johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
Mchungaji Dr Kimarondio yule mchungaji aliyepewa likizo ya kujitafakari?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchungaji Dr Kimarondio yule mchungaji aliyepewa likizo ya kujitafakari?
Huyu mchungaji anahitaji kuelimishwa kuwa kila mtu ni tajiri na ni maskini piaMchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama amesema Tajiri Yusuf wa Almathaya ndio aliyemzika Yesu katika kaburi lake la kifahari
Kimaro amesema Kanisa linawahitaji Matajiri kwa sababu ndio wanaoliondolea Kanisa aibu Wakati wa uhitaji
Hivyo tusiwape majina mabaya Matajiri kwa kuwaita Mafisadi, Wahujumu Uchumi au Freemason Kwani utajiri ni baraka hata katika level ya familia Kwani ndio wanaofuta aibu za familia, amesisitiza mchungaji Kimaro
Kimaro amesema Watu wengi ni walinzi tu wa makaburi kama wale Walinzi wa Pilato waliotumwa kulinda kaburi la Yesu, hivyo wewe kama mkristo usikubali kuwa Mlinda makaburi
Nawatakia Pasaka Njema!
Ameanza tena..Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama amesema Tajiri Yusuf wa Almathaya ndio aliyemzika Yesu katika kaburi lake la kifahari
Kimaro amesema Kanisa linawahitaji Matajiri kwa sababu ndio wanaoliondolea Kanisa aibu Wakati wa uhitaji
Hivyo tusiwape majina mabaya Matajiri kwa kuwaita Mafisadi, Wahujumu Uchumi au Freemason Kwani utajiri ni baraka hata katika level ya familia Kwani ndio wanaofuta aibu za familia, amesisitiza mchungaji Kimaro
Kimaro amesema Watu wengi ni walinzi tu wa makaburi kama wale Walinzi wa Pilato waliotumwa kulinda kaburi la Yesu, hivyo wewe kama mkristo usikubali kuwa Mlinda makaburi
Nawatakia Pasaka Njema!
Nini?Ameanza tena..
😔
Kama kweli kasema ,,,amekoseaMchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama amesema Tajiri Yusuf wa Almathaya ndio aliyemzika Yesu katika kaburi lake la kifahari
Kimaro amesema Kanisa linawahitaji Matajiri kwa sababu ndio wanaoliondolea Kanisa aibu Wakati wa uhitaji
Hivyo tusiwape majina mabaya Matajiri kwa kuwaita Mafisadi, Wahujumu Uchumi au Freemason Kwani utajiri ni baraka hata katika level ya familia Kwani ndio wanaofuta aibu za familia, amesisitiza mchungaji Kimaro
Kimaro amesema Watu wengi ni walinzi tu wa makaburi kama wale Walinzi wa Pilato waliotumwa kulinda kaburi la Yesu, hivyo wewe kama mkristo usikubali kuwa Mlinda makaburi
Nawatakia Pasaka Njema!
Hivyo tusiwape majina mabaya Matajiri kwa kuwaita Mafisadi, Wahujumu Uchumi au Freemason
DuhKimaro pamoja na kusoma kote Biblia ameshindwa kuelewa kuwa mara tu baada ya Kristo kutiwa nguvuni na wenye mamlaka wakati huo, wafuasi wake wakiwemo wanafunzi walikuwa wakiwindwa na wengi walitawanyika kukimbia mkono wa chuma wa Herode...
Huyu mchungaji amelewa sifa mpk ameanza kukufuru. Yaani anawadharau maskini??? Looh!Amekosea... kila mtu ana umuhimu wake.
Hao anaosema ni maskini ndo huwa wanatenga mda wa kuja kudeki kanisani na kufanya usafi wa mazingira.
Anakuwaga na mahubiri ya kipuuzi! Waliomsindikiza Yesu wakati anapelekwa Golgotha walikuwa matajiri? Aliyemsaidia kubeba msalaba njiani alikuwa tajiri? Aache ujinga kila muumini ana nafasi yake Kanisani!Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama amesema Tajiri Yusuf wa Almathaya ndio aliyemzika Yesu katika kaburi lake la kifahari
Kimaro amesema Kanisa linawahitaji Matajiri kwa sababu ndio wanaoliondolea Kanisa aibu Wakati wa uhitaji
Hivyo tusiwape majina mabaya Matajiri kwa kuwaita Mafisadi, Wahujumu Uchumi au Freemason Kwani utajiri ni baraka hata katika level ya familia Kwani ndio wanaofuta aibu za familia, amesisitiza mchungaji Kimaro
Kimaro amesema Watu wengi ni walinzi tu wa makaburi kama wale Walinzi wa Pilato waliotumwa kulinda kaburi la Yesu, hivyo wewe kama mkristo usikubali kuwa Mlinda makaburi
Nawatakia Pasaka Njema!
Walipotaka kuandamana baada ya rungu la Malasusa leo hii wanaitwa walinzi wa makaburiNdio hao walimtetea Kimaro baada ya uonevu wa Malasusa, wakaweka mabango mitaani. Ana Kila sababu ya kusema hivyo
Wewe ndio umepinga kuwa haupo bali wa kufikirika tu. Sasa m8mi jiliyedanganywa nataka nipate maelezo mazuri ili nami niijue kweli. Haya dadavuaThibitishie na wewe huo ufalme wa mbingu???
Alikuwa analia ili abakie karibu na matajiri. Maana angehamishiwa Namjilinji ambako sadaka kwa mwezi ni elfu 50 mtoto wa kichaga huyu asingeweza kuendesha familiaKavimbiwa🤣yeye anawaza hela tu,huyu kimaro hajabadilika tu,kumbe kule kujiliza kwa malasusa akiomba msamaha ilikuwa zuga tu
Nakuunga mkono hojaMchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama amesema Tajiri Yusuf wa Almathaya ndio aliyemzika Yesu katika kaburi lake la kifahari
Kimaro amesema Kanisa linawahitaji Matajiri kwa sababu ndio wanaoliondolea Kanisa aibu Wakati wa uhitaji
Hivyo tusiwape majina mabaya Matajiri kwa kuwaita Mafisadi, Wahujumu Uchumi au Freemason Kwani utajiri ni baraka hata katika level ya familia Kwani ndio wanaofuta aibu za familia, amesisitiza mchungaji Kimaro
Kimaro amesema Watu wengi ni walinzi tu wa makaburi kama wale Walinzi wa Pilato waliotumwa kulinda kaburi la Yesu, hivyo wewe kama mkristo usikubali kuwa Mlinda makaburi
Nawatakia Pasaka Njema!
Na amefanya jambo zuriAlikuwa analia ili abakie karibu na matajiri. Maana angehamishiwa Namjilinji ambako sadaka kwa mwezi ni elfu 50 mtoto wa kichaga huyu asingeweza kuendesha familia
AahhaaahaKimaro kapanua tundu la sindano!
AahaahaaWalipotaka kuandamana baada ya rungu la Malasusa leo hii wanaitwa walinzi wa makaburi
😄😄😄Aahaahaa
Naona kawageuka