Mchungaji Lucy Natasha amechanjwa COVID19 achana na tatoo yake

Huyu hachungi kondoo...Mtu unayemtafuta Mungu huwez chungwa na mtu kama huyu.Never..Haiwezekan.Ever yan
Nakubaliana na wewe kabisa, huyu mama kuna walakini kwenye huduma yake mbona hafanii kbs yaan
Ingawaje wanasema tusijaji kitabu kwa picha ya nje
 
Msaada wa nambari za simu za pastor tafadhali nahitaji kuombewa
 
Huwa sipendi sana kuwajudge watumishi wa Mungu,
Ila Bwana awajua walio wake.
 
Yeye kuchanja sisi kunatusaidia nini?
 
Huyu si ndio yule wa september to remember?
 
mbingu wanataka iwe beach kidimbwi eti?
 
Hosea 4 Verse 6. My people are destroyed for lack of knowledge: because thou hast rejected knowledge,
 
Hivi huyu mchungaji ndiyo aliyosema ukiwa na mume chumbani weka ulokole pembeni, mvalie bikini ndiyo huyu au nachanganya mafile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…