema kuwa akipimwa hata akikutwa ana kemikali za sigara/tumbaku au pombe iitwe ni madawa ya kulevya? wakati wa kupimwa walikuwepo akina nani?

habari zote kuwahusu viongozi mbalimbali au data zao na ujasili alio nao anaupata wapi? watu wa namna hii huongea yale ambayo wengine hawawezi kuongea. huamini kuwa wao ni chachu katika jamii fulani kwa maana ya kuwa wana mchango mkubwa sana. Ukienda kanisani kwa Gwajiama ana waumini wasomi, wasio na elimu dunia kubwa, walio na elimu dunia kubwa,matajiri na maskini. ukiacha waumini wa kanisani kwake. kuna ambao si waumini wa imani yake ila ni watu wanaoamini msimamo wake. na msimamo wa gwajima ni msimamo wa nyundo. hii ni karba au hulka ya watu ambao wao huamini katika kugonga kila amabcho kitakuwa kimewekwa chini yao. gwajima ni nyundo.

Gwajima huwezi ku dela naye kwa vitisho. unahitaji ku deal naye kwa hekima sana na maarifa. unapomtisha yeye huongeza mapambano. huyu ni aina ya watu ambao unaweza ukadhani ni wadogo sana lakini wana ushawishi fulan katika jamii. penda usipende wapo watu wa namna hii.

  1. TUSIMPENDE AU KUMCHUKIA Gwajima kwa sababu Alipishana na Askofu Pengo. Kuna ambao wanaendeleza chuki/unazi kutokana na hili. Askofu Pengo ni binadamu kama mimi na wewe ukiniweka mimi na yeye mbele za Mungu tu binadamu wote sawa. Labda ambacho kitamwongezea Credit ya Kupata Zawadi kubwa au Adhabu kubwa ni Je aliokoa au kupotosha wangapi? ila kama alizini atahukumiwa, kama alisema uongo atahukumiwa, kama alikuwa mnafiki atahukumiwa. hivyo hivyo kwa Gwajima. naye akisimamishwa na mimi ataangaliwa Ameokoa au Kupoteza wangapi..
  2. Tunapomwangalia Gwajima kwa kusema aliwah mtukana Ask Pengo na kuanzia hapo tukamwona hafai kwa sababu "alimtukana" au aliongea alichoamini kuhusiana na Askofu Pengo tunakosea sana. Tuangalie hoja zake peke yake. dini, imani na itikadi zetu zisiathiri jambo hili.
  3. Swali kuu na neno la Imani katika Mfungo huu wa Kwarezima. JE ANACHONGEA GWAJIMA NI UONGO? THIBITISHA UONGO WAKE/ASHTAKIWE HARAKA KWA KUPOTOSHA UMMA WA WATANZANIA.
Pengo alichemsha akalipwa cash,wala hakukopeshwa.
 
Aisee nimesoma nikitegemea kuwa kuna point kumbe ni chai ya rangi bila sukari
 
Back
Top Bottom