Mchungaji Kimaro: Matajiri ndio Walimzika Yesu, akina Petro na wenzake waliokula bure miaka 3 walimkimbia!

Mchungaji Kimaro: Matajiri ndio Walimzika Yesu, akina Petro na wenzake waliokula bure miaka 3 walimkimbia!

Kama hujui biblia kaa kimya. Kwenye dhana ya kulinda kaburi inayomaanishwa kwenye kifo cha Yesu. Omba uelimishwe kwanza
Mimi naona wewe ndiye unayepaswa kuelimishwa. Umejaa ushabiki tu na si vinginevyo. Bila shaka wewe ni mmoja wa wale walioandamana baada ya lungu la Malasusa dhidi ya mchungaji wenu mpotoshaji.
 
Mimi naona wewe ndiye unayepaswa kuelimishwa. Umejaa ushabiki tu na si vinginevyo. Bila shaka wewe ni mmoja wa wale walioandamana baada ya lungu la Malasusa dhidi ya mchungaji wenu mpotoshaji.
Malasusa na genge lenu la wahuni hamna nafasi tena ya kuendeleza uhuni wenu. Kaeni mtulie sindano ziwaingie. Mtumishi wa Mungu akishainuliwa na Mungu mwenyewe hakuna wa kumshusha. Acheni wivu wa kike.
 
Malasusa na genge lenu la wahuni hamna nafasi tena ya kuendeleza uhuni wenu. Kaeni mtulie sindano ziwaingie. Mtumishi wa Mungu akishainuliwa na Mungu mwenyewe hakuna wa kumshusha. Acheni wivu wa kike.
Huna utii kwa mkuu wako wa kanisa, na huo ni ukengeufu unapaswa kukemewa.
 
Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama amesema Tajiri Yusuf wa Almathaya ndio aliyemzika Yesu katika kaburi lake la kifahari

Kimaro amesema Kanisa linawahitaji Matajiri kwa sababu ndio wanaoliondolea Kanisa aibu Wakati wa uhitaji

Hivyo tusiwape majina mabaya Matajiri kwa kuwaita Mafisadi, Wahujumu Uchumi au Freemason Kwani utajiri ni baraka hata katika level ya familia Kwani ndio wanaofuta aibu za familia, amesisitiza mchungaji Kimaro

Kimaro amesema Watu wengi ni walinzi tu wa makaburi kama wale Walinzi wa Pilato waliotumwa kulinda kaburi la Yesu, hivyo wewe kama mkristo usikubali kuwa Mlinda makaburi

Nawatakia Pasaka Njema!
Matamshi kama vile ya kipofu aliyeona mwezi si ndiyo?
 
Mkuu leo somo liliegemea kwa matajiri usiwaonee wivu.
Maskini wanatiwa moyo kila siku lakini matajiri husimangwa na kupewa majina mabaya kila siku
Mchungaji wa Kanisa anaposimama katika madhabahu ya Mungu YAHWEH Kanisani ameitwa kuhubiri Neno la Mungu tu. Anapoingia kufundisha falsafa zake hata kama zinampendeza sana Mwanadamu, Mchungaji huyo anakuwa amejiodoa kiwa mtumishi wa Kristo: "Nastaajabu kwa kuwa mnamwacha upesi hivi yeye aliyewaita katika neema ya Kristo, na kugeukia injili ya namna nyingine... Lakini ijapokuwa sisi au malaika wa mbinguni atawahubiri ninyi injili yo yote isipokuwa hiyo tuliyowahubiri, na alaaniwe...Maana, sasa je! Ni wanadamu ninaowashawishi, au Mungu? Au nataka kuwapendeza wanadamu? Kama ningekuwa hata sasa nawapendeza wanadamu, singekuwa mtumwa wa Kristo"
(Wagalatia 1:6;8;10).
 
Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama amesema Tajiri Yusuf wa Almathaya ndio aliyemzika Yesu katika kaburi lake la kifahari

Kimaro amesema Kanisa linawahitaji Matajiri kwa sababu ndio wanaoliondolea Kanisa aibu Wakati wa uhitaji

Hivyo tusiwape majina mabaya Matajiri kwa kuwaita Mafisadi, Wahujumu Uchumi au Freemason Kwani utajiri ni baraka hata katika level ya familia Kwani ndio wanaofuta aibu za familia, amesisitiza mchungaji Kimaro

Kimaro amesema Watu wengi ni walinzi tu wa makaburi kama wale Walinzi wa Pilato waliotumwa kulinda kaburi la Yesu, hivyo wewe kama mkristo usikubali kuwa Mlinda makaburi

Nawatakia Pasaka Njema!
Amesema wanahtajika pia. Ni katika ile hali ya watz kuwaona matajir ni wakosaji flan wasiohtajika mbinguni. So point yake ni both sides zinahtajiana.
 
Safari ya huyu Pastor ni ngumu
Mchungaji yeyote aliyeitwa na Kusoma theology sio rahisi kukengeuka na kuingia kwenye Prosperity Gospel! Prosperity Gospel inawaondoa waumini wa KKKT Kijikonyama kwenye Injili ya kweli ya Bwana Yesu yenye kusudi kwenda Mbinguni, kwa kuogeukia injili fake ya kulitumia jina la Yesu kupa vitu vya hapa Duniani. Injili ya aina hii ina mvuto sana ndo maana waumini wa KKKT Kijikonyama huandamana kwa ajili ya Kimaro bila kujali kuwa ni utaratibu wa KKKT kuwapa uhamisho Wachungaji wake.
 
Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama amesema Tajiri Yusuf wa Almathaya ndio aliyemzika Yesu katika kaburi lake la kifahari

Kimaro amesema Kanisa linawahitaji Matajiri kwa sababu ndio wanaoliondolea Kanisa aibu Wakati wa uhitaji

Hivyo tusiwape majina mabaya Matajiri kwa kuwaita Mafisadi, Wahujumu Uchumi au Freemason Kwani utajiri ni baraka hata katika level ya familia Kwani ndio wanaofuta aibu za familia, amesisitiza mchungaji Kimaro

Kimaro amesema Watu wengi ni walinzi tu wa makaburi kama wale Walinzi wa Pilato waliotumwa kulinda kaburi la Yesu, hivyo wewe kama mkristo usikubali kuwa Mlinda makaburi

Nawatakia Pasaka Njema!
Atarudishwa lupango huyu
 
kumbe mchungaji katema madini ya ukweli kinyama alafu kuna vijitu na roho zao mbaya wanachuja maneno kuleta fitna zao humu kutokana na chuki zao za kichato
Madini ya Prosperity Gospel hayana nafasi kwenye Kanisa la KKKT. Kwenye platform ya Ibaada za Kanisani Watu wanatakiwa kufundishwa Neno la Mungu YAHWEH tu.
Kuhusu uchumi KKKT ina mashule na Vyuo hadi ngazi ya Chuo kikuu huko watu watafundishwa elimu mbali mbali. Lakini pia kuhusu Uchumi ngazi ya Usharika, kila Usharika unaruhusiwa kuwa na semina zakufunza mambo ya Uchumi, ndoa, na malezi ya vijana, kulingana na platform husika. Kitendo cha Kimaro kutumia platform ya Ibaada za Kanisa kufundisha Uchumi ni kuzarau kazi aliyoifanya Bwana Wetu Yesu Kristo Msalabani. Hili jambo linatakiwa kukemewa na Mkristo wa Kweli yeyote.
 
Mchungaji wa Kanisa anaposimama katika madhabahu ya Mungu YAHWEH Kanisani ameitwa kuhubiri Neno la Mungu tu. Anapoingia kufundisha falsafa zake hata kama zinampendeza sana Mwanadamu, Mchungaji huyo anakuwa amejiodoa kiwa mtumishi wa Kristo: "Nastaajabu kwa kuwa mnamwacha upesi hivi yeye aliyewaita katika neema ya Kristo, na kugeukia injili ya namna nyingine... Lakini ijapokuwa sisi au malaika wa mbinguni atawahubiri ninyi injili yo yote isipokuwa hiyo tuliyowahubiri, na alaaniwe...Maana, sasa je! Ni wanadamu ninaowashawishi, au Mungu? Au nataka kuwapendeza wanadamu? Kama ningekuwa hata sasa nawapendeza wanadamu, singekuwa mtumwa wa Kristo"
(Wagalatia 1:6;8;10).
Huu ndio ufanatic usio na maana.
Ulihudhuria mahubiri au mdio unajibu kutokana na masimulizi ya jf?

Msiwe wahukumu wasiokuwa na maana yoyote.
Mahubiri mtu aweza kutoa mfano tu kama Yesu alivyotoa mifano ili aeleqeke.
Katika kutoa mfano wewe unajenga hoja hapo hapo.

Unaukumbuka ule mfano akioutoa Yesu kumwelezea yule mtu aliajiriwa katika kuposha kwa riba?
Yesu akasema alipopata habari za kufukuzwa kwake kazi akawaendea wadaiwa na kuwaambia wqpunguze kiwango cha pesa wanazodaiwa? Yaani wamdanganye mwenye kampuni ya ukopeahaji?
Unakumbuka Yesu alimsifia kwa kutumia akili kujipatanisha na wqtu ili arudipo mtaqni akubalike?

Na akasifia kuwa wana giza wana akili kuliko wana wanuru?
Hivi Kimaro angetoa mfano ule si ungemlaqni kabisa?

Mkuu huna hoja na una ulokole flani wa mapokeo..
Pole
 
Huna utii kwa mkuu wako wa kanisa, na huo ni ukengeufu unapaswa kukemewa.
Malasusa ni mhuni tu na atabakia kuwa hivyo. Kwanza waumini hawamtaki kwaninini angangania ili aendelee kula pesa za kanisa? Alipokuwa mkuu wa KKKT alitafuna sana pesa za kanisa. Huyu jamaa ni zaidi ya fisadi, nashangaa kwanini mnamtetea.
 
Mchungaji wa Kanisa anaposimama katika madhabahu ya Mungu YAHWEH Kanisani ameitwa kuhubiri Neno la Mungu tu. Anapoingia kufundisha falsafa zake hata kama zinampendeza sana Mwanadamu, Mchungaji huyo anakuwa amejiodoa kiwa mtumishi wa Kristo: "Nastaajabu kwa kuwa mnamwacha upesi hivi yeye aliyewaita katika neema ya Kristo, na kugeukia injili ya namna nyingine... Lakini ijapokuwa sisi au malaika wa mbinguni atawahubiri ninyi injili yo yote isipokuwa hiyo tuliyowahubiri, na alaaniwe...Maana, sasa je! Ni wanadamu ninaowashawishi, au Mungu? Au nataka kuwapendeza wanadamu? Kama ningekuwa hata sasa nawapendeza wanadamu, singekuwa mtumwa wa Kristo"
(Wagalatia 1:6;8;10).
Mtu mbumbumbu kama wewe (tena huenda ni mvaa makobazi na visuruali nusu) huwezi kumuelewa Mchungaji Dr Kimaro. Omba Mungu akupe uelewa uweze kuelewa madini anayotema Dr Kimaro. Acha kupaparika na kuhorojoka bila sababu za msingi.
 
Malasusa ni mhuni tu na atabakia kuwa hivyo. Kwanza waumini hawamtaki kwaninini angangania ili aendelee kula pesa za kanisa? Alipokuwa mkuu wa KKKT alitafuna sana pesa za kanisa. Huyu jamaa ni zaidi ya fisadi, nashangaa kwanini mnamtetea.
Endelea kula ugali na picha ya sangara!
 
Madini ya Prosperity Gospel hayana nafasi kwenye Kanisa la KKKT. Kwenye platform ya Ibaada za Kanisani Watu wanatakiwa kufundishwa Neno la Mungu YAHWEH tu.
Kuhusu uchumi KKKT ina mashule na Vyuo hadi ngazi ya Chuo kikuu huko watu watafundishwa elimu mbali mbali. Lakini pia kuhusu Uchumi ngazi ya Usharika, kila Usharika unaruhusiwa kuwa na semina zakufunza mambo ya Uchumi, ndoa, na malezi ya vijana, kulingana na platform husika. Kitendo cha Kimaro kutumia platform ya Ibaada za Kanisa kufundisha Uchumi ni kuzarau kazi aliyoifanya Bwana Wetu Yesu Kristo Msalabani. Hili jambo linatakiwa kukemewa na Mkristo wa Kweli yeyote.
Sasa mbona hayo uliyoandika ndio yanatakiwa kufanywa na mchungaji yeyote makini halfu tena unakanushamwishoni? Unajitambua kweli mkuu?
 
Endelea kula ugali na picha ya sangara!
Sawa. Watu wenye akili ndogo hamuwezi kumuelewa Dr Kimaro. Mwacheni ahubiri injili kwa kondoo za bwana. Nyie nendeni kwa mhuni mwezenu Malasusa mkajazane ujinga, wivu na husda. Mungu anawaona.
 
Amesema wanahtajika pia. Ni katika ile hali ya watz kuwaona matajir ni wakosaji flan wasiohtajika mbinguni. So point yake ni both sides zinahtajiana.
Exactly. Tusaidiane kuwaelimisha hawa mambumbumbu wasiendelee kuwapotosha watu kuhusu madini anayotema Dr Kimaro.
 
Ashaanza kulewa sifa, mapinduzi makubwa katika kitabu cha matendo na uzihirisho wa roho Mtakatifu walifanya matajiri? Shida ni jina Kimaro.
Juzi kadai eti amewasamehe wote waliomsema vibaya... kaanza mdomo wake tena, wakubwa zake walishamchoka huyu Mchaga...
 
Juzi kadai eti amewasamehe wote waliomsema vibaya... kaanza mdomo wake tena, wakubwa zake walishamchoka huyu Mchaga...
Acheni wivu wa kike au nawe ni muumini wa LGBTQ? Weka wazi tujue. Una wivu wa kishoga ujue!
 
Back
Top Bottom