Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
- Thread starter
-
- #21
Nani kawaroga?Wanaume wa kihindi wanaolewa..sio kuoa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nani kawaroga?
Jamaa ana matako makubwa yule duh yaani zai matako hamfikii yule jamaa.Shira hana mchongo
Umejuaje?Jamaa ana matako makubwa yule duh yaani zai matako hamfikii yule jamaa.
Mdosi kawazidi kete πWote wamekutana wana pesa chafu, lucy natasha anahelcopter na viwanda vya maji kenya mabrazamen kibao walikuwa wanajazana kwenye kanisa lake sasa sijui walikuwa wanasubiri zari liwadondokeeπππ€£π€£ππ
Yethuu na mariee π.....Mwajuma kaolewa ,walisema haolewi kaolewa ..... Bwana bwana bwana .....hayo mengine hayatuhusu tufinye cha mtume.
Hebu otea pastor kalipa $ ngapi kumuoa huyo mdosi πMimi mwenyewe najua ndo hvo Huwa wanaolewa
Nilimuona wasafi akihojiwa.Umejuaje?
Halafu hao watangazaji wa wasafi hao πNilimuona wasafi akihojiwa.
Wamekutana sasa πWote nyadundo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!
Nani, nabii au pastor?Ana nyonyo!!!
Huyo mwanamke!Nani, nabii au pastor?
Nasikia tu kuwa wanawake wenye nyonyo za ukubwa huo wapo na kautamu fulani hivi amazing, na miguno ya ukweli wakipelekewa moto ππHuyo mwanamke!
vipi BONNIE & CLYDEWhy Natasha&Carmel ...not Carmel&Natasha.. kimaono ya asili mwanaume ndio hujitwalia mwenza, je kwa hao manabii ipoje.. Natasha ndio alimtokea mwenziwe au jamaa aliimbisha..,au ndio tuaminishwe ni roho aliwaongoza towards each other?
napatwa maono ipo shida mahali na inabidi ikabiliwe kwa nguvu ya roho head on, ama sivyo wataachana tu..(naye asiye na mawaa atwae mawe anirushie).