Mchungaji Lucy Natasha amechanjwa COVID19 achana na tatoo yake

Bila shaka kanisa lake limejaa wanaume wanamzea mate.
Naombeni namba zake aniombee maombi ya faragha.
 
Ameennn.
Vioi umeona like yangu huko?
 
Huyo ndio mchungaji mwenyewe!!?
Ama kweli kondoo kazi tunayo.
Halafu hapo utakuta anawaumini wanamkubali huwambii kitu.
 
Amenona...
hizi ndio type zangu mwanamke mteke teke mlaini.....
kazi ninayo ya root za Kenya sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…