Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heh😲Kuna watu ukiwatizama tu unamuona shetani live live yani
Ameennn.Together with my Pastoral team, I took the COVID - 19 AstraZeneca Vaccine at RFH Health Care in adherence to Government and Medical recommendations for clergy and frontline workers as we combine our efforts in overcoming this global pandemic.
This too will pass and people will get back to normal activities in Jesus name.
View attachment 1750962
View attachment 1750965Mambo ya Walawi 19:28
[28]Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi BWANA.
Nimeuona babuAmeennn.
Vioi umeona like yangu huko?
WakwareBila shaka kanisa lake limejaa wanaume wanamzea mate.
Naombeni namba zake aniombee maombi ya faragha.
Hivi huyu mchungaji kaolewa kweli..?
Me napendaga tu kalivyo kazuri na kanavyoongea..!!
Oracle..!!Hiyo tattoo imeandikwaje?
An oracle is a person or agency considered to provide wise and insightful counsel or prophetic predictions, most notably including precognition of the future, inspired by deities. As such, it is a form of divination.Oracle..!!
Mwanamke tuNi mtanzania?
una namba yake tafadhaliSafi kabisa Mchungaji Natasha.
Wanashangaa Tatoo yako ya mkono je wakiona ile ya kiunoni!
makucha kama jini.
Hizi comment za kusifu tuachie akinababa....Hivi huyu mchungaji kaolewa kweli..?
Me napendaga tu kalivyo kazuri na kanavyoongea..!!
Naomba nielekezwe kanisani kwake?Kwa hiyo mama mchungaji jimbo lipo wazi?
Kanaongea kwa vijana....Hivi huyu mchungaji kaolewa kweli..?
Me napendaga tu kalivyo kazuri na kanavyoongea..!!
Makucha kama jini?? Nasikia majini huwa hayaonekani mkuu...Ni wa wapi huyo Mchungaji? Mbona havai kama Mama mchungaji? Nguo za kubana ,Matatoo ,makucha kama jini.