Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Prophecy imesema atapata mume anayetokea nje ya Kenya.
Ya duniani yanatutosha ya mbinguni waachie malaika.Yesu turehemu tu!
Jamani,mbinguni mbali!
Yawezekana amelifahamu Hilo andiko/ameitwa akiwa ameshaweka Alama mwilini kwake.Mambo ya Walawi 19:28
[28]Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi BWANA.[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Hatari na unusuUmeona ehh
Kuwa uyaoneWakubwa wanafaidi
Thanks..hata sikuiona.Oracle..!!
Nasikia waumini wake wote n PISI BUTU isipokuwa yeye tuDaah huyu ndio mchungaji ? Sijui kondoo wachungwao wanafananaje
Mmhh mkuu unataniaNasikia waumini wake wote n PISI BUTU isipokuwa yeye tu
Aisee ana supu za kutosha, hii mali Safi sanaTogether with my Pastoral team, I took the COVID - 19 AstraZeneca Vaccine at RFH Health Care in adherence to Government and Medical recommendations for clergy and frontline workers as we combine our efforts in overcoming this global pandemic.
This too will pass and people will get back to normal activities in Jesus name.
View attachment 1750962
View attachment 1750965
Mambo ya Walawi 19:28
[28]Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi BWANA.
Mali mengiAisee ana supu za kutosha, hii mali Safi sana
Huyo ni mchungaji, sio mama mchungaji. Watu wanachanganya na namna watumishi wa jinsia ya kiume wanavyoitwa. Mama mchungaji ni mke wa mchungajiHivi anaitwa Mama Mchungaji?
Hivi ukijipanga kabisa kiharmonize haubebi kweli huu mzigo?.Yesu turehemu tu!
Jamani,mbinguni mbali!
Na mikucha kama zimwiHiyo pete alivyoivaa ....
Huyu hachungi kondoo...Mtu unayemtafuta Mungu huwez chungwa na mtu kama huyu.Never..Haiwezekan.Ever yanDaah huyu ndio mchungaji ? Sijui kondoo wachungwao wanafananaje
Kaombewe kwanza[emoji28][emoji116]Prophecy imesema atapata mume anayetokea nje ya Kenya.
Pengine ni mimi?
Hakuna muda wa kupoteza, wacha nikabishe hodi DM huko [emoji1]