Mchungaji Lucy Natasha amechanjwa COVID19 achana na tatoo yake

Mambo ya Walawi 19:28

[28]Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi BWANA.[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Yawezekana amelifahamu Hilo andiko/ameitwa akiwa ameshaweka Alama mwilini kwake.
 
Aisee ana supu za kutosha, hii mali Safi sana
 
Hivi anaitwa Mama Mchungaji?
Huyo ni mchungaji, sio mama mchungaji. Watu wanachanganya na namna watumishi wa jinsia ya kiume wanavyoitwa. Mama mchungaji ni mke wa mchungaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…