Mchungaji Lucy Natasha apata mume raia wa India

Mchungaji Lucy Natasha apata mume raia wa India

Wote wamekutana wana pesa chafu, lucy natasha anahelcopter na viwanda vya maji kenya mabrazamen kibao walikuwa wanajazana kwenye kanisa lake sasa sijui walikuwa wanasubiri zari liwadondokee😁😁🤣🤣😝😝
Mdosi kawazidi kete 😂
 
Why Natasha&Carmel ...not Carmel&Natasha.. kimaono ya asili mwanaume ndio hujitwalia mwenza, je kwa hao manabii ipoje.. Natasha ndio alimtokea mwenziwe au jamaa aliimbisha..,au ndio tuaminishwe ni roho aliwaongoza towards each other?
napatwa maono ipo shida mahali na inabidi ikabiliwe kwa nguvu ya roho head on, ama sivyo wataachana tu..(naye asiye na mawaa atwae mawe anirushie).
vipi BONNIE & CLYDE
 
Kuna mahali nilisikia eti huyu dada ni pure black sema rangi hiyo kanunu dukani, inasemekan lakini
 
Hivi huyu si ndo aliimbaga wimbo wa sijui "maumivu niachee"

Leo hii amekuwa mchungaji? Hii kazi inachezewa sana.
 
Back
Top Bottom