Mchungaji Lucy Natasha apata mume raia wa India

Mchungaji Lucy Natasha apata mume raia wa India

Kasiano Muyenzi

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2018
Posts
13,858
Reaction score
22,729
Wimbo ulio Bora 3 :4

Kitambo kidogo tu nikiisha kuwaondokea, nikamwona mpendwa wa nafsi; Nikamshika nisimuache tena, hata nilipomleta nyumbani mwa mamangu, chumbani kwake aliyenizaa.

Pastor Lucy Natasha alinukuu huo wimbo ulio bora mbele ya kusanyiko la wapendwa hivi majuzi kuthibitisha ulimwengu kwamba kampata mpendwa wa nafsi yake.

La kufurahisha zaidi huyo kipenzi wake ni nabii mwenye asili ya India, anaitwa prophet Stanley Carmel, huyo nabii inasemekana ana utajiri wa $1 million hivyo sio nabii mganga njaa kama wale manabii wa "jilipue" wanaotembeza vibakuli kwenye vituko vya mabasi wakitafuta huruma toka kwa abiria.

Binafsi nampongeza sana Rev Lucy Natasha kwa kuachana na maisha bila mume.

Chanzo:
Twitter
IMG_20211130_121012_441.jpg
IMG_20211130_121040_360.jpg
IMG_20211130_120905_341.jpg
IMG_20211130_120801_801.jpg
IMG_20211130_120733_447.jpg
IMG_20211130_130520_369.jpg
 
Why Natasha&Carmel ...not Carmel&Natasha.. kimaono ya asili mwanaume ndio hujitwalia mwenza, je kwa hao manabii ipoje.. Natasha ndio alimtokea mwenziwe au jamaa aliimbisha..,au ndio tuaminishwe ni roho aliwaongoza towards each other?
napatwa maono ipo shida mahali na inabidi ikabiliwe kwa nguvu ya roho head on, ama sivyo wataachana tu..(naye asiye na mawaa atwae mawe anirushie).
 
why Natasha&Carmel ...not Carmel&Natasha.. kimaono ya asili mwanaume ndio hujitwalia mwenza, je kwa hao manabii ipoje.. Natasha ndio alimtokea mwenziwe au jamaa aliimbisha..,au ndio tuaminishwe ni roho aliwaongoza towards each other?
napatwa maono ipo shida mahali na inabidi ikabiliwe kwa nguvu ya roho head on, ama sivyo wataachana tu..(naye asiye na mawaa atwae mawe anirushie).
Umejiuliza pia kwa nini nabii Carmel alipiga magoti mbele ya Natasha?

Hakuna picha ya Natasha kupiga magoti mbele ya Carmel, hivyo huenda huyu nabii kachezewa akili [emoji16]
 
why Natasha&Carmel ...not Carmel&Natasha.. kimaono ya asili mwanaume ndio hujitwalia mwenza, je kwa hao manabii ipoje.. Natasha ndio alimtokea mwenziwe au jamaa aliimbisha..,au ndio tuaminishwe ni roho aliwaongoza towards each other?
napatwa maono ipo shida mahali na inabidi ikabiliwe kwa nguvu ya roho head on, ama sivyo wataachana tu..(naye asiye na mawaa atwae mawe anirushie).
Hata kwetu naionaga,
Iko hivi.
Kama Ke nimshirika kanisa lililopo Bungu ,na amepta mchumba ambae yupo mkoani Kigoma,huko kazura mimba.
Ili kujurisha washirika wenzie binti atawaambia/itatangazwa Kanisani, Binti yetu kapata mchumba,
Mchumba atakuja kutambulishwa hapo kanisani.
So itakua Mariam anamtambulisha Isaka.
Mariam Vs Issaka.

Baada ya tukio hilo,
Isaka ndo atamtambulisha mchumba wake mariam huko kwao Kigoma.
Na masuala mengine yataendelea.,huko kwa mwanaume.
Kwaio anaweza Me akmtambulisha Kigoma na ke akaja mtambulisha Mwenzie Bungu.
Mambo yanaenda kama hivyo..

So hapo Carmel ametambulishwa Kenya,na kwa washirika wa Natasha.
Natasha ndo mwenye tukio lake.

Hawezi Carmel kumtambulisha Natasha Carmel yupo ugenini.
Amtambulishe kwa nani anaemjua hapo Kanisani.
Ndio maana ya Natasha Vs Carmel.
 
Hata kwetu naionaga,
Iko hivi.
Kama Ke nimshirika kanisa lililopo Bungu ,na amepta mchumba ambae yupo mkoani Kigoma,huko kazura mimba.
Ili kujurisha washirika wenzie binti atawaambia/itatangazwa Kanisani, Binti yetu kapata mchumba,
Mchumba atakuja kutambulishwa hapo kanisani.
So itakua Mariam anamtambulisha Isaka.
Mariam Vs Issaka.

Baada ya tukio hilo,
Isaka ndo atamtambulisha mchumba wake mariam huko kwao Kigoma.
Na masuala mengine yataendelea.,huko kwa mwanaume.
Kwaio anaweza Me akmtambulisha Kigoma na ke akaja mtambulisha Mwenzie Bungu.
Mambo yanaenda kama hivyo..

So hapo Carmel ametambulishwa Kenya,na kwa washirika wa Natasha.
Natasha ndo mwenye tukio lake.

Hawezi Carmel kumtambulisha Natasha Carmel yupo ugenini.
Amtambulishe kwa nani anaemjua hapo Kanisani.
Ndio maana ya Natasha Vs Carmel.
Upo sawa mpendwa
 
why Natasha&Carmel ...not Carmel&Natasha.. kimaono ya asili mwanaume ndio hujitwalia mwenza, je kwa hao manabii ipoje.. Natasha ndio alimtokea mwenziwe au jamaa aliimbisha..,au ndio tuaminishwe ni roho aliwaongoza towards each other?
napatwa maono ipo shida mahali na inabidi ikabiliwe kwa nguvu ya roho head on, ama sivyo wataachana tu..(naye asiye na mawaa atwae mawe anirushie).

Wanaume wa kihindi wanaolewa..sio kuoa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom