Mchungaji Lucy Natasha amechanjwa COVID19 achana na tatoo yake

Hivi huyu mchungaji ndiyo aliyosema ukiwa na mume chumbani weka ulokole pembeni, mvalie bikini ndiyo huyu au nachanganya mafile
Unachanganya mafail aliesema hivyo ni Rose shaboka
 
Katika watu wa kutowaamini ukiachilia wanasiasa, wengine ni hawa wachungaji😵
Hawa mimi ningeweza kuwaandalia moto ningekusanya kuni nyingi kupitiliza. Utashangaa wanawake haswa watakavyojazana kumsikiliza huyu m$&l@&@&a fulani. Wanawaumiza sana wajane hawa mbusi...
 
[28]Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi BWANA.
Hizi imani hizi kwahio Ancestors wetu walikuwa na mambo ya Kishenzi au hizi Imani zilizoletwa na Meli ndio bora zaidi ?

Well my Motto ni "To each his or her Own"

 
Mchungaji wa nini vile????? Kithungu shida wadugu wane!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…