Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chochea motoAnaonekana anaenda sana kwa mpalange
Unachanganya mafail aliesema hivyo ni Rose shabokaHivi huyu mchungaji ndiyo aliyosema ukiwa na mume chumbani weka ulokole pembeni, mvalie bikini ndiyo huyu au nachanganya mafile
Upo vizuri mkuuUnachanganya mafail aliesema hivyo ni Rose shaboka
Ndio wachungaji wetu mkuu lazima tuwafuatilieUpo vizuri mkuu
Katuletea picha ili tufanyejeKwani ye mwenyewe anasemaje?
Tuifie nchiKatuletea picha ili tufanyeje
We jamaa hutaiona pepo, yaani umetengua swaumu yangu hivihivi 😭Chochea motoView attachment 1766304
Hawa mimi ningeweza kuwaandalia moto ningekusanya kuni nyingi kupitiliza. Utashangaa wanawake haswa watakavyojazana kumsikiliza huyu m$&l@&@&a fulani. Wanawaumiza sana wajane hawa mbusi...Katika watu wa kutowaamini ukiachilia wanasiasa, wengine ni hawa wachungaji😵
Ndio kavalishwa pete hivi majuzi tuHivi huyu mchungaji kaolewa kweli..?
Me napendaga tu kalivyo kazuri na kanavyoongea..!!
mhindi kabeba zigo hili juziYesu turehemu tu!
Jamani,mbinguni mbali!
Hizi imani hizi kwahio Ancestors wetu walikuwa na mambo ya Kishenzi au hizi Imani zilizoletwa na Meli ndio bora zaidi ?[28]Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi BWANA.
So lovelyHizi imani hizi kwahio Ancestors wetu walikuwa na mambo ya Kishenzi au hizi Imani zilizoletwa na Meli ndio bora zaidi ?
Well my Motto ni "To each his or her Own"
View attachment 2029425
Anapigwa mchi was kidosimhindi kabeba zigo hili juzi
Yaani ni balaaHawa mimi ningeweza kuwaandalia moto ningekusanya kuni nyingi kupitiliza. Utashangaa wanawake haswa watakavyojazana kumsikiliza huyu m$&l@&@&a fulani. Wanawaumiza sana wajane hawa mbusi...
Hakika.Kuna watu ukiwatizama tu unamuona shetani live live yani