Mchungaji Katekela: Ningekuwa Lissu ningeokoka na kuwa Mchungaji, Mungu anakusudi naye

Full stop.
 
tatizo ana mdomo na tamaa sana isingewezekana πŸ’
 
Hawa watu wana upeo mdogo, mbona Lissu yupo akiendelea kufanya kazi sahihi kuliko za hao wachungaji?
 

Kwani yeye kaokoka ?? atoe ushahidi kuwa yeye kaokoka
 
Ψ§Ω„Ψ­Ω…Ψ―Ω„Ω„Ω‡ ΨΉΩ„Ω‰ Ω†ΨΉΩ…Ψ© Ψ§Ω„Ψ₯سلام”
ΩΩƒΩŠΩ Ω†Ψ­Ω† Ψ§Ω„Ω…Ψ³ΩŠΨ­ΩŠΩŠΩ† Ω„Ψ§ Ω†Ω…Ω„Ωƒ Ω‡Ψ°Ω‡ Ψ§Ω„Ψ¨Ψ±ΩƒΨ©ΨŸ
 
Ushauri wangu ni kuwa ungefanikiwa kuwabadikisha waenguaji wasimamizi wasaidizi wala usingeomba kumbadilisha Lisu angekuja kukuomba abadilike.
 
Ni kweli Mungu analo kusudi na Mh. TAL...
Hakika hapo alipo TAL alikwishakuokoka! Kusudi la Mungu ni kuiponya nchi kupitia huyu nguli..!
 
Ushauri wangu ni kuwa ungefanikiwa kuwabadikisha waenguaji wasimamizi wasaidizi wala usingeomba kumbadilisha Lisu angekuja kukuomba abadilike.
Ajikite maombi ya kuzuia wasiojulikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…