Mchungaji Katekela: Ningekuwa Lissu ningeokoka na kuwa Mchungaji, Mungu anakusudi naye

Mchungaji Katekela: Ningekuwa Lissu ningeokoka na kuwa Mchungaji, Mungu anakusudi naye

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Mchungaji Mmoja ambaye ni maarufu sana huko Mkoa wa Geita amesikika akihubiria Mamia ya umati wa watu akisema Mungu ana kusudi na Tundu Lissu.

Amesema yeye angekuwa Lissu angeokoka na kuacha siasa na kugeukia uchungaji.

Mchungaji huyo ambaye awali aliokoka baada ya kutumikia Shirika la Siri la Freemason kwa miaka mingi amefunua mambo mazito.

Aliwahi kudai kuwa yeye na kundi la freemason walihusika kumchukua Msanii mmoja wa Bongo Movie kwa njia ya mazingara pale njia panda ya Mwenge kuelekea kiwanda cha Cocacola. Hadi leo anashuhudia watu akisema yule msanij hakufa na hadi leo yuko hai huko kwa Shirika.

Nimeshtushwa na ujumbe huu mzito kutoka kwa Mtumishi wa Mungu.
 
Mchungaji Mmoja ambaye ni maarufu sana huko Mkoa wa Geita amesikika akihubiria Mamia ya umati wa watu akisema Mungu ana kusudi na Tundu Lissu.

Amesema yeye angekuwa Lissu angeokoka na kuacha siasa na kugeukia uchungaji.

Mchungaji huyo ambaye awali aliokoka baada ya kutumikia Shirika la Siri la Freemason kwa miaka mingi amefunua mambo mazito.

Aliwahi kudai kuwa yeye na kundi la freemason walihusika kumchukua Msanii mmoja wa Bongo Movie kwa njia ya mazingara pale njia panda ya Mwenge kuelekea kiwanda cha Cocacola. Hadi leo anashuhudia watu akisema yule msanij hakufa na hadi leo yuko hai huko kwa Shirika.

Nimeshtushwa na ujumbe huu mzito kutoka kwa Mtumishi wa Mungu.
Ana uchungaji tayari bado anataka u Lissu, huyo Mchg ana shida
 
Mbona huyu jamaa Mimi na mashaka nae
Mchungaji Mmoja ambaye ni maarufu sana huko Mkoa wa Geita amesikika akihubiria Mamia ya umati wa watu akisema Mungu ana kusudi na Tundu Lissu.

Amesema yeye angekuwa Lissu angeokoka na kuacha siasa na kugeukia uchungaji.

Mchungaji huyo ambaye awali aliokoka baada ya kutumikia Shirika la Siri la Freemason kwa miaka mingi amefunua mambo mazito.

Aliwahi kudai kuwa yeye na kundi la freemason walihusika kumchukua Msanii mmoja wa Bongo Movie kwa njia ya mazingara pale njia panda ya Mwenge kuelekea kiwanda cha Cocacola. Hadi leo anashuhudia watu akisema yule msanij hakufa na hadi leo yuko hai huko kwa Shirika.

Nimeshtushwa na ujumbe huu mzito kutoka kwa Mtumishi wa Mungu.
 
Mchungaji alitakiwa kuelewa Mungu amegawa karama tofauti tofauti kwa watu tofauti tofauti.Na kumtumikia Mungu si lazima usimame madhabahuni/kuhubiri au uwe kiongozi wa kiroho mchungaji.Roho ni yule yule wa Mungu aliye ndani ya kila mtu wake anatenda kazi ndani yetu Hata katika SIASA Roho wa Mungu anaweza kumtumia mtu kufanya kazi ya Mungu kwa haki na ujasiri akiongozwa na kusaidiwa na Roho wa Mungu vile vile.

1.KIFUPI MUNGU HUINUA WATU WAKE nje ya madhabahu za kanisa na ndani ya kanisa sio lazima wote wawe wachungaji au wawe wanasiasa,

2.KUMTUMIKIA MUNGU AU MUNGU ANAWEZA KUMTUMIA MTU kufanya kazi yake akiwa nje au ndani ya kanisa.akawa mchungaji au akiwa mwanasisa au katika angle yoyote mtu aliyopo anaweza akatumiwa kimtumikia Mungu na wote wakatenda kazi ya Mungu ,karama mbalimbali tofauti tofauti kwa watu tofauti tofauti,ila ROHO na nguvu ya Mungu ni ileile.
3.HATA KWENYE SIASA na sekta nyingine zote pia kunahitajika watu wenye Roho ya Mungu wa HAKI kama kwenye sekta ya uchungaji.(uongozi wa kiroho).
 
Mchungaji alitakiwa kuelewa Mungu amegawa karama tofauti tofauti kwa watu tofauti tofauti.Na kumtumikia Mungu si lazima usimame madhabahuni/kuhubiri au uwe kiongozi wa kiroho mchungaji.Roho ni yule yule wa Mungu aliye ndani ya kila mtu wake anatenda kazi ndani yetu Hata katika SIASA Roho wa Mungu anaweza kumtumia mtu kufanya kazi ya Mungu kwa haki na ujasiri akiongozwa na kusaidiwa na Roho wa Mungu vile vile.

1.KIFUPI MUNGU HUINUA WATU WAKE nje ya madhabahu za kanisa na ndani ya kanisa sio lazima wote wawe wachungaji au wawe wanasiasa,

2.KUMTUMIKIA MUNGU AU MUNGU ANAWEZA KUMTUMIA MTU kufanya kazi yake akiwa nje au ndani ya kanisa.akawa mchungaji au akiwa mwanasisa au katika angle yoyote mtu aliyopo anaweza akatumiwa kimtumikia Mungu na wote wakatenda kazi ya Mungu ,karama mbalimbali tofauti tofauti kwa watu tofauti tofauti,ila ROHO na nguvu ya Mungu ni ileile.
Mungu anasema amejisazia watu wake kwa kila kundi makumi, mamia na makumi elfu
 
Mchungaji Mmoja ambaye ni maarufu sana huko Mkoa wa Geita amesikika akihubiria Mamia ya umati wa watu akisema Mungu ana kusudi na Tundu Lissu.

Amesema yeye angekuwa Lissu angeokoka na kuacha siasa na kugeukia uchungaji.

Mchungaji huyo ambaye awali aliokoka baada ya kutumikia Shirika la Siri la Freemason kwa miaka mingi amefunua mambo mazito.

Aliwahi kudai kuwa yeye na kundi la freemason walihusika kumchukua Msanii mmoja wa Bongo Movie kwa njia ya mazingara pale njia panda ya Mwenge kuelekea kiwanda cha Cocacola. Hadi leo anashuhudia watu akisema yule msanij hakufa na hadi leo yuko hai huko kwa Shirika.

Nimeshtushwa na ujumbe huu mzito kutoka kwa Mtumishi wa Mungu.
Haijui biblia.
Yesu alisema haji kwangu ila ameitwa na baba (Mungu)

Pili uchungaji ni wito maalum toka kwa Mungu, huwezi kujiita mwenyewe.
 
Mungu anasema amejisazia watu wake kwa kila kundi makumi, mamia na makumi elfu
KAMA SI YEYE MUNGU(Kama asingelikuwa Bwana )ISRAEL na aseme sasa.

Kama asingelikuwa Mungu kuwa upande wake asingelitoboa.

Kama isingekuwa kwa msaada wa Mungu hata sisi tusingekuwa hapa leo.

Hata sasa BWANA (MUNGU) ametusaidia./anatusaidia.

Ufalme wa MUNGU upo ndani yetu..haupo sehemu fulani tu.(kanisani tu au kwa wachungaji tu Roho wa Mungu anakaa ndani yetu sote sio mahala fulani au kwa kufanya aina moja ya kazi tu kama uchungaji tu.Kuna watu ni low keys waumini wa kawaida tu common ila wana NGUVU KUBWA NA wamevuviwa Roho mtakatifu kuliko hata wachungaji wenyewe).
 
KAMA SI YEYE MUNGU(Kama asingelikuwa Bwana )ISRAEL na aseme sasa.

Kama asingelikuwa Mungu kuwa upande wake asingelitoboa.

Kama isingekuwa kwa msaada wa Mungu hata sisi tusingekuwa hapa leo.

Hata sasa BWANA (MUNGU) ametusaidia./anatusaidia.

Ufalme wa MUNGU upo ndani yetu..haupo sehemu fulani tu.(kanisani tu au kwa wachungaji tu Roho wa Mungu anakaa ndani yetu sote sio mahala fulani au kwa kufanya aina moja ya kazi tu kama uchungaji tu.Kuna watu ni low keys waumini wa kawaida tu common ila wana NGUVU KUBWA NA wamevuviwa Roho mtakatifu kuliko hata wachungaji wenyewe).
True
 
Mchungaji alitakiwa kuelewa Mungu amegawa karama tofauti tofauti kwa watu tofauti tofauti.Na kumtumikia Mungu si lazima usimame madhabahuni/kuhubiri au uwe kiongozi wa kiroho mchungaji.Roho ni yule yule wa Mungu aliye ndani ya kila mtu wake anatenda kazi ndani yetu Hata katika SIASA Roho wa Mungu anaweza kumtumia mtu kufanya kazi ya Mungu kwa haki na ujasiri akiongozwa na kusaidiwa na Roho wa Mungu vile vile.

1.KIFUPI MUNGU HUINUA WATU WAKE nje ya madhabahu za kanisa na ndani ya kanisa sio lazima wote wawe wachungaji au wawe wanasiasa,

2.KUMTUMIKIA MUNGU AU MUNGU ANAWEZA KUMTUMIA MTU kufanya kazi yake akiwa nje au ndani ya kanisa.akawa mchungaji au akiwa mwanasisa au katika angle yoyote mtu aliyopo anaweza akatumiwa kimtumikia Mungu na wote wakatenda kazi ya Mungu ,karama mbalimbali tofauti tofauti kwa watu tofauti tofauti,ila ROHO na nguvu ya Mungu ni ileile.
3.HATA KWENYE SIASA na sekta nyingine zote pia kunahitajika watu wenye Roho ya Mungu wa HAKI kama kwenye sekta ya uchungaji.(uongozi wa kiroho).
Utumishi sio lazima uwe mchungaji, as long as huvunji kanuni na sheria za Mungu.
 
Back
Top Bottom