Wewe unajua Adam aliishi wapi?
Anyway mchungaji amesema " hata" sayansi inaamini binadamu wa kwanza aliishi Tanzania!
Yule muuza chips kaishia wapi?
Sayansi imekazia maandiko ya Biblia!
Kwa sababu,Mchungaji wa KKKT Kijitonyama Dr Kimaro amesema kwa mujibu wa maandiko ya Biblia Mungu alishaitangazia uponyaji wa kwanza Afrika yanapotokea maradhi ya kiulimwengu kama Corona.
Hivyo kwa mujibu wa Biblia Afrika itapona ya kwanza, itafuatiwa na Asia na mwisho watakuwa Israel kwa maana ya wazungu wa Ulaya na Marekani amesema mchungaji.
Mchungaji Kimaro amefanya maombi maalumu ya kuliepusha taifa kutoka janga la Corona na ameahidi Tanzania itakuwa kimbilio la dunia nzima kwani hata sayansi inaitambua Tanzania kama ni nchi na ardhi aliyoishi binadamu wa kwanza katika uso wa dunia.
Source: Upendo TV
Nawatakia Dominica yenye baraka!
WEKA HIZO SCIENTIFIC HAPA TUKUAMINIKutokana na recent scientific findings binadamu wa kwanza Ni kweli aliishi Tanzania.
Siyo kweli. Adam na Eva walikaa Eden kitambo kidogo sana. Baadae walifukuzwa Eden baada ya kutenda dhambi. Walipofukuzwa Eden walienda kuishi wapi?eden
Na alitokea Chatto kwenye ukoo wa JiweKutokana na recent scientific findings binadamu wa kwanza Ni kweli aliishi Tanzania.
ilipo iraq ya sasa. na sio olduvaiSiyo kweli. Adam na Eva walikaa Eden kitambo kidogo sana. Baadae walifukuzwa Eden baada ya kutenda dhambi. Walipofukuzwa Eden walienda kuishi wapi?
Eden ndo ilikuwa Iraq au Adam ndo aliishi Iraq baada ya kufukuzwa Eden?ilipo iraq ya sasa. na sio olduvai
Achana na kufikirika. Adam ni hadidhi tu angalia uvumbuzi wa kisayansi wa huko Oldivai. Kimaro Mchungaji anakwenda kisayansi zaidi na si vingenevyo.Wewe unajua Adam aliishi wapi?
Anyway mchungaji amesema " hata" sayansi inaamini binadamu wa kwanza aliishi Tanzania!