LGE2024 Mchungaji Israel Ernest Ngatunga aelezea sababu ya kupigwa tofali, asema CCM walikuwa wanawalaghai watu kuwaandikisha kwenye daftari lisilo rasmi

LGE2024 Mchungaji Israel Ernest Ngatunga aelezea sababu ya kupigwa tofali, asema CCM walikuwa wanawalaghai watu kuwaandikisha kwenye daftari lisilo rasmi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
sasa huoni kwamba mchungaji mwenyewe ndio hasa mwenye tatizo?

kabisaa umeona na kukiri daftari sio rasmi na bado unang"ang"ana nalo mpaka ukapigwa.

Je kama walikua wanakusanya rambirambi kwa ajili ya kufanikisha safari ya mwisho ya mwenzao, wewe ilikua inakuhusu nini na hawakuhitaji msaada wako?

Na je,
ikiwa walikua ni timu ya mpira wa miguu, walikua wanakusanya chochote kitu kutoka kwa wadau kisha wanaorodhesha kwenye daftari lao ili hatimae waende kwenye mechi, wewe ilikua inakuhusu nini?

haya sasa upepigwa upper cut chembe la kidevu, umsaidia nini au umefaidika na nini eti baba mchungaji?🐒
Maccm ni Hamas!
 
Kama ni kweli anachosema mchungaji, basi hali ni tete. Serikali inabidi Ichukue hatua za kisheria.
Wote wahusika wametenda kosa la jinai kwa kuingia utarstibu wa uhandikishaji wa wapiga kura
Kabla hujacomment tafakari unaongelea serikali gani? Hii ya ccm? Unakumbuka mh mchengerwa aliahidi mbele ya mwenyekiti kwamba hakuna mtaa utaenda upinzani
 
Kwa kipimo chochote kile, CCM kwa sasa ni chama cha mashetani. Hakuna jema, chama hiki kinawaza wala kulipanga kwaajili ya watanzania. Chama kimejaa uovu mtupu!!
 
Back
Top Bottom