Mchungaji Kimaro: Matajiri ndio Walimzika Yesu, akina Petro na wenzake waliokula bure miaka 3 walimkimbia!

Mchungaji Kimaro: Matajiri ndio Walimzika Yesu, akina Petro na wenzake waliokula bure miaka 3 walimkimbia!

Kifupi Kimaro akae mbali na mtume Petro kumdhalilisha

Mtume Petro sio saizi yake kuhuduma

Mtume Petro siku ya Pentecoste alihubiri wakaokoka watu elfu tatu kwa mpigo na kuingia Ukristo
Petri kitembea hadi kivuli chake kiliponya wagonjwa

Hawezi jilinganisha naye.Yeye Kimaro ambaye ni motivational speaker tu kama wengine tofauti yake na motivational speakers wengine yeye ana quote vifungu tu vya Biblia hapa na pale kuunga mkono hoja zake

Akae Mbali na Mtume Petro sio viwango vyake he is not his equal
Nyie ndugu za marehemu mna chuki sana na wachaga sijui waliwafanyaga nini?
 
Unamaanisha kwakuwa tajiri alijitolea kumzika Yesu basi hakuna sababu yakujulia pengine utajari wake aliua watu au alipokea Rushwa..! ilimradi ni tajiri basi....unachosema ndio maana zamani Viongozi wa Nchi walikuwa wanakwenda kwa Makuhani kuambiwa habari ya tawala zao but nowadays... Viongozi wa dini wanapiga magoti kwa watawala nakuwaabudu hata kama watawala hao ni wanadhulumu watu wao wanaiba rasilimali za Nchi...wabambakia kesi .....
nihivi Mchungaji anaweza kuwa na Hoja nzuri tu kwenye hubiri lake Ila anatakiwa afafanue zaidi ili aeleweke
Kwa nini usihangaike juu ya kwa nini watu ni maskini na unahangaika na kwa nini watu ni matajiri?
Umejaa na roho ya kichawi tu okoka upone hiyo roho
 
Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama amesema Tajiri Yusuf wa Almathaya ndio aliyemzika Yesu katika kaburi lake la kifahari

Kimaro amesema Kanisa linawahitaji Matajiri kwa sababu ndio wanaoliondolea Kanisa aibu Wakati wa uhitaji

Hivyo tusiwape majina mabaya Matajiri kwa kuwaita Mafisadi, Wahujumu Uchumi au Freemason Kwani utajiri ni baraka hata katika level ya familia Kwani ndio wanaofuta aibu za familia, amesisitiza mchungaji Kimaro

Kimaro amesema Watu wengi ni walinzi tu wa makaburi kama wale Walinzi wa Pilato waliotumwa kulinda kaburi la Yesu, hivyo wewe kama mkristo usikubali kuwa Mlinda makaburi

Nawatakia Pasaka Njema!
kuna jamaa anaitwa John Baptist Ngatunga,kaandika kuhusu kuzikwa kwa Yesu,nahisi kuna mmoja wao kachungulia andiko kwa mwenzie,nikifanikiwa kupata ile post nitaicopy
FAHAMU KIDOGO KUHUSU "MSIBA WA YESU"
Na. John-Baptist Ngatunga
__________________________
Jana ilikuwa SIKU YA IJUMAA KUU ambapo Wakristo tulikuwa tunaadhimisha: Mateso, Kifo na Mazishi ya Bwana wetu Yesu Kristo. Kutokana na hayo, hatukutakiwa kula nyama. Leo naomba nikuoneshe jinsi Msiba wa Yesu Kristo ulivyoendeshwa Kitajiri (Yohane 19:38-42)
Watu wawili waliokuwa Matajiri sana ndio waliogharimia Mazishi ya Yesu Kristo. Wa kwanza ni YUSUFU WA ARMATAYA ambaye aligharimia KABURI na wa pili ni NIKODEMO ambae aligharimia MARASHI (Myrrh).
YUSUFU WA ARMATAYA anatajwa kwamba alikuwa mtu Msomi wa kiwango cha juu, aliyekuwa mashuhuri, mwenye kuheshimika sana na mjumbe wa ngazi ya juu katika Baraza la Utawala la Mji (Noble and honourable).
Kwa mujibu wa historia ya Wayahudi ni kwamba Wajumbe wa Mji walikuwa wanapatikana kwa vigezo takribani sita, kigezo kilichotumika kwa Yusufu wa Armataya ni kwa kuwa alitokea katika familia ya kitajiri (Noble Family).
NIKODEMO, ndiye yule aliemwendea Yesu usiku kuulizia namna ya kuurithi ufalme wa Mbinguni (Yohane 3:1-21) kisha Yesu akamwambia auze kila kitu. Japokuwa Nikodemo alikatishwa tamaa lakini kumbe aliendelea kuwa Mwanafunzi wa Yesu kwa siri kwaajili ya kuwaogopa Wayahudi.
Ndiye yule ambaye waliongea na Yesu kuhusu Kuzaliwa mara ya pili yaani kwa Maji na Roho Mtakatifu ili kuingia katika Ufalme wa Mungu (Yohane 3:3). Naye alikuwa Mjumbe wa Baraza la mji, ingawa cheo chake kilikuwa cha chini ukilinganisha na kile cha Yusufu wa Armataya.
Nikodemo alikua mfanyabiashara mkubwa, tajiri na mashuhuri katika mji ule. Kwa kimombo inaweka vizuri ya kwamba alikuwa, "Young Rich Ruler".
Nikikwambia Nikodemo alikuwa tajiri pengine unaweza usinielewe mpaka nikuoneshe thamani ya Marashi aliyogharimia kumzikia Yesu Kristo. Tunaambiwa kuwa Nikodemo alitumia Marashi (Manemane na Udi) yenye uzito wa ratli mia moja (100 pounds).
Kitu unachotakiwa kufahamu ni kuwa enzi zile, watu Mashuhuri na Matajiri wakiwemo Wafalme; walikuwa wanazikwa kwa wastani wa juu wa Marashi ya ratli 40 pekee. Kwa hiyo, utaona kwamba Marashi ya Yesu yaligharimu karibu mara mbili na nusu ya ilivyozoeleka kwa watu maarufu.
Twende kwenye hesabu:
Kwa utafiti uliofanywa katika masoko ya Marashi duniani ni kwamba, mchanganyiko wa marashi ya Manemane na Udi, wa uzito wa ratli 100, kwa bei ya sasa unagharimu takribani dola 140,000 hadi 210,000. Hizi ni sawa na takribani shilingi za Kitanzania (140,000 × 2324.80 = 325,472,000) hadi (210000 × 2324.80 = 488,208,000) yaani ni kati ya Milioni 325,472,000 na Milioni 488,208,000.
Yaani Nikodemo alitoa mchango wa msiba wa Milioni 500 kasoro za wakati ule! Usisahau kwamba msiba wenyewe ulikuwa wa ghafla maana hawakutegemea wala kuamini kama Yesu angeuawa, "kiukweli-kwelii".
Hebu fikiria vizuri, msiba wa ghafla Nikodemo akamwaga karibu milioni mia tano za wakati ule. Je, kungekuwa na kujiandaa!!!!!?
Shikamoo, Nikodemo............!!!
😂
🤣
😅

Sijajua kama inakuingia akilini kama inavyotakiwa unapoambiwa Yusufu wa Armataya alikuwa mtu tajiri, mashuhuri, mwenye cheo na mwenye kuheshimika!!! Labda nikuoneshe thamani ya kaburi alilotoa kuuzikia mwili wa Yesu, huenda ukaelewa.
Kaburi alimozikwa Yesu tunaambiwa lilikuwa na sifa kubwa tatu: Lilikuwa Bustanini, Lilikuwa Jipya (yaani hajazikwa Mtu ndani) na Lilikuwa Limechongwa mwenye Mwamba (Yoh. 19:41).
Makaburi ya hivi walikuwa wanazikiwa Wafalme, Viongozi wakubwa wa Serikali na Matajiri wachache. Rekodi zinathibitisha kwamba makaburi ya aina na mtindo hii yalikuwa yana gharama kushinda bei ya nyumba na viwanja pale Yerusalem enzi zile.
Ukitaka kupata picha halisi angalia bei ya viwanja na nyumba pale Yerusalem hata sasa. Na hata tangu enzi za Abrahim viwanja vilikuwa ni ghali sana pale Yerusalem.
Bei ya kiwanja cha kawaida cha ukubwa wa mita square (msq) 3,000 pale Jijini Yerusalem, kwa leo, sio chini ya shilingi za Kitanzania Bilioni moja (1,000,000,000). Hivyo, utaona kwamba eneo alilolitoa Yusufu wa Armataya kumzikia Yesu lilikuwa na thamani ya mamilioni ya shilingi kwa wakati ule.
Anyway; kwa leo sitaki kukupigia hesabu za marashi waliyobeba wale wanawake walioamka asubuhi kwenda kumpaka Yesu kutokana na kuchelewa jana yake wakati kina Nikodemo wakizika.
Kumbuka kwamba katika wale wanawake walikuwemo wale ambao ndio walikua wadhamini wakubwa wa huduma ya Yesu (kwa mali zao). Kwa hiyo uwe na uhakika kwamba thamani ya marashi waliyoyabeba nikikupigia hesabu yake utashangaa mwenyewe!
Nataka kusema nini?
Suala la kumtumikia Mungu na kujitoa kwa huduma za Kiimani na Kiroho usilipe sababu za kulikwepa. Hao watu wawili ni watu maarufu, Matajiri, Wasomi, nk. Lakini waliona hayo yote sio kitu mbele ya Suala la kujitoa kwa Mungu.
Wewe na Mimi ambao sio maarufu na hatujulikani hata mtaa wa pili labda tu siku hizi sura zetu walaunzinaonekana Mitandao. Hatuna utajiri ila tumejaa umasikini na ukurutu, shida na maisha yetu ni magumu yanayokandamizwa na 'vifurushi' na 'tozo' za hapa na pale. Tukija kwenye usomi ndio usiseme; Elimu yetu inayumbayumba na kukatikati utadhani 'Umeme wa Mgao'
Lakini tukiambiwa tujitoe kwenye mambo ya Kanisani tumekuwa wabishi, wagumu na wazito utadhani vifurushi vya 2G. Tumekuwa wepesi sana kushabikia mambo ya kipuuzi. Tena tuna Moyo wa haraka kukimbilia mambo ya kidunia utadhani yanavyoisha mabando ya internet.
 
Kina nani walikuwa wanamlisha Yesu na kundi lake? Matajiri au maskini?

Nani aliyeenda kuuzika mwili wa Yesu? Tajiri au maskini?
Kuna Tajiri aliyejitolea kulishwa ule umati wa watu zaidi ya Elfu Tano??. Sio Yesu mwenyewe aliyeamua kufanya muujiza, Tena kwakutumia Samaki na mkate wa mwanamke Masikin??.


Yesu alilishwa na Masikin wa Kipato na Tajiri wa Roho, Kwa ufupi, hata hao matajiri walikua wakipambana na Yesu kutokana na Mafundisho yake yalopinga watu kuiba Pesa ,kujimilikisha Mali Kwa kuwakandamiza Masikin, kuwaonea Wajane ,n.k .


MAKRISTO MAJINGA MAJINGA NYINYI WAPUUZI MNAODANGANYWA NA WACHUNGAJI WAPUMBAJI.



NANI ALIWAAMBIA YUSUFU WA ARIMATHAYA ALIKUA TAJIRI WA MALI???? .

KUMBE WEE NI LIJINGA HIVI NA MCHUNGAJI WAKO ??.


YUSUPUH WA ARIMATHAYA, NAYE ALIKUA NI MWANAFUNZI WA YESU ( wa kisirisiri ) huyu jamaa aliamua kumfuata Yesu kisirisiri kwakua alikua anaogopa wayahudi wasije kumuua, ( kama ambavyo wanafunzi wa Yesu waliamua kukimbia ).

Huyu jamaa alikua ni mwanabaraza , mstahiki , Tena ni mtu aliyemcha Mungu hata akawa anautazamia ufalme wa Mungu , alikua mtu mwema na mwenye haki.


Huyu Yusuph ,alioona jion imefika akaamua kwenda Kuomba mwili wa Yesu ili amzike .

Kwanini alienda yeye ??.

Kwanza ,alitumia nafasi ya Kua mwanabaraza la mashauri .


Je Kaburi la Mwambani nani alilijenga???.

Nyie wakiristo msosoma Maandiko na kubaki kutafuniwa ipo hivi

Wakati wa Rumi Ile, Makaburi Mengi yalichimbwa na kuandaliwa na Warumi wenyewe , na yalikua Makaburi ambayo ni kama zilivyo mochwari, yaan Jengo Moja, linakua na Uwezo wa kuhifadhi maiti Kadhaa Kadhaa


Yusuph wa Arimathaya achofanya alienda kumzika Yesu kwenye Kaburi ambalo lilikua Bado JIPYAAA ambalo Ndani yake, hakuwepo marehem ambaye keshawahi zikiwa humo.


Ndio Sababu, Mafarisayo ,Masudukayo, waliamua kutuma Walinzi waende kulinda lile Kaburi .




Maandiko yanasema Yusuph wa Arimathaya alikua mtu Mwenye UJASIRI Kiasi Cha kwenda Kuomba Mwili wa Yesu, hakua Tajiri wa Mali .

Unamjua Mathayo??? Mwanauchumi Tajiri ??? Msomi wa Hadhi?? Yeye aliamua kuacha hayo yote kusudi amtumikie Yesu .... Uwezo wa Kipato wa Mathayo ulikua Mara dufu ya Uwezo wa Yusuph wa Arimathaya.





LIMCHUNGAJI LENU HILO, NI LIMCHUNGAJI LA MCHOOOOOONGO, KAZI KUTUMIA HATA UONGO ILI APENDWE NA MATAJIRII WAKUBWAAA, WAMPE MAHELAAAAA ,🤣🤣🤣


Kanisan linawahitaji Matajiri na Masikin, Yesu Kristo ni kama Mwili na viungo vyake, Kila kiungo kina kazi yake katika kuujenga mwili.
 
Mimi wewe hunisumbui kwakua nakufahamu vyema tu.

Namna ulivyopata hiyo ajira uliyonayo kwa Sasa hapo ofisi ya mawakili jinsi ulivyoo maskini.

Yaani kama sio yule Rafiki Yako aliyepo serikalini kukutafutia ajira bado ungebakia pale mwenge kwenye ile ofisi walikua wanakulipa laki tatu kwa mwezi wakili mzima.
[emoji23]

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Una chuki zako na matajiri tu. Mchungaji yuko sahihi na hajapotosha popote
You might be right. But Jesus said that the riskiest thing in a man's effort to go to heaven is t be rich. this means that rich guys need to be counselled and cautioned that despite their wealth they need to be careful not to miss out on their main target. But raising them is to mislead them
 
Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama amesema Tajiri Yusuf wa Almathaya ndio aliyemzika Yesu katika kaburi lake la kifahari

Kimaro amesema Kanisa linawahitaji Matajiri kwa sababu ndio wanaoliondolea Kanisa aibu Wakati wa uhitaji

Hivyo tusiwape majina mabaya Matajiri kwa kuwaita Mafisadi, Wahujumu Uchumi au Freemason Kwani utajiri ni baraka hata katika level ya familia Kwani ndio wanaofuta aibu za familia, amesisitiza mchungaji Kimaro

Kimaro amesema Watu wengi ni walinzi tu wa makaburi kama wale Walinzi wa Pilato waliotumwa kulinda kaburi la Yesu, hivyo wewe kama mkristo usikubali kuwa Mlinda makaburi

Nawatakia Pasaka Njema!
Ataendelea kupata likizo za kujitafakari asipokuwa makini na ulimi wake.
 
kuna jamaa anaitwa John Baptist Ngatunga,kaandika kuhusu kuzikwa kwa Yesu,nahisi kuna mmoja wao kachungulia andiko kwa mwenzie,nikifanikiwa kupata ile post nitaicopy
FAHAMU KIDOGO KUHUSU "MSIBA WA YESU"
Na. John-Baptist Ngatunga
__________________________
Jana ilikuwa SIKU YA IJUMAA KUU ambapo Wakristo tulikuwa tunaadhimisha: Mateso, Kifo na Mazishi ya Bwana wetu Yesu Kristo. Kutokana na hayo, hatukutakiwa kula nyama. Leo naomba nikuoneshe jinsi Msiba wa Yesu Kristo ulivyoendeshwa Kitajiri (Yohane 19:38-42)
Watu wawili waliokuwa Matajiri sana ndio waliogharimia Mazishi ya Yesu Kristo. Wa kwanza ni YUSUFU WA ARMATAYA ambaye aligharimia KABURI na wa pili ni NIKODEMO ambae aligharimia MARASHI (Myrrh).
YUSUFU WA ARMATAYA anatajwa kwamba alikuwa mtu Msomi wa kiwango cha juu, aliyekuwa mashuhuri, mwenye kuheshimika sana na mjumbe wa ngazi ya juu katika Baraza la Utawala la Mji (Noble and honourable).
Kwa mujibu wa historia ya Wayahudi ni kwamba Wajumbe wa Mji walikuwa wanapatikana kwa vigezo takribani sita, kigezo kilichotumika kwa Yusufu wa Armataya ni kwa kuwa alitokea katika familia ya kitajiri (Noble Family).
NIKODEMO, ndiye yule aliemwendea Yesu usiku kuulizia namna ya kuurithi ufalme wa Mbinguni (Yohane 3:1-21) kisha Yesu akamwambia auze kila kitu. Japokuwa Nikodemo alikatishwa tamaa lakini kumbe aliendelea kuwa Mwanafunzi wa Yesu kwa siri kwaajili ya kuwaogopa Wayahudi.
Ndiye yule ambaye waliongea na Yesu kuhusu Kuzaliwa mara ya pili yaani kwa Maji na Roho Mtakatifu ili kuingia katika Ufalme wa Mungu (Yohane 3:3). Naye alikuwa Mjumbe wa Baraza la mji, ingawa cheo chake kilikuwa cha chini ukilinganisha na kile cha Yusufu wa Armataya.
Nikodemo alikua mfanyabiashara mkubwa, tajiri na mashuhuri katika mji ule. Kwa kimombo inaweka vizuri ya kwamba alikuwa, "Young Rich Ruler".
Nikikwambia Nikodemo alikuwa tajiri pengine unaweza usinielewe mpaka nikuoneshe thamani ya Marashi aliyogharimia kumzikia Yesu Kristo. Tunaambiwa kuwa Nikodemo alitumia Marashi (Manemane na Udi) yenye uzito wa ratli mia moja (100 pounds).
Kitu unachotakiwa kufahamu ni kuwa enzi zile, watu Mashuhuri na Matajiri wakiwemo Wafalme; walikuwa wanazikwa kwa wastani wa juu wa Marashi ya ratli 40 pekee. Kwa hiyo, utaona kwamba Marashi ya Yesu yaligharimu karibu mara mbili na nusu ya ilivyozoeleka kwa watu maarufu.
Twende kwenye hesabu:
Kwa utafiti uliofanywa katika masoko ya Marashi duniani ni kwamba, mchanganyiko wa marashi ya Manemane na Udi, wa uzito wa ratli 100, kwa bei ya sasa unagharimu takribani dola 140,000 hadi 210,000. Hizi ni sawa na takribani shilingi za Kitanzania (140,000 × 2324.80 = 325,472,000) hadi (210000 × 2324.80 = 488,208,000) yaani ni kati ya Milioni 325,472,000 na Milioni 488,208,000.
Yaani Nikodemo alitoa mchango wa msiba wa Milioni 500 kasoro za wakati ule! Usisahau kwamba msiba wenyewe ulikuwa wa ghafla maana hawakutegemea wala kuamini kama Yesu angeuawa, "kiukweli-kwelii".
Hebu fikiria vizuri, msiba wa ghafla Nikodemo akamwaga karibu milioni mia tano za wakati ule. Je, kungekuwa na kujiandaa!!!!!?
Shikamoo, Nikodemo............!!!
😂
🤣
😅

Sijajua kama inakuingia akilini kama inavyotakiwa unapoambiwa Yusufu wa Armataya alikuwa mtu tajiri, mashuhuri, mwenye cheo na mwenye kuheshimika!!! Labda nikuoneshe thamani ya kaburi alilotoa kuuzikia mwili wa Yesu, huenda ukaelewa.
Kaburi alimozikwa Yesu tunaambiwa lilikuwa na sifa kubwa tatu: Lilikuwa Bustanini, Lilikuwa Jipya (yaani hajazikwa Mtu ndani) na Lilikuwa Limechongwa mwenye Mwamba (Yoh. 19:41).
Makaburi ya hivi walikuwa wanazikiwa Wafalme, Viongozi wakubwa wa Serikali na Matajiri wachache. Rekodi zinathibitisha kwamba makaburi ya aina na mtindo hii yalikuwa yana gharama kushinda bei ya nyumba na viwanja pale Yerusalem enzi zile.
Ukitaka kupata picha halisi angalia bei ya viwanja na nyumba pale Yerusalem hata sasa. Na hata tangu enzi za Abrahim viwanja vilikuwa ni ghali sana pale Yerusalem.
Bei ya kiwanja cha kawaida cha ukubwa wa mita square (msq) 3,000 pale Jijini Yerusalem, kwa leo, sio chini ya shilingi za Kitanzania Bilioni moja (1,000,000,000). Hivyo, utaona kwamba eneo alilolitoa Yusufu wa Armataya kumzikia Yesu lilikuwa na thamani ya mamilioni ya shilingi kwa wakati ule.
Anyway; kwa leo sitaki kukupigia hesabu za marashi waliyobeba wale wanawake walioamka asubuhi kwenda kumpaka Yesu kutokana na kuchelewa jana yake wakati kina Nikodemo wakizika.
Kumbuka kwamba katika wale wanawake walikuwemo wale ambao ndio walikua wadhamini wakubwa wa huduma ya Yesu (kwa mali zao). Kwa hiyo uwe na uhakika kwamba thamani ya marashi waliyoyabeba nikikupigia hesabu yake utashangaa mwenyewe!
Nataka kusema nini?
Suala la kumtumikia Mungu na kujitoa kwa huduma za Kiimani na Kiroho usilipe sababu za kulikwepa. Hao watu wawili ni watu maarufu, Matajiri, Wasomi, nk. Lakini waliona hayo yote sio kitu mbele ya Suala la kujitoa kwa Mungu.
Wewe na Mimi ambao sio maarufu na hatujulikani hata mtaa wa pili labda tu siku hizi sura zetu walaunzinaonekana Mitandao. Hatuna utajiri ila tumejaa umasikini na ukurutu, shida na maisha yetu ni magumu yanayokandamizwa na 'vifurushi' na 'tozo' za hapa na pale. Tukija kwenye usomi ndio usiseme; Elimu yetu inayumbayumba na kukatikati utadhani 'Umeme wa Mgao'
Lakini tukiambiwa tujitoe kwenye mambo ya Kanisani tumekuwa wabishi, wagumu na wazito utadhani vifurushi vya 2G. Tumekuwa wepesi sana kushabikia mambo ya kipuuzi. Tena tuna Moyo wa haraka kukimbilia mambo ya kidunia utadhani yanavyoisha mabando ya internet.
Uneandika kirefu kumsifia mzikazi tajiri Yusuf wa Almathaya

Kitu moja umesahau mtu yeyote akifa lazima atapata wa kumzika

Hata kama hana ndugu atazikwa na serikali au wasamaria wema

Maisha yangu yote sijawahi ona mtu akifa asiyezikwa

Hata Yusuf wa Almathaya adingemzika angezikwa tu

Isiwe kesi as if Yusuf wa Almathaya asingetoa kaburi na kumzika Yesu kuwa yesu angeqchwa ananinginia msalabani hadi leo

Swali dogo kwani wale we've wawili waliokufa pamoja na Yesu msalabani kwani hawakuzikwa? Kwani nao walizikwa na Yusuf wa Almathaya?

Mtu akifa atazikwa tu awe atazikwa na Yusuf Almathaya au mpita njia kuzikwa lazima

Hoja za Kimaro ni as if Tajiri Yusuf wa Almathaya asingetokea Yesu asingezikwa!!

Kwa hiyo mch Kimaro katunga mahubiri yenye pambio ya sifa na utukufu zimwendee Tajiri Yusuf wa Almathaya kwa kumzika Yesu!!! As if asingejitokeza Yesu asingezikwa

Mahubiri ya hovyo kabisa
 
Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama amesema Tajiri Yusuf wa Almathaya ndio aliyemzika Yesu katika kaburi lake la kifahari

Kimaro amesema Kanisa linawahitaji Matajiri kwa sababu ndio wanaoliondolea Kanisa aibu Wakati wa uhitaji

Hivyo tusiwape majina mabaya Matajiri kwa kuwaita Mafisadi, Wahujumu Uchumi au Freemason Kwani utajiri ni baraka hata katika level ya familia Kwani ndio wanaofuta aibu za familia, amesisitiza mchungaji Kimaro

Kimaro amesema Watu wengi ni walinzi tu wa makaburi kama wale Walinzi wa Pilato waliotumwa kulinda kaburi la Yesu, hivyo wewe kama mkristo usikubali kuwa Mlinda makaburi

Nawatakia Pasaka Njema!
Mchaga na uchungaji wapi na wapi. Ameshapata vihela vya waumini sasa ni kudhihaki wasonacho.
 
INJILI YA KIMARO KWA WATU WOTE 😄

Shetani ni mbunifu kinyama na ana mbinu nyingi mno za kueneza propaganda zake. Kimaro katumika tu ila huo ujumbe ni wa shetani ili kuzidi kuharibu kabisa kanisa la Mungu. KKKT wamfungie maisha kutojihusisha na mambo yahusuyo kanisa.
 
Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama amesema Tajiri Yusuf wa Almathaya ndio aliyemzika Yesu katika kaburi lake la kifahari

Kimaro amesema Kanisa linawahitaji Matajiri kwa sababu ndio wanaoliondolea Kanisa aibu Wakati wa uhitaji

Hivyo tusiwape majina mabaya Matajiri kwa kuwaita Mafisadi, Wahujumu Uchumi au Freemason Kwani utajiri ni baraka hata katika level ya familia Kwani ndio wanaofuta aibu za familia, amesisitiza mchungaji Kimaro

Kimaro amesema Watu wengi ni walinzi tu wa makaburi kama wale Walinzi wa Pilato waliotumwa kulinda kaburi la Yesu, hivyo wewe kama mkristo usikubali kuwa Mlinda makaburi

Nawatakia Pasaka Njema!
Wachungaji wa siku hizi bhana,anataka waumini wote wawe matajir,hatuwez kuwa matajir wote,na haohao ndio mawanyonya Kwa kuanzisha sadaka Kila segment.
 
Iñjili ya huyu jamaa aisee...
Halafu eti ni rahisi ngamia 🐫 kupenya katika tundu la sindano, kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa mbingu
Touch and hold a clip to pin it. Unpinned clips will be deleted after 1 hour. Ngamia iliyo maanisha hapa ni ile kamba kubwa ya nyuzi za katani au nailo ni mfano wake Ni zile kamba zinazofungwa kwenye kingo za meli inapokuwa haija ondoka bandarini au imegoa bandarini ndo mfano Yesu Ali maanisha ngamia hyo kupita kwenye tundu ya sindano.
 
INJILI YA KIMARO KWA WATU WOTE 😄

Shetani ni mbunifu kinyama na ana mbinu nyingi mno za kueneza propaganda zake. Kimaro katumika tu ila huo ujumbe ni wa shetani ili kuzidi kuharibu kabisa kanisa la Mungu. KKKT wamfungie maisha kutojihusisha na mambo yahusuyo kanisa.
Mchungaji Kimario aeleze dini ya Kristo ilienezwa na akina nani duniani - masikini au matajiri. Mahubiri ya namna hii yanaweza kupotosha waumini wasiokuwa na uelewa mpana wa dini au wasiokuwa na tabia ya kujisomea. Maandiko ya Kikristo yameandikwa katika lugha nyingi duniani. Hata biblia, tofauti na Quran tukufu, imetafsiriwa katika lugha nyingi.
 
Katika kitu KKKT wamefeli ni hili

Kimaro ni Mkubwa kuliko KKKT

Kimaro na Katibu wa CWT(aliegomea teuzi) hawana tofauti
Ogopa sana Kanisa likianza kujikita katika kutafuta pesa kuliko kusimamia misingi yake. Kupenda fedha kunavuruga misingi ya kila kitu.

Wenyewe wanafahamu walifanya makosa makubwa sana kumrudisha Kijitonyama. Ni udhaifu mkubwa sana.

Catholic Church inaheshimika sana kwasababu haingalii mtu usoni, likisema limesema ni barua moja, unahamia huko Katavi.

Sasa wenzetu hawa, sadaka zimepungua kidogo usharikani, watu wenye pesa usharikani wamepandisha mabango ya mchungaji mjini na waumini wamepungua kanisani eti wanaamua kusema beleshi ni kijiko kikubwa.
 
Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama amesema Tajiri Yusuf wa Almathaya ndio aliyemzika Yesu katika kaburi lake la kifahari

Kimaro amesema Kanisa linawahitaji Matajiri kwa sababu ndio wanaoliondolea Kanisa aibu Wakati wa uhitaji

Hivyo tusiwape majina mabaya Matajiri kwa kuwaita Mafisadi, Wahujumu Uchumi au Freemason Kwani utajiri ni baraka hata katika level ya familia Kwani ndio wanaofuta aibu za familia, amesisitiza mchungaji Kimaro

Kimaro amesema Watu wengi ni walinzi tu wa makaburi kama wale Walinzi wa Pilato waliotumwa kulinda kaburi la Yesu, hivyo wewe kama mkristo usikubali kuwa Mlinda makaburi

Nawatakia Pasaka Njema!
Amejichanganya Tena haujui kuwa matajiri wengi Wana makandokando wengi mafisadi na wengi Wao Ni wachawi wazuri

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom